Offline
Play internet radio

Recent posts

July 4, 2025, 3:40 pm

Kinnapa na mpango wa kuwarudisha watoto wakike shuleni

Picha ya mkurugenzi wa KINNAPA Abraham Akilimali, akizungumza na waandidhi wa habari na wadau mbalimbali wa maendeleo Wito umetolewa kwa waandishi wa habari Babati Mkoani Manyara kuendelea kuhamasisha sera ya haki ya kuwarudisha watoto wa kike shuleni. Na Linda Moseka…

May 21, 2025, 2:23 pm

‘Ufugaji wa nyuki una faida’

Picha ya Afisa ufugaji wa nyuki Halmashauri ya wilaya ya Babati, Fabian Mandas Imeelezwa kuwa ufugaji wa nyuki ni muhimu katika mazingira yetu na kwa binadamu kwa ujumla kwani ni chanzo cha tiba pia. Na Kudrat Massaga Jamii imetakiwa kujifunza…

May 19, 2025, 11:38 am

Wananchi jitokezeni kuboresha taarifa

Picha ya Afisa uchaguzi Bashan Kinyunyu Wananchi wametakiwa kujitokeza kwenye kuboresha taarifa pamoja na kujiandikisha kwa wale waliokosa nafasi hiyo awamu ya kwanza Na Kudrat Massaga Wananchi wamesisitizwa kijitokeza kwa wingi kwenye vituo vilivyotangazwa kwajili ya kuboresha taarifa zao pamoja…

May 6, 2025, 11:30 am

Wananchi toeni ushahidi kesi za ukatili

Wananchi wanatakiwa kutoa taarifa za ukatiri kwenye mamlaka za serikali ili kukomesha matukio kama hayo kuendelea kujitokeza katika jamii Na Mwandishi wetu Jamii imetakiwa kutoishia kwenye kuripoti tu matukio ya kikatili bali wanatakiwa kujitokeza mahakamani kwa ajili ya kutoa ushahidi…

May 1, 2025, 8:58 am

DC Kaganda arejesha amani kirudiki

Na Salum Majey Wananchi wa Kiru Diki, Wilaya ya Babati, wameonyesha furaha na shukrani zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Babati, Mhe. Emmanuela Mtatifikolo Kaganda kwa juhudi zake zilizofanikisha kurejeshwa kwa amani katika eneo lao baada ya miaka kadhaa ya…

April 30, 2025, 12:41 pm

Wakopeshaji na wakopaji watakiwa kuzijua sheria

Picha ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mahakama ya Wilaya Babati Stephano Yodal akiwa na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Babati mjini Cesilia mbangati. Na kudrat Massaga Vikundi vinavyohusika na ukopeshaji pamoja na wakopaji kwenye vikundi vya mtaani wametakiwa kuzijua…

April 29, 2025, 12:56 pm

Waadhimisha miaka 61 ya muungano wilayani Babati

“Tanzania imeweza kusimamia Muungano kwa sababu waasisi wa hawakuwa na maslahi binafsi bali walikuwa na mapenzi mema na nchi“ Na Kudrat Massaga Wananchi Mkoani Manyara wametakiwa kuwashukuru viongozi wote waliopita na waliopo sasa madarakani kwa kuendelea kuenzi na kudumisha Muungano…

April 26, 2025, 9:26 am

Kocha Matano amlipua kipa mechi na Yanga

Baada ya fountain gate kufungwa magoli manne bila na Young African kocha mkuu wa club hiyo amesema hatompanga kwenye kikosi chake golikipa wake John Nobo Na Mbaraka Sungi Hii ni ripoti ya kamati ya michezo kupitia Smile FM 95.3 na…

Smile FM Radio


Smile FM – Company Profile
About Us
Smile FM is a proud product of Open World Company Limited, a dynamic Tanzanian company founded in 2015. We are dedicated to delivering high-quality services in radio broadcasting, audio production, event management, photography, videography, and tourism.
With innovation at our core, Smile FM has grown into a trusted voice in Tanzania’s media landscape, focusing on empowering communities through informative, educational, and entertaining content.

Our Services
1. Radio Broadcasting
At Smile FM, we bring you a vibrant mix of local and international news, educational content, entertainment shows, and special programs focusing on health, culture, youth, and community development. Our mission is to inform, inspire, and entertain while addressing the real issues affecting our listeners.
2. Audio & Advert Production
We operate a state-of-the-art studio dedicated to high-quality audio production. From radio jingles, live commercials, voice-overs to custom music production — we help businesses and artists amplify their voices with professional sound.
3. Photography & Videography
We offer tailored photography and video services for individuals, SMEs, and corporate clients. Our services include:
Corporate & Product Photography
Company Documentaries
Corporate Events Coverage
Personal & Social Event Shoots (Weddings, Parties, etc.)

4. Event Planning & Hosting
From concept to execution, we handle events with creativity and professionalism. Our expertise includes:
Corporate Events
Product Launches
Weddings & Private Parties
Community Engagements

Why Choose Smile FM / Open World Company Ltd?
Experienced Team – Passionate professionals with a creative edge
Modern Equipment – Up-to-date tools for top-tier production
Community-Centered – We create content and experiences that matter
All-in-One Solutions – Media, marketing, and events under one roof
Our Broadcast Coverage
Smile FM, broadcasting on 95.3 FM, reaches a wide and diverse audience across the Manyara, Arusha, and Dodoma regions, including:
Babati
Magugu
Kondoa
Katesh
Sagara
Endasak
Dareda
Kiru
Bonga
Galapo
Karatu
Chemba
Monduli
Mamaisara
Mbulu
Kiteto
Mbulumbulu
Minjingu
Makuyuni
Magara

Contact Us
📍 Location: Babati Manyara
📞 Phone: +255 684728971
📧 Email: info@smilefm.co.tz
🌐 Website: www.smilefm.co.tz
📱 Social Media: @smilefmtz