Habari za Jumla
7 May 2026, 5:07 pm
Diwani aomba nishati ya umeme ipelekwe katika shule za msingi Mlimani na Mtakuj…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeombwa kupeleka nishati ya umeme katika shule ya Msingi Mlimani na Mtakuja ambazo tayari zimefungwa miundombinu ya umeme zilizoopo katika kata ya Nyahanga. Akizungumza katika baraza la madiwani la Manispaa…
6 May 2026, 10:12
Mawazo ya wanajamii ni muhimu katika kufikia maendeleo
“Ikiwa mnahitaji kupata maendeleo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…
30 April 2026, 15:06
Tindiga yapokea msaada kufuatia mafuriko
Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha uharibifu wa makazi, mashamba na miundombinu, na kuwaacha wananchi wengi wa kata ya Tindiga bila makazi na chakula. Na Beatrice Majaliwa Shirika la Norwegian Church Aid kwa kushirikiana na Anglican Dayosisi ya Morogoro limetoa…
28 April 2026, 18:48
Kijiji chakusanya Tsh. 150,000 Septemba 2025-Aprili 2026
Wananchi wa Kitaya wajadili mapato, matumizi na changamoto za uongozi, wakitaka uwazi zaidi huku viongozi wakiiomba serikali kutatua sintofahamu inayokwamisha maendeleo ya kijiji Na Musa Mtepa Kijiji cha Kitaya, Aprili 24, 2026 kimefanya mkutano mkuu wa kijiji wenye lengo la…
28 April 2026, 4:14 pm
Wachimbaji wadogo wa madini wahimizwa usalama kazini
Mkurugenzi wa Huduma za Leseni wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi (Sebastian Mnakaya) Wakaguzi Wakuu wa Migodi pamoja na wachimbaji wadogo nchini wamesisitizwa umuhimu wa kuimarisha usalama kazini, kulinda mazingira na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…
28 April 2026, 4:00 pm
Wakaguzi wahimizwa kuzingatia maadili ya uchimbaji
Wakaguzi wakuu migodi mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa taaifa za kweli na sahihi kwa kile kitakacho tokea katika migodi ili kuondoka na taarifa zinazoleta tahuruki kwa Jamii, pamoja na kuzingatia maadili ya uchimbaji. Sebastian Mnakaya Wito huo umetolewa leo na mwenyekiti…
27 April 2026, 23:38
Wakulima Kijiji cha Kitaya walia na wanayama wahalibifu wa Mazao
Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…
23 April 2026, 10:08 pm
DC Hanang ahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Almishi Issa Hazali ameunga mkono kwa vitendo agenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya nishati safi kupikia, kwa kununua jiko la umeme lenye Presha (Electrical Pressure Cooker)…
21 April 2026, 9:34 am
Kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.
Zaidi ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza Na Devi Moses ZAIDI ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza ya kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe. Kambi hiyo imefunguliwa rasmi April 20,…
15 April 2026, 12:38 pm
Wanafunzi wafurahia zawadi kutoka kwa Waziri
Katika kukuza sekta ya elimu nchini waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Dk Leonard Akwilapo amezidi kugusa baadhi ya shule na kuwapatia vifaa. Na lilian Martin Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji,Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi,…