Mufindi FM
Mufindi FM
18 July 2024, 17:22
Na Jackson Machowa Kutokana na ongezeko la ufaulu wa wanafunzi mashuleni, Idara ya Elimu Sekondari Wilaya ya Mufindi imeiomba serikali na watafiti nchini kufanya mapitio ya hali ya udumavu wilayani hapa kwa kuwa inakinzana na hali halisi ya maendeleo ya…
17 July 2024, 16:26
Na Marko Msafili Mufindi Taasisi ya utafti wa mazao ya Kitropiki (CIAT), IMARA TECH, Taasisi ya utafti wa Kilimo (TARI), Taasisi ya ngano na Mahindi kwa kushirikiana na Taasisi ya kilimo masoko pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi wamefanya…
16 July 2024, 21:11
MAFINGA. Na Bestina Nyangaro Takribani wananchi wapatao 3,200 wa kijiji cha Itimbo kata ya Rungemba halmashauri ya mji Mafinga wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kupata huduma ya maji ifikapo disemba mwaka huu 2024, ambapo mradi wa maji…
16 July 2024, 21:02
MAFINGA Na Jumanne Bulali Katika kuimarisha mapambano dhidi ya udumavu kwa watoto na utunzaji wa mazingira, Shirika lisilo la kiserikali la The Universe for all Initiative (TUFA) -limekabidhi miche mia moja ya parachichi katika shule ya msingi Ndolezi katika halmashauri…
9 July 2024, 09:02
Na Bestina Nyangaro Mafinga WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano muungano wa Tanzania mh. Kassim Majaliwa amemuagiza waziri wa maji Juma Aweso, kukutana na mkandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 Mafinga, na kusimamia mradi huo ili ukamilike haraka,…
9 July 2024, 08:22
Na Bestina Nyangaro Mufindi Serikali imetoa Kiasi Cha shilingi million 500 kwa ajili ya ujenzi wa kituo Cha afya kata ya Makungu halmashauri ya wilaya ya Mufindi ili kuondoa adha kwa wananchi wapatao 17,373 kutembea umbali mrefu kupata huduma za…
9 July 2024, 08:02
Na Bestina Nyangaro Mufindi Leo Julai 7 2024, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa amekagua na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa darasa la mfano shule ya sekondari Iramba iliyopo kata ya Itandula halmashauri ya…
27 June 2024, 08:06
MUFINDINa Witness Alex Wakati leo june 26, dunia ikiadhimisha siku ya mapambano dhidi ya dawa za kulevya, waraibu wapatao 12 wanaendelea kupata msaada wa kuacha kutumia dawa za kulevya katika Nyumba Ya Upataji Nafuu (Iringa Soba House) mkoani Iringa.JACKSON MACHOWA…
27 June 2024, 07:52
Na Witness Alex Mufindi Mkuu Wa Mkoa Wa Iringa Mhe Peter Serukamba Ameipongeza Halmashauri Ya Wilaya Ya Mufindi Kwa Kupata Hati Safi Kutoka Kwa Mdhibiti Na Mkaguzi Mkuu Wa Hesabu Za Serikali (CAG) Kwa Mwaka Wa Fedha 2022/2023. Leo Juni…
21 June 2024, 14:11
Na Moses Mbwambo Iringa Mwenge wa Uhuru unatarajiwa kuwasili mkoani Iringa Juni 22,2024 ukitokea mkoani Njombe ambapo utazinduaa miradi yenye thamani ya zaidi ya bilioni 600 na utakimbizwa kwenye Halmashauri 5 za mkoa wa Iringa. Mkuu wa Mkoa wa Iringa…
MUFINDI FM MAFINGA 107.3
Mufindi FM Redio 107.3 Mafinga ni Redio iliyo Chini ya Kampuni ya Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani iringa inayojulikana Kwa Jina la Mufindi Media Cooperation Company LTD. Mufindi FM Redio Ilianzishwa Mwaka 2021, Redio Isikilizwa Katika Mikoa ya Iringa na Njombe, Pamoja na Baadhi ya Wilaya Katika Mikoa ya Morogoro, Mbeya na Ruvuma.