Radio Tadio

Habari za Jumla

28 Aprili 2026, 4:00 um

Wakaguzi wahimizwa kuzingatia maadili ya uchimbaji

Wakaguzi wakuu migodi mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa taaifa za kweli na sahihi kwa kile kitakacho tokea katika migodi ili kuondoka na taarifa zinazoleta tahuruki kwa Jamii, pamoja na kuzingatia maadili ya uchimbaji. Sebastian Mnakaya Wito huo umetolewa leo na mwenyekiti…

27 Aprili 2026, 23:38

Wakulima Kijiji cha Kitaya walia na wanayama wahalibifu wa Mazao

Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…

23 Aprili 2026, 10:08 um

DC Hanang ahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Almishi Issa Hazali ameunga mkono kwa vitendo agenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya nishati safi kupikia, kwa kununua jiko la umeme lenye Presha (Electrical Pressure Cooker)…

15 Aprili 2026, 12:38

Wanafunzi wafurahia zawadi kutoka kwa Waziri

Katika kukuza sekta ya elimu nchini waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Dk Leonard Akwilapo amezidi kugusa baadhi ya shule na kuwapatia vifaa. Na lilian Martin Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji,Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi,…

9 Aprili 2026, 17:06

Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili

Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…

2 Aprili 2026, 6:14 um

Uvaaji mavazi yasiyo na maadili huchochea ubakaji

Na Anna Mhina Baadhi ya wanaume manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameomba  serikali kusisitiza maadili kwa wanawake juu ya umuhimu wa uvaaji wa mavazi ya maadili ili kuepukana na vitendo vya ukatili ikiwemo ubakaji. Wakizungumza na Mpanda radio FM wanaume…

26 Machi 2026, 6:11 um

Kupanda kwa bei ya nyama, kilio kwa wafanyabiashara

Wananchi katika manisipaa ya Mpanda wameomba serikali kuingilia kati swala la kupanda kwa bei ya nyama ili kuhakikisha bei inashuka na kuendana na hali ya maisha ya wananchi wa kawaida. Na John Benjamin Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani…

24 Machi 2026, 18:41

Kaya 100 zakumbwa na mafuriko Kilombero

Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…