Radio Tadio

Habari za Jumla

4 June 2026, 4:08 pm

RIVACU yaja na mipango mikakati ya kuinua ushirika Manyara

Chama kikuu Cha ushirika mkoa wa Manyara (RIVACU)kimefanya mkutano mkuu wa mwaka ambapo mipango mbalimbali imewasilishwa ikiwemo miradi itakayoendelezwa pamoja na uzalishaji kwa ajili ya kukuza chama hicho. Na Mzidalfa Zaid Akiongea baada ya kikao hicho mwenyekiti wa bodi ya…

4 June 2026, 2:16 pm

TAKUKURU Kahama yapongezwa

Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipongeza taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU), kwa juhudi za mapambano ya kuzia rushwa katika wilaya hiyo yenye halmashauri tatu. Na mwandishi wetu Hayo yamesemwe na Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda…

2 June 2026, 11:23

Ngajilo awawezesha wajasiriamali 400 Iringa

Ufunguzi wa mafunzo pichani Mafunzo hayo, ambayo ni msimu wa pili kufanyika, yamelenga kuwapa wajasiriamali wadogo na wa kati maarifa ya kisasa kuhusu usimamizi wa biashara, upatikanaji wa mitaji, masoko na fursa mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza tija na mchango…

2 June 2026, 11:21

Mtwara yawakutanisha wataalamu wa Korosho barani Afrika

Mtwara imekuwa mwenyeji wa mafunzo ya kimataifa ya korosho yaliyowakutanisha washiriki kutoka zaidi ya nchi 11 za Afrika kujadili mbinu za kuongeza uzalishaji, thamani na masoko ya zao la korosho kwa manufaa ya wakulima na wadau wa sekta hiyo Na…

30 May 2026, 2:50 pm

Wavamizi wachoma nyumba Muhunda

‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…

29 May 2026, 1:47 pm

Usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa namna gani shuleni?

Karibu usikilize makala maalum inayohusu usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa namna gani mashuleni? makala yetu imzezungumza na walimu wakuu, wanafunzi pamoja na walimu katika shule mbalimbali wilayani Babati mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid, Hawa Rashid

28 May 2026, 1:42 pm

Makarani Kahama wafundwa kuelekea uchaguzi mdogo

Makarani waongozaji wa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Zongomela wametakiwa kusoma Katiba sheria na miongozo ya tume ya uchaguzi Pamoja na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na msimamizi…

27 May 2026, 5:09 pm

Ujumbe wa Eid al-adha wahamasisha amani,mshikamano

“Amewataka waumini wa dini ya kiislam kuto kugawanyika kwa misingi ya siasa wala ukabila na udini jambo ambalo ni kinyume na taratibu namiongozo ya dini hiyo.” Na Samwel Mbugi- Katavi Waumini wa dini ya kiislamu mkoa wa Katavi wamesisitizwa kuwa…