Habari za Jumla
20 August 2026, 22:27
Afungwa matumizi mabaya ya TikTok
kutokana na ongezeko kubwa la watumiaji wa mitandao ya kijamii vijana wanaendelea kuhimizwa kuacha kutumia mitandao hiyo kinyume na maadili ya jamii. Na Ezra Mwilwa Mahakama ya wwanzo Mbeya mjini imemhukumu kifungo cha mwaka mmoja (miezi 12) jela Ramadhan Rudabuka…
12 August 2026, 20:59
Enabel yawakabidhi vifaa vya tehama wasaidizi wa sheria Unguja, Pemba
Wasaidizi wa sheria katika wilaya 11 za Unguja na Pemba wamekabidhiwa vifaa vya TEHAMA kwa lengo la kuongeza ufanisi wa kazi na kuboresha huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi.Vifaa hivyo vinajumuisha laptop 33, desktop 33, tablet 22, mashine moja…
29 July 2026, 6:58 pm
Madiwani Kasulu wasisitizwa kusimamia miradi ya maendeleo
Kufuatia kuanza kwa mwaka mpya wa fedha, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu amewataka watumishi na viongozi kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uwajibikaji na ushirikiano ili kuhakikisha vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Sita vinatekelezwa kwa ufanisi. Na; Ramadhan Zaidy…
15 July 2026, 06:32
Simiyu kukabiliana na biashara haramu ya binadamu
“Hakuna mtu aliye juu ya sheria ambaye anafikiria atasalimika na mkono wa serikali kutokana na biashara haramu ambazo anafanya tutahakikisha tunathibiti kwa nguvu zote ili kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu”. Na, Anita Balingilaki Katika kuhakikisha kuna kuwepo uthibiti wa usafirishaji…
7 July 2026, 4:36 pm
RC Mhita, Marufuku kupokea dawa zenye muda wa chini ya miezi 12
‘‘Baadhi ya dawa kuharibika kwa muda mfupi, hilo hatuta kubali na badala yake pokeeni dawa zenye muda wake juu ya miezi 12’’ Halmashauri zote za mkoa wa Shinyanga zimeagizwa kutokupokea dawa za matumizi ya binadamu zenye muda wa matumizi uliobaki…
7 July 2026, 3:10 pm
Maandalizi ya kuupokea mwenge wa uhuru Babati yakamilika
Picha ya Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati Remidius Mwema Wilaya ya Babati inatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru July 14 2026 ukitokea Wilaya ya Kiteto, ambapo utakagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi 14 ya maendeleo iliyopo ndani…
7 July 2026, 12:34 pm
RPC Makarani asema mkoa wa Manyara ni salama
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, Ahmed Makarani, amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku bila hofu, ikiwemo kusherehekea Sikukuu ya Saba Saba kwa amani, akisema kuwa hadi sasa hakuna kiashiria chochote cha uvunjifu wa amani…
2 July 2026, 3:04 pm
Miaka 30 ya TRA, wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari bila shuruti
‘‘Wafanyabiashara na wajasiliamali lipeni kodi kwa hiari ili kuleta maendeleo ya nchi yetu” Mkuu wa wilaya ya Kahama, Frank Nkinda ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa kikodi Kahama kwa uendelea kushirikiana vyema na wafanyabiasha na wajasiliamali hali inayosababisha…
29 June 2026, 3:13 pm
Mbwa waleta gumzo ,wamiliki watajwa
“Kumekuwa na mbwa wanaodhurura ovyo hawana uangalizi kutoka kwa wamiliki hali inayozua hofu “ Na Anna Milanzi- Katavi Wakazi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamewasisitiza wamiliki wa mbwa kufungia mbwa wao ili kuwaepusha na ugonjwa wa kichaa cha mbwa ambao…
25 June 2026, 8:44 am
Wajasiriamali Mbozi watakiwa kuchangamkia mikopo maalumu
Pichani ni Vijana wajasiliamali walioshiriki kwenye kongamano la vijana kata ya Hasanga. Picha na Mkaisa Mrisho Watakiwa Kuchangamkia Mikopo Maalumu Na Mkaisa Mrisho HASANGA WAJASIRIAMALI wadogo wilayani Mbozi mkoa wa Songwe wametakiwa kuchangamkia mikopo maalumu kwa ajili ya kundi hilo…