Habari za Jumla
8 May 2026, 16:53 pm
Sikiliza Vipaji vya watoto wa Migongo mission Day care
Radio fadhila na watoto wa Migongo Mission Day care wakionyesha uwezo wao wakiwa darasani Na lilian martin karibu kusikiliza kipindi cha watoto
8 May 2026, 14:04
ZIDO yawapa tabasamu yatima na watu wenye ulemavu kupitia misaada maalum
Taasisi ya Zanzibar International Development Organization (ZIDO) imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 30 kwa watoto yatima na watu wenye ulemavu huko Dunga. Msaada huo umejumuisha vifaa vya skuli, visaidizi mwendo pamoja na mbuzi kwa familia…
8 May 2026, 12:18
Kaya 59 waathirika mafuriko wapatiwa msaada Mlimba
Msaada uliotolewa ni pamoja na vyandarua 59, ndoo 39, mikeka 42, blanketi 88 pamoja na mahindi zaidi ya tani sita Na Kuruthumu Mkata Zaidi ya kaya 59 kutoka Kata ya Mngeta Halmashauri ya Mlimba zimeathirika na mafuriko yaliyotokea katika eneo…
7 May 2026, 5:24 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuwa waaminifu katika shughuli zao za kiuchumi
Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kuwa waaminifu na waadili katika shuguliza zao mbalimbali za kijamii na kiuchumi pasipo kujitafutia faida kubwa. Na Mwandishi wetu Wito huo umetolewa na Askofu wa jimbo katoliki la Kahama Christopher Ndizeye, wakati wa…
7 May 2026, 5:07 pm
Diwani aomba nishati ya umeme ipelekwe katika shule za msingi Mlimani na Mtakuj…
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga limeombwa kupeleka nishati ya umeme katika shule ya Msingi Mlimani na Mtakuja ambazo tayari zimefungwa miundombinu ya umeme zilizoopo katika kata ya Nyahanga. Akizungumza katika baraza la madiwani la Manispaa…
6 May 2026, 10:12
Mawazo ya wanajamii ni muhimu katika kufikia maendeleo
“Ikiwa mnahitaji kupata maendeleo nilazima viongozi mkubali kuwashirikisha wananchi kutoka kwenye makundi yote ndani ya jamii bila ya ubaguzi. Na Vuai juma. Viongozi wa Wilaya Kaskazini “B” Unguja wametakiwa kuwajibika katika majukumu yao sambamba na kuwashirikisha wananchi wakati wa kufanya…
30 April 2026, 15:06
Tindiga yapokea msaada kufuatia mafuriko
Mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha uharibifu wa makazi, mashamba na miundombinu, na kuwaacha wananchi wengi wa kata ya Tindiga bila makazi na chakula. Na Beatrice Majaliwa Shirika la Norwegian Church Aid kwa kushirikiana na Anglican Dayosisi ya Morogoro limetoa…
28 April 2026, 18:48
Kijiji chakusanya Tsh. 150,000 Septemba 2025-Aprili 2026
Wananchi wa Kitaya wajadili mapato, matumizi na changamoto za uongozi, wakitaka uwazi zaidi huku viongozi wakiiomba serikali kutatua sintofahamu inayokwamisha maendeleo ya kijiji Na Musa Mtepa Kijiji cha Kitaya, Aprili 24, 2026 kimefanya mkutano mkuu wa kijiji wenye lengo la…
28 April 2026, 4:14 pm
Wachimbaji wadogo wa madini wahimizwa usalama kazini
Mkurugenzi wa Huduma za Leseni wa Tume ya Madini, Mhandisi Aziza Swedi (Sebastian Mnakaya) Wakaguzi Wakuu wa Migodi pamoja na wachimbaji wadogo nchini wamesisitizwa umuhimu wa kuimarisha usalama kazini, kulinda mazingira na kuongeza mchango wa sekta ya madini katika ukuaji…
28 April 2026, 4:00 pm
Wakaguzi wahimizwa kuzingatia maadili ya uchimbaji
Wakaguzi wakuu migodi mkoani Shinyanga wametakiwa kutoa taaifa za kweli na sahihi kwa kile kitakacho tokea katika migodi ili kuondoka na taarifa zinazoleta tahuruki kwa Jamii, pamoja na kuzingatia maadili ya uchimbaji. Sebastian Mnakaya Wito huo umetolewa leo na mwenyekiti…