Habari za Jumla
27 April 2026, 23:38
Wakulima Kijiji cha Kitaya walia na wanayama wahalibifu wa Mazao
Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…
23 April 2026, 10:08 pm
DC Hanang ahimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Almishi Issa Hazali ameunga mkono kwa vitendo agenda ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ya matumizi ya nishati safi kupikia, kwa kununua jiko la umeme lenye Presha (Electrical Pressure Cooker)…
21 April 2026, 9:34 am
Kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe.
Zaidi ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza Na Devi Moses ZAIDI ya wagonjwa 300 wamepata matibabu siku ya kwanza ya kambi ya madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe. Kambi hiyo imefunguliwa rasmi April 20,…
15 April 2026, 12:38 pm
Wanafunzi wafurahia zawadi kutoka kwa Waziri
Katika kukuza sekta ya elimu nchini waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Dk Leonard Akwilapo amezidi kugusa baadhi ya shule na kuwapatia vifaa. Na lilian Martin Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji,Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi,…
9 April 2026, 23:42
Goli la Mama kuinua vipaji vya wanasoka nchini
Na Catherine Sekibaha. Goli la mama ni mpango wa motisha kwa wachezaji na viabu vya tanzania vinavyoshiriki michezo ya kimataifa kama njia ya kuongeza hamasa. Kupitia mpango huo umechangia maendeleo makubwa ya kimichezo nchini. Hayo yanaelezwa kupitia makala hii.
9 April 2026, 17:06
Viongozi wa umma watakiwa kuendelea kuzingatia maadili
Sekretarieti ya maadili ya viongozi wa umma ni taasisi iliyo chini ya ofisi ya rais kwa kusimamia maadili ya viongozi wa umma katika uwajibikaji wa shughuli mbalibali. Na Jerome John. Viongozi wa umma nchini wamekumbushwa kuendelea kuzingatia suala la maadili…
3 April 2026, 15:05
Maono ya Rais Samia uchumi wa buluu ulivyoanza kuleta tija kwa wavuvi Pangani
Na Hamisi Makungu Mpango wa Serikali unaosimamiwa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), umefanikiwa kuwawezesha wavuvi wa Mkoa wa Tanga kunufaika kupitia Uchumi wa buluu. Mpango huo ambao unatekelezwa kwa…
2 April 2026, 6:14 pm
Uvaaji mavazi yasiyo na maadili huchochea ubakaji
Na Anna Mhina Baadhi ya wanaume manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameomba serikali kusisitiza maadili kwa wanawake juu ya umuhimu wa uvaaji wa mavazi ya maadili ili kuepukana na vitendo vya ukatili ikiwemo ubakaji. Wakizungumza na Mpanda radio FM wanaume…
26 March 2026, 6:11 pm
Kupanda kwa bei ya nyama, kilio kwa wafanyabiashara
Wananchi katika manisipaa ya Mpanda wameomba serikali kuingilia kati swala la kupanda kwa bei ya nyama ili kuhakikisha bei inashuka na kuendana na hali ya maisha ya wananchi wa kawaida. Na John Benjamin Baadhi ya wananchi manispaa ya Mpanda mkoani…
24 March 2026, 18:41
Kaya 100 zakumbwa na mafuriko Kilombero
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…