Radio Tadio

Habari za Jumla

1 May 2024, 13:29

Dc kasulu akerwa na vitendo vya uvunjifu wa amani

Vitendo vya wizi na uharifu kwenye jamii wilayani kasulu vimeendelea kuumiza vichwa kwa viongozi huku wananchi wakiendelea kuumia kwa mali zao kuibiwa na wengine kuharisha maisha yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa taarifa…

1 May 2024, 13:06

Shilingi bilioni 2.7 kutekeleza miradi ya afya na elimu kibondo

Serikali imesema itaendelea kusimamia na kutoa kipaumbele kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuwafikishia huduma wananchi. Na James Jovin – Kibondo Halimashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kupitia ruzuku ya serikali kuu imepokea fedha kiasi cha shilingi bilioni 2.7…

1 May 2024, 10:31

Wavuvi mialoni wageuka mwiba kwa wanawake

Vitendo vya ukatilii hasa kubakwa maeneo ya mialo mbalimbali mwambao wa ziwa tanganyika vimeendelea kuacha kovuna simanzi kwa wananwake wanaojishughulisha na uchakataji wa mazao ya samaki. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Wanawake Wanaochakata Mazao ya Uvuvi Katika Ziwa Tanganyika Mkoani…

1 May 2024, 10:07

Vijana wa JKT Bulombora lindeni amani, acheni dawa za kulevya

Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi Katika kambi ya jeshi la kujenga taifa  821 KJ Bulombora iliyopo wilayani Kigoma Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo Katika kuilinda Nchi kama sehemu ya kiapo walichopewa wakati wa mafunzo hayo. Na Tryphone Odace – Kigoma…

May 1, 2024, 8:00 am

Rc Songwe akemea wananchi kuuziwa vitambulisho vyua Nida

Na Denis Sinkonde,Songwe Viongozi wa serikali za vijiji na mitaa mkoani Songwe wametahadhirishwa kutowauzia wananchi vitambulisho vya Uraia(NIDA) watakaobainika kuchukuliwa hatua kali. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Itale kata ya Itale Mkuu wa Mkoa huo Daniel Chongolo leo Aprili…

1 May 2024, 12:11 am

Wafanyakazi Morogoro walia kwa kutopandishwa madaraja

Wajumbe wa halmashauri za  mkoa wa MIorogooro wameketi kikao cha mwisho mjini Ifakara, kupanga na kuweka sawabajeti kuelekea maadhimisho ya Mei Mosi 2024 Na: Isidory Matanddula Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika mkoa wa Morogoro yatafanyika katika halmashauri ya…

30 April 2024, 6:59 pm

Wananchi wafurahia ujenzi wa barabara ya katumba-mwakaleli

serikali imeendelea kuboresha miundombiu ya barabara kwa dhumuni ya kuunganisha halmashauri zote nchini ili kuweza kufikika kwa urahisi wananchi wakiwa kwenye furaha baada ya mkandarasi kukabidhiwa barabara ili anze kujenga [picha na lennox mwamakula] RUNGWE-MBEYA Na lennox Mwamakula Serikali imetenga…

30 April 2024, 14:10

Kyela:Madaktari na wauguzi wazembe sasa kukiona chamoto

Katika kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinapatikana katika zahanati,vituo vya afya na hospitali ya wilaya ya kyela serikali imekusudia kuwaondoa kazini watumishi wote walio na lugha mbaya ya matusi kwa wagonjwa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Ziara ya…

30 April 2024, 07:22

Wachungaji walia na ukata makanisani

Ili kuakabiliana na umasikini ambao umekuwa ukisumbua watumishi wa mungu, wameshauriwa kubuni na kuanzisha miradi ya maendeleo ili kuwasaidia kuinua uchumi wao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wachungaji wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika mkoani Kigoma wameshauriwa kufanya…

April 30, 2024, 6:28 am

Rc chongolo apongeza kasi ya mradi wa maji Ileje

Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo ameipongeza Wakala Wa Maji na Usafi wa Mazingira (Ruwasa) wilayani Ileje mkoani humo kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji wa shilingi bilioni 4.9 utakaotatua changamoto ya maji Itumba…