Radio Tadio

Habari za Jumla

26 May 2026, 6:21 pm

Swala ya eid kuswaliwa uwanja wa Tanzanite Manyara

Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Manyara wametakiwa kushiriki swala ya Eid itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Tanzanite Kwaraa stadium huku wakihimizwa kujitokeza kwa wingi na kuendelea kutenda matendo mema katika  siku hiyo ya eid. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa…

25 May 2026, 6:05 pm

TAKUKURU yabaini ubadhirifu mradi wa shule Simanjiro

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi milioni mbili katika mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Namalulu iliyopo wilayani Simanjiro baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha za…

22 May 2026, 7:44 pm

 Yas Tanzania yapeleka huduma za mawasiliano Gendabi

Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx by Yas  Tanzania wamezindua mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G plus kwenye kijiji cha Gendabi Wilayani Hanang Mkoani Manyara.  Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Kiongozi wa…

22 May 2026, 7:26 pm

Wanafunzi Babati wanufaika na elimu ya maadili

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini imefanya ziara ya kukagua na  kutoa elimu ya maadili katika shule mbalimbali wilayani Babati ikiwa ni sehemu ya awamu ya pili ya utekelezaji wa programu ya vilabu vya maadili mashuleni. …

19 May 2026, 16:32

DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi

Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…

19 May 2026, 11:34 am

Wananchi wamkataa mwenyekiti wa kijiji waibua tuhuma nzito

Kutokana na tuhuma hizo za mwenyekiti wa kijiji imepelekea wananchi kuishi maisha ya hofu wakiogopa kufanyiwa vitendo viouvu katika shughuli zao za utafutaji Na Denis Sinkonde, Wanakijiji wa kijiji cha Shitunguru, kata ya Nambinzo, Wilaya ya Mbozi wameonesha kutoridhishwa na…