Habari za Jumla
26 May 2026, 6:21 pm
Swala ya eid kuswaliwa uwanja wa Tanzanite Manyara
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Manyara wametakiwa kushiriki swala ya Eid itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Tanzanite Kwaraa stadium huku wakihimizwa kujitokeza kwa wingi na kuendelea kutenda matendo mema katika siku hiyo ya eid. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa…
25 May 2026, 6:05 pm
TAKUKURU yabaini ubadhirifu mradi wa shule Simanjiro
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi milioni mbili katika mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Namalulu iliyopo wilayani Simanjiro baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha za…
25 May 2026, 4:51 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya lapata vitendea kazi
Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema , amewataka viongozi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilayani Babati mkoani Manyara kutoa elimu kwa wananchi namna ya kukabiliana na majanga kwa…
22 May 2026, 7:44 pm
Yas Tanzania yapeleka huduma za mawasiliano Gendabi
Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx by Yas Tanzania wamezindua mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G plus kwenye kijiji cha Gendabi Wilayani Hanang Mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Kiongozi wa…
22 May 2026, 7:26 pm
Wanafunzi Babati wanufaika na elimu ya maadili
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini imefanya ziara ya kukagua na kutoa elimu ya maadili katika shule mbalimbali wilayani Babati ikiwa ni sehemu ya awamu ya pili ya utekelezaji wa programu ya vilabu vya maadili mashuleni. …
20 May 2026, 7:01 pm
Wakulima zao la palachichi Mbozi (MAP) washauriwa kusajili kikundi
Chama cha Ushirika cha Msingi (AMCOS) kina fursa nyingi za kunufaisha wakukima. Na Stephano Simbeye KIKUNDI cha Wakulima wa zao la palachichi wilaya ya Mbozi (MAP) wameshauriwa kusajili kikundi hicho kuwa chama cha msingi cha Ushirika(AMCOS) ili waweze kunifaika na…
20 May 2026, 15:48
TAKUKURU Mtwara yafanikisha malipo ya zaidi ya milioni 87.3 kwa wananchi
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imewezesha kurejeshwa kwa zaidi ya shilingi milioni 87 kupitia miradi ya kuzuia rushwa, uchambuzi wa mifumo na ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma kati ya Januari hadi Machi 2026 Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia…
19 May 2026, 16:32
DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi
Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…
19 May 2026, 3:02 pm
Serikali wilayani Kahama imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayoji…
”kuanzia sasa hakuna kufanya biashara katika wilaya hii ya Kahama kwa kuwa hamna vibali pamoja na kuwatapeli wazazi na wanafunzi; Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayojihusisha na biashara mtandaoni baada ya kubaini kufanya…
19 May 2026, 11:34 am
Wananchi wamkataa mwenyekiti wa kijiji waibua tuhuma nzito
Kutokana na tuhuma hizo za mwenyekiti wa kijiji imepelekea wananchi kuishi maisha ya hofu wakiogopa kufanyiwa vitendo viouvu katika shughuli zao za utafutaji Na Denis Sinkonde, Wanakijiji wa kijiji cha Shitunguru, kata ya Nambinzo, Wilaya ya Mbozi wameonesha kutoridhishwa na…