
Recent posts

April 29, 2025, 1:54 pm
Wananchi Butiama watakiwa kujikita kwenye kilimo cha viazi, mahindi na ulezi
Wakulima mbali mbali kutoka wilaya ya butiama mkoani mara wametoa maoni yao juu ya namna wanaweza kupata mavuno mengi kupitia mazao ya viazi mahindi na ulezi kulingana na ardhi ya butiama ilivyo. Na swaiba Oscar, Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti…

April 24, 2025, 10:10 am
Mwampembwa: Wasanii Butiama shiriki bajeti ya Wizara yenu
Wasanii na wadau wa sanaa wilaya ya Butiama mkoani Mara wametakiwa kuwa na jukumu la kutoa maoni juu ya bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kupitia vyombo washirika. Na Swaiba Oscar na Robert Mwampembwa

April 23, 2025, 2:58 pm
Utafiti juu ya kuzipa heshima kazi za wabunifu
Shirika la Kazi Duniani ILO kwa kushikiana na UNESCO wamefanya utafti ni kwa namna gani wanaweza kuzipa heshima kazi za wabunifu kulingana na hadhi ya kazi hiyo. na Swaiba Oscar Akizungumza alipokuwa akifanyiwa mahojiano mkurugenzi wa culture development east Africa…

April 23, 2025, 10:27 am
Kijana wa Butiama ang’ara AFCON 2025
Kijana Juma Mwita Sagwe afunga goli pekee dhidi ya Zambia kwenye mchezo wa AFCON 2025 Morocco. Na Kelvin Ayoub Juma Mwita Sagwe ambaye ni zao la Brazuka Sports Promotion Ltd ambao walifanya mashindano ya kuibua vipaji vya vijana mwaka 2023…