Habari za Jumla
12 May 2026, 08:26
Askofu Julius Sikana awekwa fakfu jimbo la Mbozi
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mbozi kwamara ya kwanza wamepata Askofu kiongozi katika jimbo hilo Mchungaji Julius Sikana. Na Hobokela Lwinga Jamii yaaswa kutokuwa na roho ya kisasi badala yake wawe na roho ya msamaha. Askofu Mteule wa Kanisa…
12 May 2026, 08:07
Mawakala ununuzi wa pareto wapigwa msasa
kufuatia changamoto ya utoroshaji wa zao la pareto kwa baadhi ya watu wanao daiwa kuwa mawakala serikali imejipanga kudhibiti changamoto hiyo. Na Ezra Mwilwa Mawakala wa ununuzi wa zao la pareto wametakiwa kuzingatia taratibu na njia bora za ununuzi wa…
11 May 2026, 7:36 pm
“Umoja Songea Mafinga Mjini” wafanya matendo ya huruma watoto wenye…
Pichani ni umoja wa wakazi wanaoishi katika mji wa Mafinga kutoka Songea mkoani Ruvuma, watoto wanaolelewa katika kituo cha Yerusalem kilichopo mjini hapo sambamba na mlezi wa watoto hao Sister. Dativa Msilu, baada ya kukabidhi mahitaji mbalimbali ya watoto hao…
11 May 2026, 3:17 pm
Zaidi ya wakulima 1,092 wadai ruzuku ya mbolea Ushetu
Zaidi ya wakulima 1,092 katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wanadai ruzuku ya mfuko wa pembejeo aina ya NPK kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2023/2024 yenye thamani ya zaidi ya shilingi million 125. Madai hayo yametolewa na…
11 May 2026, 13:18
UNDP, SIDO zawainua wafugaji samaki Kibondo
Ufugaji wa samaki kwenye vizimba ni njia muhimu ya kuwawezesha vijana kiuchumi, kuongeza ajira, na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa. Na Mwandishi wetu Baadhi ya wafugaji wa samaki Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wameiomba jamii Wilayani humo kuendelea kuthamini na…
10 May 2026, 12:40 pm
Polisi na wananchi waimarisha ushirikiano
Wananchi mkoani Manyara wameungana na askari wa jeshi la polisi pamoja na familia zao katika kusherehekea siku ya familia ya polisi kwa lengo la kujenga mshikamano na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa askari wa jeshi la polisi. Na Mzidalfa…
8 May 2026, 16:53 pm
Sikiliza Vipaji vya watoto wa Migongo mission Day care
Radio fadhila na watoto wa Migongo Mission Day care wakionyesha uwezo wao wakiwa darasani Na lilian martin karibu kusikiliza kipindi cha watoto
8 May 2026, 14:04
ZIDO yawapa tabasamu yatima na watu wenye ulemavu kupitia misaada maalum
Taasisi ya Zanzibar International Development Organization (ZIDO) imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa watoto yatima na watu wenye ulemavu huko Dunga. Msaada huo umejumuisha vifaa vya skuli, visaidizi mwendo pamoja na mbuzi kwa familia…
8 May 2026, 12:18
Kaya 59 waathirika mafuriko wapatiwa msaada Mlimba
Msaada uliotolewa ni pamoja na vyandarua 59, ndoo 39, mikeka 42, blanketi 88 pamoja na mahindi zaidi ya tani sita Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya kaya 59 kutoka Kata ya Mngeta Halmashauri ya Mlimba zimeathirika na mafuriko yaliyotokea katika eneo…
7 May 2026, 5:24 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuwa waaminifu katika shughuli zao za kiuchumi
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwa waaminifu na waadili katika shuguliza zao mbalimbali za kijamii na kiuchumi pasipo kujitafutia faida kubwa. Na Mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Askofu wa jimbo katoliki la Kahama Christopher Ndizeye, wakati wa…