Habari za Jumla
10 September 2026, 10:53 am
Kutotekelezwa kwa sheria ya misitu kunavyochochea ukataji holela wa misitu Katav…
“unatoka tu ndani unakutana na fisi ni kama tumeshazoea” Na Restuta Nyondo Karibu kusikiliza makala inayoangazia utekelezaji kifungu cha sheria ya misitu 20002 na kifungu cha 81 cha sheria ya usimamizi wa mazingira 2004 kunasababisha ukataji holela wa misitu na…
10 September 2026, 10:07 am
SNV yarejesha tabasamu kwa wakulima
“mashamba yangu yote yalikumbwa na mtaro wa maji” Na. Restuta Nyondo Wakulima katika Kijiji cha Mnyagala wamelishukuru shirika la SNV kwa kusaidia kurejesha mto katika njia yake na kuokoa mashamba yao ambayo yamekua yakipotea kila mwaka. Wameiambia mpanda radio fm…
8 September 2026, 11:37 am
OCD awataka waendesha bajaji kuwa waadilifu na wazalendo
Jeshi la polisi wilayani Sengerema limezungumza na vijana wanaojishughulisha na usafirishaji wa abiria hasa bajaji na kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa nchi yao. Na Elisha Magege Wito huo umetolewa na mkuu wa jeshi la polisi Sengerema, SSP. Kurwa Misogalya wakati akizungumza…
7 September 2026, 2:56 pm
Mpanda yaanza kuchukua tahadhari El-Nino
Na. Ben Gadau “Wananchi wasibeze taarifa zinazotolewa na mamlaka ya hali ya hewa“ Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Jamil Yusuph Kimaro, amewataka wananchi kuchukua tahadhari mapema ili kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua za El-Nino zinazotarajiwa kuanza hivi…
5 September 2026, 1:03 am
Wazazi Ushetu, watakiwa kuwekeza elimu kwa watoto wao
‘‘Wazazi somesheni watoto wenu ili watimize ndoto zao’’ Wazazi na walezi katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kuwaozesha watoto wao kwa lengo la kutafuta mali, na badala kuwapa nafasi ya kusoma ili waweze kutimiza…
4 September 2026, 6:25 pm
Bodaboda kuchukuliwa hatua Rungwe
Mrakibu wa polisi wilaya ya Rungwe Felix Kakolanya akiongea na kituo hiki ofisini kwake[ Picha na Aidan Mwakyoma] waendesha vyombo vya moto nchini wametakiwa kufuata sheria ili kupunguza ajali RUNGWE Na Aidan Mwakyonya Mrakibu wa jeshi la polisi Wilayani Rungwe …
4 September 2026, 16:46
Mtwara DC yavuka lengo la ukusanyaji mapato kwa asilimia 12
Halmashauri ya Mtwara Vijijini imevuka lengo la mapato kwa mwaka 2025/2026, ikikusanya shilingi bilioni 7.5 dhidi ya bilioni 6.7, sawa na ongezeko la zaidi ya asilimia 12 Na Musa Mtepa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara imefanikiwa kuvuka lengo la ukusanyaji…
4 September 2026, 12:34 pm
Katavi yaja na kliniki ya sheria bila malipo
Na Ben Gadau Mkoa wa Katavi unatarajia kuzindua Kamati za Ushauri wa Kisheria ngazi ya Mkoa na Wilaya, Septemba 8, 2026 kwenye Viwanja vya Azimio mjini Mpanda, ambapo wananchi wa Katavi na mikoa jirani watapata huduma za Kliniki ya sheria…
27 August 2026, 20:17
TARI yaongeza utafiti kukabili visumbufu vya zao la korosho
TARI inaendelea na utafiti wa magonjwa na visumbufu vya korosho, ikiwemo mnyauko Fusari, huku ikitumia teknolojia ya drones na AI kuboresha udhibiti wa changamoto hizo na kuongeza uzalishaji Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) imeeleza kuwa…
24 August 2026, 10:17 pm
IAA kampasi ya Babati yazindua programu mbili za shahada
Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Kampasi ya Babati mkoani Manyara kimezindua programu mbili mpya za shahada ambazo zitaanza kutolewa katika kampasi hiyo kuanzia mwaka wa masomo 2026/2027. Na Mzidalfa Zaid Programu hizo ni Shahada ya Uhasibu na Teknolojia ya Habari…