Habari za Jumla
26 March 2024, 19:03
Wadau waombwa kusaidia watoto wenye uhitaji
Katika ulimwengu huu hakuna anayejua kesho yake hivi ndivyo unaweza kusema baada ya baadhi ya watoto kujikuta wapo kwenye mazingira magumu baada ya kupoteza wazazi. Na Ezra Mwilwa Wadau mbalimbali wameomba kujenga tabia ya kutembelea wahitaji mbalimbali na watoto yatima…
March 26, 2024, 5:17 pm
Tatizo la maji Makete latafutiwa muarobahini.
ikiwa serkali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania imejikita katika kumtua mama ndoo kichwani wilaya ya Makete imefika zaidi ya 91%katika utekelezaji wa mkakati huo , Mkuu wa Wilaya ya Makete ambaye pia ni mgeni rasmi wa kikao Cha wadau…
26 March 2024, 4:11 pm
Aliyesombwa na mafuriko mwili wake umepatikana
Na Elias Maganga Mwili wa Kijana Shafii Abas Kambeyu aliyesombwa na mafuriko wakati akiwa anawavusha watu wengine katika daraja la Katindiuka halmashauri ya Mji wa Ifakara umepatikana. Akizungumza na pambazukofm Mwenyekiti wa Mtaa wa Katindiuka A Mulla Mlamba amesema mwili…
26 March 2024, 15:38
Wananchi wafurahia utekelezaji wa miradi ya elimu Kakonko
Wakazi wa Kata ya Kanyonza katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, wameishukuru serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kujenga shule ya sekondari ya wasichana ya bweni na ambayo itatoa fursa kwa mabinti…
26 March 2024, 10:34
Wakristo mtumikieni Mungu katika maisha yenu yote hapa duniani
Kwaresma kwa mkristo ni nguzo ya imani na inakumbusha mateso ya Yesu Kristo katika kipindi hiki waumini wanaaswa kufanya matendo mataua(matakatifu) ikiwa ni pamoja na kufanya matendo ya upendo na amani. Na Iman Anyigulile Waumini wa dini ya kikristo nchini…
26 March 2024, 09:31
Wananchi wapigwa marufuku kuuza mazao kiholela
Akiba ni msingi wa maendeleo,Mkoa wa Songwe ni moja ya mikoa ya nyanda za juu kusini inayosifika katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara,kumekuwa na tabia ya baadhi ya wananchi kusahau kesho yao pale wanapovuna mazao na wanajikuta wanauza…
26 March 2024, 09:06
Kamchape yawa tishio kwenye jamii Kigoma
Jamii wilayani Kasulu mkoani Kigoma imeaswa kupinga na kukemea huduma zinazotolewa na wapiga ramli chonganishi maarufu kwa jina la Kamchape ama lambalamba kwani wanasababisha kuvuruga amani hali inayosababisha madhara makubwa katika wananchi. hii hapa ni ripoti yake Hagai Ruyagila
25 March 2024, 5:31 pm
Mafuriko yaua mtu mmoja Ifakara
Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara wametakiwa kuwa makini katika kipindi hiki cha mafuriko na pia wazazi wanapaswa kuwaangalia watoto wao wasiwaache kwenda kuchezea maji kwani wanaweza kupoteza maisha Na Elias Maganga Baadhi ya maeneo katika Halmashauri ya Mji…
25 March 2024, 15:39
Shule za msingi zalia na miundombinu ya ufundishaji na ujifunzaji
Shule za Msingi Wilayani Kibondo, zimeomba Serikali, Mashirika ya Kuhudumia Wakimbizi pamoja na Wadau wa Elimu, Kusaidia ufanisi wa mazingira rafiki ya Ufundishaji na Ujifunzaji. Kutoka Wilayani Kibondo Mwanahabari Wetu Kadisilaus Ezekiel Anaripoti.
25 March 2024, 3:36 pm
Unakabiliana vipi na mila na desturi zinazokwamisha wanawake kushiriki kwnye vyo…
Na mwandishi wetu. Wanawake hawana nafasi kubwa ya kushiriki katika mikutano,mijadala na hawana ujasiri wa kutoa maoni yao haswa wanawake wa jamii ya kifungaji,na hii ni kutokana na mila na desturi kandamizi. Lakini zipo familia ambazo zimeweza kuachana na mila…