Habari za Jumla
24 August 2026, 10:17 pm
IAA kampasi ya Babati yazindua programu mbili za shahada
Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA) Kampasi ya Babati mkoani Manyara kimezindua programu mbili mpya za shahada ambazo zitaanza kutolewa katika kampasi hiyo kuanzia mwaka wa masomo 2026/2027. Na Mzidalfa Zaid Programu hizo ni Shahada ya Uhasibu na Teknolojia ya Habari…
24 August 2026, 7:27 pm
Watoto 128,000 kupata chanjo ya polio Babati DC
Zaidi ya watoto laki moja na Ishirini na 8 elfu wenye umri chini ya miaka kumi katika halmashauri ya wilaya ya Babati mkoani Manyara wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya polio itakayotolewa kuanzia August 27 hadi 30 mwaka huu 2026. Na Marino…
22 August 2026, 1:43 pm
Kahama yasajili vikundi maalum 326 katika mfumo wa NeST
‘‘Endeleeni kusajili vikundi na kutumia katika zabuni mtakazokuwa mnatangaza ili nao wawe sehemu ya wanufaika’’ Halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imefanikiwa kusajili jumla ya vikundi 326 vya makundi maalum katika Mfumo wa Manunuzi ya Umma kwa Njia ya…
21 August 2026, 23:10
Jeshi la polisi Mbeya watembelea wagongwa
Katika kujenga umoja na ushirikiano katika jamii taasisi mbalimbli nchini zimeendelea kutembelea na kutoa misaada kwa watu wasio jiweza. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga amewaongoza Maafisa, Wakaguzi na Askari wa vyeo…
21 August 2026, 17:07
Wazazi Watakiwa Kutoa Lishe Bora kwa Watoto
Kutokana na uwepo wa changamoto ya udumavu wa watoto kutokana na ukosefu wa lishe bora. Na Ezra Mwilwa Wazazi na walezi wametakiwa kufika mara kwa mara katika vituo vya afya ili kupata elimu kuhusu uandaaji wa lishe bora kwa watoto,…
20 August 2026, 1:50 pm
Manyara yajipanga chanjo ya Polio kwa watoto 675,630
Na Isack Dickson Mkoani Manyara, maandalizi yamekamilika kuelekea kampeni ya chanjo ya matone ya Polio itakayofanyika Agosti 27 hadi 30, 2026. Watoto 675,630 walio chini ya umri wa miaka 10 wanatarajiwa kufikiwa na chanjo hiyo. Wanahabari wamepewa elimu ili kusaidia…
12 August 2026, 20:59
Enabel yawakabidhi vifaa vya tehama wasaidizi wa sheria Unguja, Pemba
Wasaidizi wa sheria katika wilaya 11 za Unguja na Pemba wamekabidhiwa vifaa vya TEHAMA kwa lengo la kuongeza ufanisi wa kazi na kuboresha huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi.Vifaa hivyo vinajumuisha laptop 33, desktop 33, tablet 22, mashine moja…
29 July 2026, 6:58 pm
Madiwani Kasulu wasisitizwa kusimamia miradi ya maendeleo
Kufuatia kuanza kwa mwaka mpya wa fedha, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu amewataka watumishi na viongozi kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uwajibikaji na ushirikiano ili kuhakikisha vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Sita vinatekelezwa kwa ufanisi. Na; Ramadhan Zaidy…
15 July 2026, 06:32
Simiyu kukabiliana na biashara haramu ya binadamu
“Hakuna mtu aliye juu ya sheria ambaye anafikiria atasalimika na mkono wa serikali kutokana na biashara haramu ambazo anafanya tutahakikisha tunathibiti kwa nguvu zote ili kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu”. Na, Anita Balingilaki Katika kuhakikisha kuna kuwepo uthibiti wa usafirishaji…
7 July 2026, 4:36 pm
RC Mhita, Marufuku kupokea dawa zenye muda wa chini ya miezi 12
‘‘Baadhi ya dawa kuharibika kwa muda mfupi, hilo hatuta kubali na badala yake pokeeni dawa zenye muda wake juu ya miezi 12’’ Halmashauri zote za mkoa wa Shinyanga zimeagizwa kutokupokea dawa za matumizi ya binadamu zenye muda wa matumizi uliobaki…