Habari za Jumla
10 Mei 2026, 12:40 um
Polisi na wananchi waimarisha ushirikiano
Wananchi mkoani Manyara wameungana na askari wa jeshi la polisi pamoja na familia zao katika kusherehekea siku ya familia ya polisi kwa lengo la kujenga mshikamano na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa askari wa jeshi la polisi. Na Mzidalfa…
8 Mei 2026, 16:53
Sikiliza Vipaji vya watoto wa Migongo mission Day care
Radio fadhila na watoto wa Migongo Mission Day care wakionyesha uwezo wao wakiwa darasani Na lilian martin karibu kusikiliza kipindi cha watoto
8 Mei 2026, 14:04
ZIDO yawapa tabasamu yatima na watu wenye ulemavu kupitia misaada maalum
Taasisi ya Zanzibar International Development Organization (ZIDO) imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa watoto yatima na watu wenye ulemavu huko Dunga. Msaada huo umejumuisha vifaa vya skuli, visaidizi mwendo pamoja na mbuzi kwa familia…
8 Mei 2026, 12:18
Kaya 59 waathirika mafuriko wapatiwa msaada Mlimba
Msaada uliotolewa ni pamoja na vyandarua 59, ndoo 39, mikeka 42, blanketi 88 pamoja na mahindi zaidi ya tani sita Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya kaya 59 kutoka Kata ya Mngeta Halmashauri ya Mlimba zimeathirika na mafuriko yaliyotokea katika eneo…
7 Mei 2026, 5:24 um
Wananchi Kahama watakiwa kuwa waaminifu katika shughuli zao za kiuchumi
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwa waaminifu na waadili katika shuguliza zao mbalimbali za kijamii na kiuchumi pasipo kujitafutia faida kubwa. Na Mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Askofu wa jimbo katoliki la Kahama Christopher Ndizeye, wakati wa…
7 Mei 2026, 5:07 um
Diwani aomba nishati ya umeme ipelekwe katika shule za msingi Mlimani na Mtakuj…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeombwa kupeleka nishati ya umeme katika shule ya Msingi Mlimani na Mtakuja ambazo tayari zimefungwa miundombinu ya umeme zilizoopo katika kata ya Nyahanga. Akizungumza katika baraza la madiwani la Manispaa…
6 Mei 2026, 10:12
Mawazo ya wanajamii ni muhimu katika kufikia maendeleo
“Ikiwa mnahitaji kupata maendelo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…
30 Aprili 2026, 15:06
Tindiga yapokea msaada kufuatia mafuriko
Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha uharibifu wa makazi, mashamba na miundombinu, na kuwaacha wananchi wengi wa kata ya Tindiga bila makazi na chakula. Na Beatrice Majaliwa Shirika la Norwegian Church Aid kwa kushirikiana na Anglican Dayosisi ya Morogoro limetoa…
28 Aprili 2026, 18:48
Kijiji chakusanya Tsh. 150,000 Septemba 2025-Aprili 2026
Wananchi wa Kitaya wajadili mapato, matumizi na changamoto za uongozi, wakitaka uwazi zaidi huku viongozi wakiiomba serikali kutatua sintofahamu inayokwamisha maendeleo ya kijiji Na Musa Mtepa Kijiji cha Kitaya, Aprili 24, 2026 kimefanya mkutano mkuu wa kijiji wenye lengo la…
28 Aprili 2026, 4:14 um
Wachimbaji wadogo wa madini wahimizwa usalama kazini
Mkurugenzi wa Huduma za Leseni wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi (Sebastian Mnakaya) Wakaguzi Wakuu wa Migodi pamoja na wachimbaji wadogo nchini wamesisitizwa umuhimu wa kuimarisha usalama kazini, kulinda mazingira na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…