Radio Tadio

Habari za Jumla

14 Febuari 2026, 10:26 mu

Diwani aomba serikali kujenga shule ya sekondari

”Kata ya Nyahanga ina shule za msingi tano, huku ikiwa na shule moja ya sekondari ambayo imekuwa ikipokea wanafunzi wengi hali inayosababisa kuongeza shule nyingine ya pili ili kuondokana na changamoto kuwa na wanafunzi wengi” Diwani wa kata ya Nyahanga,…

13 Febuari 2026, 10:50

Upendo na ukarimu hakupunguzi kiwango cha elimu zenu

Misemo na methali mbalimbali zinaendelea tukumbusha kutenda mema kama vile usimdharau usiemjua hii inatukumbusha kuwa kutenda mema wakati wote bila kuchagua ni nani wakumtendea wema huo hii uleta amani na upendo kwa aliyetendewa. Na,Lilian Martin Waziri wa Afya Mhe,Muhammed Mchengerwa…

12 Febuari 2026, 8:14 um

Wanafunzi wote wanapaswa kuripoti shuleni

‘Tunapaswa kuhakikisha wanafunzi wote wenye sifa wanaenda shule madiwani waote na wakuu wa idara ya elimu mkasimamie hilo na kuzingatia chakula kinapatikana shuleni Kwa ajili ya lishe Kwa wanafunzi” Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salmu Alfan Mtelela Na Amos Marwa…

11 Febuari 2026, 7:44 mu

Madiwani Ushetu hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika

”Madiwani hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zenu” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zao, pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Wito huo umetolewa…

5 Febuari 2026, 16:58

97% ya watanzania wanafanya kazi sekta ya madini

Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yameleta mafanikio makubwa kwa Watanzania katika sekta ya madini, ambapo katika migodi mikubwa ya madini iliyopo nchini asilimia 97 ya wafanyakazi ni Watanzania na zaidi ya asilimia tisini ya uongozi na…

2 Febuari 2026, 6:57 um

RC Songwe azindua gari SORECU

Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…