Habari za Jumla
22 May 2026, 7:26 pm
Wanafunzi Babati wanufaika na elimu ya maadili
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini imefanya ziara ya kukagua na kutoa elimu ya maadili katika shule mbalimbali wilayani Babati ikiwa ni sehemu ya awamu ya pili ya utekelezaji wa programu ya vilabu vya maadili mashuleni. …
20 May 2026, 7:01 pm
Wakulima zao la palachichi Mbozi (MAP) washauriwa kusajili kikundi
Chama cha Ushirika cha Msingi (AMCOS) kina fursa nyingi za kunufaisha wakukima. Na Stephano Simbeye KIKUNDI cha Wakulima wa zao la palachichi wilaya ya Mbozi (MAP) wameshauriwa kusajili kikundi hicho kuwa chama cha msingi cha Ushirika(AMCOS) ili waweze kunifaika na…
20 May 2026, 15:48
TAKUKURU Mtwara yafanikisha malipo ya zaidi ya milioni 87.3 kwa wananchi
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imewezesha kurejeshwa kwa zaidi ya shilingi milioni 87 kupitia miradi ya kuzuia rushwa, uchambuzi wa mifumo na ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma kati ya Januari hadi Machi 2026 Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia…
19 May 2026, 16:32
DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi
Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…
19 May 2026, 3:02 pm
Serikali wilayani Kahama imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayoji…
”kuanzia sasa hakuna kufanya biashara katika wilaya hii ya Kahama kwa kuwa hamna vibali pamoja na kuwatapeli wazazi na wanafunzi; Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayojihusisha na biashara mtandaoni baada ya kubaini kufanya…
19 May 2026, 11:34 am
Wananchi wamkataa mwenyekiti wa kijiji waibua tuhuma nzito
Kutokana na tuhuma hizo za mwenyekiti wa kijiji imepelekea wananchi kuishi maisha ya hofu wakiogopa kufanyiwa vitendo viouvu katika shughuli zao za utafutaji Na Denis Sinkonde, Wanakijiji wa kijiji cha Shitunguru, kata ya Nambinzo, Wilaya ya Mbozi wameonesha kutoridhishwa na…
18 May 2026, 5:56 pm
Bangi misokoto 177 yanaswa Arusha
“Tulifanikiwa kukamata watuhumiwa 19 wakiwa na mirungi kilo 90 na watuhumiwa 12….” Na Joel Headman Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti,…
13 May 2026, 12:27 pm
Wakazi Londoni Wafunguka Maumivu ya Umeme na Miundombinu
Suala la umeme jazilizi na ukarabati wa miundombinu ya barabara. Na Stephano Simbeye LONDONI: WAKAZI wa kitongoji Cha Londoni kata ya Hasanga, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamemkumbusha diwani wa kata ya Hasanga, Mh.Malick Nzowa suala la umeme jazilizi na…
13 May 2026, 11:51 am
Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi
umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…
12 May 2026, 8:35 pm
Migogoro ya ndoa si kuchana vyeti
Pichani ni msaidizi wa masuala ya kisheria kutoka shirika la Legal Right Enlightment Organisation, Jimmy Mgovano akiwa katika mahojiano maalumu na kituo cha redio cha Mufindi Fm.Picha na Mwanaidi Ngatala. Ndoa ni muungano wa hiari wa kisheria, kijamii, na mara…