Radio Tadio

Habari za Jumla

19 May 2026, 16:32

DC Kigoma apiga marufuku ufyatuaji tofali eneo la makazi

Hatua hiyo ni baada ya wananchi wenye makazi yao katika eneo hilo kulalamikia athari zilizoanza kujitokeza kutokana na shughuli za uchimbaji udongo kwa ajili ya tofali ambazo zimesababisha mashimo yanayotuamisha maji jirani na makazi yao na kuhatarisha usalama wa nyumba…

19 May 2026, 11:34 am

Wananchi wamkataa mwenyekiti wa kijiji waibua tuhuma nzito

Kutokana na tuhuma hizo za mwenyekiti wa kijiji imepelekea wananchi kuishi maisha ya hofu wakiogopa kufanyiwa vitendo viouvu katika shughuli zao za utafutaji Na Denis Sinkonde, Wanakijiji wa kijiji cha Shitunguru, kata ya Nambinzo, Wilaya ya Mbozi wameonesha kutoridhishwa na…

18 May 2026, 5:56 pm

Bangi misokoto 177 yanaswa Arusha

“Tulifanikiwa kukamata watuhumiwa 19 wakiwa na mirungi kilo 90 na watuhumiwa 12….” Na Joel Headman Jeshi la polisi mkoani Arusha limesema katika kipindi cha Aprili 18, 2026 hadi sasa, watuhumiwa 176 wamehukumiwa vifungo mbalimbali vya makosa ya jinai ikiwemo ulawiti,…

13 May 2026, 11:51 am

Jamii imeaswa kuwafundisha watoto mabadiliko ya tabianchi

umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Na Stephano Simbeye CHITETE: JAMII imeaswa kuanza kulea watoto na kuwafundisha umuhimu wa kuhifafhi mazingira ili kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi tangu wakiwa wadogo. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa…

12 May 2026, 8:35 pm

Migogoro ya ndoa si kuchana vyeti

Pichani ni msaidizi wa masuala ya kisheria kutoka shirika la Legal Right Enlightment Organisation, Jimmy Mgovano akiwa katika mahojiano maalumu na kituo cha redio cha Mufindi Fm.Picha na Mwanaidi Ngatala. Ndoa ni muungano wa hiari wa kisheria, kijamii, na mara…

12 May 2026, 08:26

Askofu Julius Sikana awekwa fakfu jimbo la Mbozi

Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mbozi kwamara ya kwanza wamepata Askofu kiongozi katika jimbo hilo Mchungaji Julius Sikana. Na Hobokela Lwinga Jamii yaaswa kutokuwa na roho ya kisasi badala yake wawe na roho ya msamaha. Askofu Mteule wa Kanisa…

12 May 2026, 08:07

Mawakala ununuzi wa pareto wapigwa msasa

kufuatia changamoto ya utoroshaji wa zao la pareto kwa baadhi ya watu wanao daiwa kuwa mawakala serikali imejipanga kudhibiti changamoto hiyo. Na Ezra Mwilwa Mawakala wa ununuzi wa zao la pareto wametakiwa kuzingatia taratibu na njia bora za ununuzi wa…