Habari za Jumla
19 Machi 2026, 08:01
Waandishi wa habari wapigwa msasa uthibiti wa Taarifa potofu mtandaoni
Kutokana na kuwepo kwa taarifa nyingi za upotoshaji katika mitandao ya kijamii Taasisi ya jamii Afrika imeona ipo sababu ya kutoa Elimu juu ya kutambua ukweli wa habari hizo ili kupunguza wimbi la taarifa potofu katika vyombo vya habari Na:…
17 Machi 2026, 2:26 um
Megawati 50 za Umeme wa jua Kishapu zaikosha kamati ya Bunge
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeipongeza Wizara ya Nishati kwa kuendelea kutekeleza mkakati wa kuzalisha umeme kwa kutumia vyanzo mbalimbali vya nishati (Energy Mix) ukiwamo mradi wa kuzalisha umeme wa jua wenye uwezo wa megawati 50…
17 Machi 2026, 1:30 um
Wakazi wa Lugela-Mtakuja kuondokana na changamoto ya nishati ya umeme
”Huduma ya niashati ya umeme kwa mtaa wa Lugela-Mtakuja unatarajiwa kufika katika eneo hilo hivi karibuni” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa mtaa wa Mtakuja kata ya Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinynga, wanatarajia kupatiwa huduma ya nishati ya umeme katika maeneo…
17 Machi 2026, 13:22
RC Macha amaliza mgogoro wa fidia kwa wananchi
“Ni kweli hakuna mtu asiyependa maendeleo ya nchi yake kila wananchi anatamani kuona miradi ya maendeleo inatekelezwa kwa wingi bila changamoto zozote zile za kimaslahi kwa wale wanaopaswa kulipwa fidia zao kutokana na kupisha miradi hiyo katika maeneo hayo”. Na,Daniel…
12 Machi 2026, 1:05 um
Wananchi waungana matengenezo barabara za mtaa
Wananchi wa ubalozi wa Msasani kitongoji cha Ipyana wilayani kyela wamehamasishana kulima barabara korofi kipindi hiki cha Mvua za masika na kupelekea kukosekana kwa mawasiliano kati ya ubalozi wao na balozi zingine. Na Masud Maulid Wananchi wa ubalozi wa msasani…
11 Machi 2026, 4:58 um
RC Katavi asikiliza kero za wananchi
“Kila taasisi ipande miti” Na Leah Kamala Wananchi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameelezea kero mbalimbali zinazowakabili katika maeneo yao, na kumuomba mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko kuzifanyia kazi ili kuboresha maisha yao. Kero hizo ziliwasilishwa na wananchi…
11 Machi 2026, 9:29 mu
‘Wakulima zingatieni ushauri’
Wakati mkoa wa Manyara ukiwa katika kipindi cha masikia, wakulima wametakiwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa kilimo Na Kudra Massaga Wakulima wilaya ya Babati Mkoani Manyara wametakiwa kufuata ushauri unaotolewa na wataalam wa kilimo pamoja na mamlaka ya hali ya…
10 Machi 2026, 11:31 um
Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa
“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…
9 Machi 2026, 20:17
Jamii yaaswa kuachana na matumizi ya dawa za kulevya
Na Jerome John. Jamii mkoani Dodoma imeshauriwa kutojiusisha na utumiaji wa dawa za kulevya au uuzaji kutokana na madhara makubwa yanayoweza kujitokeza endapo ukibainika. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa elimu kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za…
9 Machi 2026, 19:51
RC Malima awaonya wanaofumbia macho unyanyasaji dhidi ya wanawake
Picha ya Wanawake Morogoro wakiwa wameshika bango kusherehekea siki yao(Picha na Kuruthumu Mkata) “Kuna watu watendaji wanaona mwanamke ananyang’anywa ardhi anabariki nikimsikia mtu anaangalia unyanyasaji wa namna hii ahame mkoa wangu” Na Amina Mrisho Watendaji wote wa serikali kuanzia ngazi…