Radio Tadio

Habari za Jumla

15 April 2026, 12:38 pm

Wanafunzi wafurahia zawadi kutoka kwa Waziri

Katika kukuza sekta ya elimu nchini waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Dk Leonard Akwilapo amezidi kugusa baadhi ya shule na kuwapatia vifaa. Na lilian Martin Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji,Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi,…

9 April 2026, 23:42

Goli la Mama kuinua vipaji vya wanasoka nchini

Na Catherine Sekibaha. Goli la mama ni mpango wa motisha kwa wachezaji na viabu vya tanzania vinavyoshiriki michezo ya kimataifa kama njia ya kuongeza hamasa. Kupitia mpango huo umechangia maendeleo makubwa ya kimichezo nchini. Hayo yanaelezwa kupitia makala hii.

9 April 2026, 17:06

Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili

Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…

2 April 2026, 6:14 pm

Uvaaji mavazi yasiyo na maadili huchochea ubakaji

Na Anna Mhina Baadhi ya wanaume manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameomba  serikali kusisitiza maadili kwa wanawake juu ya umuhimu wa uvaaji wa mavazi ya maadili ili kuepukana na vitendo vya ukatili ikiwemo ubakaji. Wakizungumza na Mpanda radio FM wanaume…

26 March 2026, 6:11 pm

Kupanda kwa bei ya nyama, kilio kwa wafanyabiashara

Wananchi katika manisipaa ya Mpanda wameomba serikali kuingilia kati swala la kupanda kwa bei ya nyama ili kuhakikisha bei inashuka na kuendana na hali ya maisha ya wananchi wa kawaida. Na John Benjamin Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani…

24 March 2026, 18:41

Kaya 100 zakumbwa na mafuriko Kilombero

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…