Radio Tadio

Habari za Jumla

May 1, 2024, 8:00 am

Rc Songwe akemea wananchi kuuziwa vitambulisho vyua Nida

Na Denis Sinkonde,Songwe Viongozi wa serikali za vijiji na mitaa mkoani Songwe wametahadhirishwa kutowauzia wananchi vitambulisho vya Uraia(NIDA) watakaobainika kuchukuliwa hatua kali. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Itale kata ya Itale Mkuu wa Mkoa huo Daniel Chongolo leo Aprili…

1 May 2024, 12:11 am

Wafanyakazi Morogoro walia kwa kutopandishwa madaraja

Wajumbe wa halmashauri za  mkoa wa MIorogooro wameketi kikao cha mwisho mjini Ifakara, kupanga na kuweka sawabajeti kuelekea maadhimisho ya Mei Mosi 2024 Na: Isidory Matanddula Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika mkoa wa Morogoro yatafanyika katika halmashauri ya…

30 April 2024, 6:59 pm

Wananchi wafurahia ujenzi wa barabara ya katumba-mwakaleli

serikali imeendelea kuboresha miundombiu ya barabara kwa dhumuni ya kuunganisha halmashauri zote nchini ili kuweza kufikika kwa urahisi wananchi wakiwa kwenye furaha baada ya mkandarasi kukabidhiwa barabara ili anze kujenga [picha na lennox mwamakula] RUNGWE-MBEYA Na lennox Mwamakula Serikali imetenga…

30 April 2024, 14:10

Kyela:Madaktari na wauguzi wazembe sasa kukiona chamoto

Katika kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinapatikana katika zahanati,vituo vya afya na hospitali ya wilaya ya kyela serikali imekusudia kuwaondoa kazini watumishi wote walio na lugha mbaya ya matusi kwa wagonjwa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Ziara ya…

30 April 2024, 07:22

Wachungaji walia na ukata makanisani

Ili kuakabiliana na umasikini ambao umekuwa ukisumbua watumishi wa mungu, wameshauriwa kubuni na kuanzisha miradi ya maendeleo ili kuwasaidia kuinua uchumi wao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wachungaji wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika mkoani Kigoma wameshauriwa kufanya…

April 30, 2024, 6:28 am

Rc chongolo apongeza kasi ya mradi wa maji Ileje

Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo ameipongeza Wakala Wa Maji na Usafi wa Mazingira (Ruwasa) wilayani Ileje mkoani humo kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji wa shilingi bilioni 4.9 utakaotatua changamoto ya maji Itumba…

29 April 2024, 14:52

Wafanyabiashara Kigoma waikaba shati serikali, wagoma kuhama

Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali mkoani Kigoma zimesababisha maji kujaa kwenye mwalo na kuharibu miundombinu ya bandari ndogo ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Kadilsaus Ezekiel – Kigoma Wafanyabiashara  wa  mazao ya uvuvi na  mbogamboga  waliovamiwa na maji…

April 29, 2024, 7:25 am

RC Songwe atangaza kiama wanaowapa mimba wanafunzi

Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amekemea vikali tabia ya uwepo wa mimba za utotoni hususani wanafunzi katika wilaya ya Ileje ambapo amesema katika utawala wake hakuna mtu yeyote atakayekwepa mkono wa dola kwa kumpatia…

27 April 2024, 00:11

Wananchi watakiwa kutumia michezo kuimarisha afya zao

Afya ni mtaji jambo lolote ili uweze kulifanya linategemea afya njema hata hivyo wataalamu wa afya wanasisitiza kutunza afya kwa njia ya mazoezi kwani mazoezi yanatajwa kuwa tiba ya kuuokoa mwili wako usipatwe na magonjwa. Na Rukia Chasanika Ikiwa leo…