Radio Tadio

Habari za Jumla

22 May 2026, 7:26 pm

Wanafunzi Babati wanufaika na elimu ya maadili

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini imefanya ziara ya kukagua na  kutoa elimu ya maadili katika shule mbalimbali wilayani Babati ikiwa ni sehemu ya awamu ya pili ya utekelezaji wa programu ya vilabu vya maadili mashuleni. …

19 May 2026, 16:32

DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi

Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…

19 May 2026, 11:34 am

Wananchi wamkataa mwenyekiti wa kijiji waibua tuhuma nzito

Kutokana na tuhuma hizo za mwenyekiti wa kijiji imepelekea wananchi kuishi maisha ya hofu wakiogopa kufanyiwa vitendo viouvu katika shughuli zao za utafutaji Na Denis Sinkonde, Wanakijiji wa kijiji cha Shitunguru, kata ya Nambinzo, Wilaya ya Mbozi wameonesha kutoridhishwa na…

18 May 2026, 5:56 pm

Bangi misokoto 177 yanaswa Arusha

“Tulifanikiwa kukamata watuhumiwa 19 wakiwa na mirungi kilo 90 na watuhumiwa 12….” Na Joel Headman Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti,…

13 May 2026, 11:51 am

Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi

umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…

12 May 2026, 8:35 pm

Migogoro ya ndoa si kuchana vyeti

Pichani ni msaidizi wa masuala ya kisheria kutoka shirika la Legal Right Enlightment Organisation, Jimmy Mgovano akiwa katika mahojiano maalumu na kituo cha redio cha Mufindi Fm.Picha na Mwanaidi Ngatala. Ndoa ni muungano wa hiari wa kisheria, kijamii, na mara…