Habari za Jumla
11 Febuari 2026, 7:44 mu
Madiwani Ushetu hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika
”Madiwani hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zenu” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zao, pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Wito huo umetolewa…
5 Febuari 2026, 16:58
97% ya watanzania wanafanya kazi sekta ya madini
Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yameleta mafanikio makubwa kwa Watanzania katika sekta ya madini, ambapo katika migodi mikubwa ya madini iliyopo nchini asilimia 97 ya wafanyakazi ni Watanzania na zaidi ya asilimia tisini ya uongozi na…
5 Febuari 2026, 12:39 um
Benki ya NMB yatoa msaada taasisi za elimu na afya
Picha ya meneja wa Benki ya NMB Baraka Ladislaus Katika kuchangia wanafunzi kupata elimu bora na huduma bora za afya Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika zahanati na shule za msingi halmashauri ya Babati Mkoani Manyara Na…
2 Febuari 2026, 6:57 um
RC Songwe azindua gari SORECU
Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…
2 Febuari 2026, 4:58 um
‘Maendeleo ya kijiji yanaletwa na wananchi wenyewe’ – Edwine L…
Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro Wananchi wa kijiji cha kwasadala kata ya Masama Kusini, Wilaya ya Hai Mkoani Kilimajaro wamejitokeza kwa wingi kusikiliza bajeti ya mapato na matumizi ya kijiji pamoja na kujadili maendeleo ya kijiji chao. Na Henry Keto, Hai-Kilimanjaro…
27 Januari 2026, 14:46
Sekta binafsi yahimizwa kusaidia kuokoa maisha kupitia uchangiaji damu
Na Mary Julius. Balozi wa Utalii Zanzibar, Lois Inninger, amezitaka kampuni binafsi zinazofanya shughuli zake hapa nchini kurudisha kwa jamii sehemu ya faida wanazozipata, kwa kuchangia misaada mbalimbali itakayosaidia kuboresha ustawi wa jamii, hususan katika sekta ya afya. Balozi Inninger…
27 Januari 2026, 2:15 mu
Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa
Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…
22 Januari 2026, 9:57 mu
Wananchi Kahama watakiwa kuacha tabia ya kutupa taka kwenye mitalo
Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa jimbo la Kahama Mjini mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kutupa taka kwenye mitalo ya maji pamoja na kulinda miundombinu ya barabara ili kuondokana na athari ya mafuriko ya maji wakati wa msimu wa mvua.…
19 Januari 2026, 13:42
Gari la abiria kichaka cha kusafirisha madawa ya kulevya
Na Lilian Martin Pamoja na muonekano wake wa nje kuonekana ni Gari la abiria ila kwa ndani kuna chemba ya maficho mizigo haramu ambayo kwa kawaida huwezi kubaini, ila wahenga husema za mwizi 40 na leo zimeshafika. Katika Wailes, Temeke…
18 Januari 2026, 20:49
Changamoto wasaidizi wa sheria Zanzibar ZAPONET yasisitiza uandishi wa miradi
Na Mary Julius. Mkurugenzi wa Mtandao wa Jumuiya za Wasaidizi wa Sheria Zanzibar, ZAPONET Zanzibar, Asia Abdulsalam Hussein, amesema ili jumuiya za wasaidizi wa sheria ziweze kufanya kazi kwa ufanisi, ni lazima zijikite katika uandishi wa miradi na utafutaji wa wafadhili, hatua…