Habari za Jumla
28 May 2026, 1:42 pm
Makarani Kahama wafundwa kuelekea uchaguzi mdogo
Makarani waongozaji wa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Zongomela wametakiwa kusoma Katiba sheria na miongozo ya tume ya uchaguzi Pamoja na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na msimamizi…
28 May 2026, 1:32 pm
Manispaa ya Kahama yatia saini ya ujenzi wa wa barabara ya lami
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Riziki Shemdoe, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa barabara katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kupitia Mradi wa TACTIC. Na mwandishi…
27 May 2026, 5:09 pm
Ujumbe wa Eid al-adha wahamasisha amani,mshikamano
“Amewataka waumini wa dini ya kiislam kuto kugawanyika kwa misingi ya siasa wala ukabila na udini jambo ambalo ni kinyume na taratibu namiongozo ya dini hiyo.” Na Samwel Mbugi- Katavi Waumini wa dini ya kiislamu mkoa wa Katavi wamesisitizwa kuwa…
26 May 2026, 6:21 pm
Swala ya eid kuswaliwa uwanja wa Tanzanite Manyara
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Manyara wametakiwa kushiriki swala ya Eid itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Tanzanite Kwaraa stadium huku wakihimizwa kujitokeza kwa wingi na kuendelea kutenda matendo mema katika siku hiyo ya eid. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa…
25 May 2026, 6:05 pm
TAKUKURU yabaini ubadhirifu mradi wa shule Simanjiro
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi milioni mbili katika mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Namalulu iliyopo wilayani Simanjiro baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha za…
25 May 2026, 4:51 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya lapata vitendea kazi
Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema , amewataka viongozi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilayani Babati mkoani Manyara kutoa elimu kwa wananchi namna ya kukabiliana na majanga kwa…
22 May 2026, 7:44 pm
Yas Tanzania yapeleka huduma za mawasiliano Gendabi
Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx by Yas Tanzania wamezindua mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G plus kwenye kijiji cha Gendabi Wilayani Hanang Mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Kiongozi wa…
22 May 2026, 7:26 pm
Wanafunzi Babati wanufaika na elimu ya maadili
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma Kanda ya Kaskazini imefanya ziara ya kukagua na kutoa elimu ya maadili katika shule mbalimbali wilayani Babati ikiwa ni sehemu ya awamu ya pili ya utekelezaji wa programu ya vilabu vya maadili mashuleni. …
20 May 2026, 7:01 pm
Wakulima zao la palachichi Mbozi (MAP) washauriwa kusajili kikundi
Chama cha Ushirika cha Msingi (AMCOS) kina fursa nyingi za kunufaisha wakukima. Na Stephano Simbeye KIKUNDI cha Wakulima wa zao la palachichi wilaya ya Mbozi (MAP) wameshauriwa kusajili kikundi hicho kuwa chama cha msingi cha Ushirika(AMCOS) ili waweze kunifaika na…
20 May 2026, 15:48
TAKUKURU Mtwara yafanikisha malipo ya zaidi ya milioni 87.3 kwa wananchi
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imewezesha kurejeshwa kwa zaidi ya shilingi milioni 87 kupitia miradi ya kuzuia rushwa, uchambuzi wa mifumo na ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma kati ya Januari hadi Machi 2026 Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia…