Radio Tadio

Habari za Jumla

18 May 2026, 5:56 pm

Bangi misokoto 177 yanaswa Arusha

“Tulifanikiwa kukamata watuhumiwa 19 wakiwa na mirungi kilo 90 na watuhumiwa 12….” Na Joel Headman Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti,…

13 May 2026, 11:51 am

Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi

umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…

12 May 2026, 8:35 pm

Migogoro ya ndoa si kuchana vyeti

Pichani ni msaidizi wa masuala ya kisheria kutoka shirika la Legal Right Enlightment Organisation, Jimmy Mgovano akiwa katika mahojiano maalumu na kituo cha redio cha Mufindi Fm.Picha na Mwanaidi Ngatala. Ndoa ni muungano wa hiari wa kisheria, kijamii, na mara…

12 May 2026, 08:26

Askofu Julius Sikana awekwa fakfu jimbo la Mbozi

Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mbozi kwamara ya kwanza wamepata Askofu kiongozi katika jimbo hilo Mchungaji Julius Sikana. Na Hobokela Lwinga Jamii yaaswa kutokuwa na roho ya kisasi badala yake wawe na roho ya msamaha. Askofu Mteule wa Kanisa…

12 May 2026, 08:07

Mawakala ununuzi wa pareto wapigwa msasa

kufuatia changamoto ya utoroshaji wa zao la pareto kwa baadhi ya watu wanao daiwa kuwa mawakala serikali imejipanga kudhibiti changamoto hiyo. Na Ezra Mwilwa Mawakala wa ununuzi wa zao la pareto wametakiwa kuzingatia taratibu na njia bora za ununuzi wa…

11 May 2026, 3:17 pm

Zaidi ya wakulima 1,092 wadai ruzuku ya mbolea Ushetu

Zaidi ya wakulima 1,092 katika Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wanadai ruzuku ya mfuko wa pembejeo aina ya NPK kwa msimu wa kilimo wa mwaka 2023/2024 yenye thamani ya zaidi ya shilingi million 125. Madai hayo yametolewa na…

11 May 2026, 13:18

UNDP, SIDO zawainua wafugaji samaki Kibondo

Ufugaji wa samaki kwenye vizimba ni njia muhimu ya kuwawezesha vijana kiuchumi, kuongeza ajira, na kuchangia maendeleo ya jamii na taifa. Na Mwandishi wetu Baadhi ya wafugaji wa samaki Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma wameiomba jamii Wilayani humo kuendelea kuthamini na…

10 May 2026, 12:40 pm

Polisi na wananchi waimarisha ushirikiano

Wananchi mkoani Manyara wameungana na askari wa jeshi la polisi pamoja na familia zao katika kusherehekea siku ya familia ya polisi kwa lengo la kujenga mshikamano na kuongeza ufanisi wa utendaji kazi kwa askari wa jeshi la polisi. Na Mzidalfa…