Habari za Jumla
19 May 2026, 16:32
DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi
Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…
19 May 2026, 3:02 pm
Serikali wilayani Kahama imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayoji…
”kuanzia sasa hakuna kufanya biashara katika wilaya hii ya Kahama kwa kuwa hamna vibali pamoja na kuwatapeli wazazi na wanafunzi; Serikali wilayani Kahama mkoani Shinyanga imeipiga Marufuku kampuni ya QNET EAGLES UNITED inayojihusisha na biashara mtandaoni baada ya kubaini kufanya…
19 May 2026, 11:34 am
Wananchi wamkataa mwenyekiti wa kijiji waibua tuhuma nzito
Kutokana na tuhuma hizo za mwenyekiti wa kijiji imepelekea wananchi kuishi maisha ya hofu wakiogopa kufanyiwa vitendo viouvu katika shughuli zao za utafutaji Na Denis Sinkonde, Wanakijiji wa kijiji cha Shitunguru, kata ya Nambinzo, Wilaya ya Mbozi wameonesha kutoridhishwa na…
18 May 2026, 5:56 pm
Bangi misokoto 177 yanaswa Arusha
“Tulifanikiwa kukamata watuhumiwa 19 wakiwa na mirungi kilo 90 na watuhumiwa 12….” Na Joel Headman Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti,…
13 May 2026, 12:27 pm
Wakazi Londoni Wafunguka Maumivu ya Umeme na Miundombinu
Suala la umeme jazilizi na ukarabati wa miundombinu ya barabara. Na Stephano Simbeye LONDONI: WAKAZI wa kitongoji Cha Londoni kata ya Hasanga, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamemkumbusha diwani wa kata ya Hasanga, Mh.Malick Nzowa suala la umeme jazilizi na…
13 May 2026, 11:51 am
Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi
umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…
12 May 2026, 8:35 pm
Migogoro ya ndoa si kuchana vyeti
Pichani ni msaidizi wa masuala ya kisheria kutoka shirika la Legal Right Enlightment Organisation, Jimmy Mgovano akiwa katika mahojiano maalumu na kituo cha redio cha Mufindi Fm.Picha na Mwanaidi Ngatala. Ndoa ni muungano wa hiari wa kisheria, kijamii, na mara…
12 May 2026, 08:26
Askofu Julius Sikana awekwa fakfu jimbo la Mbozi
Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mbozi kwamara ya kwanza wamepata Askofu kiongozi katika jimbo hilo Mchungaji Julius Sikana. Na Hobokela Lwinga Jamii yaaswa kutokuwa na roho ya kisasi badala yake wawe na roho ya msamaha. Askofu Mteule wa Kanisa…
12 May 2026, 08:07
Mawakala ununuzi wa pareto wapigwa msasa
kufuatia changamoto ya utoroshaji wa zao la pareto kwa baadhi ya watu wanao daiwa kuwa mawakala serikali imejipanga kudhibiti changamoto hiyo. Na Ezra Mwilwa Mawakala wa ununuzi wa zao la pareto wametakiwa kuzingatia taratibu na njia bora za ununuzi wa…
11 May 2026, 7:36 pm
“Umoja Songea Mafinga Mjini” wafanya matendo ya huruma watoto wenye…
Pichani ni umoja wa wakazi wanaoishi katika mji wa Mafinga kutoka Songea mkoani Ruvuma, watoto wanaolelewa katika kituo cha Yerusalem kilichopo mjini hapo sambamba na mlezi wa watoto hao Sister. Dativa Msilu, baada ya kukabidhi mahitaji mbalimbali ya watoto hao…