Recent posts
22 April 2026, 12:04 am
Operesheni ya Wakimbizi kurudishwa kwao Madiwani waombwa kusimamia
“Kigoma ndo Mkoa pekee umebaki na wakimbizi wengi kuliko maeneo yote, Nyarugusu pekee inahudumia zaidi ya wakimbizi 140,000 kwahiyo hakikisheni mnasimamia kikamilifu zoezi la raia hawa wa kigeni wanarudishwa kwao pamoja na kushirikiana kutoa tarifa za raia walioingia kinyume na…
21 April 2026, 10:44 pm
Magonjwa yasiyo ya kuambukizwa yatajwa kuwa janga la Dunia
Daktari Simon Mtekwa amesema magonjwa yasiyoyakuambukiza yameendelea kuisumbua dunia kwa sasa. Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma waaswa kujikinga na magojwa yasiyo ya kuambukizwa kwa kuchukua tahadhari ya lishe, mazoezi na uchunguzi wa afya mara…
17 April 2026, 5:06 pm
Mamia wahudumiwa kibingwa Hospitali ya Rufaa Kabanga
“Lengo la hospitali yetu ni kuwasaidia wagonjwa kwa ukaribu zaidi kama sera ya wizara ya afya inavyotaka hivyo hata sisi tumesogeza huduma hizi za kibingwa ili kurejesha matumaini ya wananchi wa Kasulu na maeneo mengine jirani” Amesema Dkt. Kitenyi. Na;…
13 April 2026, 9:35 pm
Wafurika kambi ya madaktari bingwa Hospitali ya Rufaa Kabanga
Wananchi mkoani Kigoma wafurahia huduma za madaktari bingwa katika Hospitali ya Rufaa Kabanga. Na Sharifat Shinji Wananchi wa Wilaya ya Kasulu na Mkoa wa Kigoma kwa ujumla wamejitokeza kwa wingi katika hospitali ya rufaa Kabanga kwa ajili ya kupata huduma…
6 April 2026, 9:51 am
Kabanga kuendesha kambi ya madaktari bingwa
Wananchi wilayani Kasulu na mkoa wa Kigoma kwa ujumla waombwa kujitokeza siku ya kambi ya madaktari bingwa katika hospitali hiyo. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga wilayani Kasulu mkoani Kigoma inatarajia kuwa na Kambi ya madaktari bingwa kuanzia tarehe…
17 March 2026, 6:45 pm
Kasulu yanufaika na ruzuku ya majiko banifu
“Majiko haya mkayatumie vizuri kwani kutokana na serikali kuyatoa kwa gharama kidogo isiwe sababu ya kuyapeleka kwingine na watu watakaofanya hivyo nikiwabaini nitawashughulikia” Amesema Mwakisu. Na; Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaack Mwakisu, amesema Rais wa Jamhuri…
10 March 2026, 11:31 pm
Bugaga wanufaika na Miche 120,000 ya kahawa
“Tungependa kahawa hii imee na kusambaa katika Halmashauri yetu ya Wilaya ya Kasulu, hivyo tumieni fursa hii ambayo serikali imeitoa bure mkaitunze na msiende kuifanyia biashara badala yake mkaipande kwenye maeneo yenu”Amesema Ladislaus. Na; Mwandishi wetu Wakazi wa Kijiji cha…
10 March 2026, 10:02 pm
Mkojo wa sungura dili kwa wakulima wa mbogamboga
“Wakulia wakitumia mkojo wa sungura kama tiba mbadala ya kuua wadudu itawasaidia kupuguza gharama za manunuzi ya kemikali na madawa kwa ajili ya kua wadudu wanaoshambulia mazao” Amesema Chiza. Na; Helbeth Barayata Wakulima wa mboga mboga katika Halmashauri ya Miji…
6 March 2026, 11:12 am
Polis jamii wasisitiza ushirikiano kuibua vitendo vya uhalifu
“Ili kuepuka vitendo vya uhalifu na uvunjifu wa amani ni lazima familia zitekeleze malezi bora kwa watoto wao” Amesema Insp. Lupa. Na; Irene Cherles Mkaguzi msaidizi wa jeshi la polisi ambaye ni mratibu polisi jamii Wilaya ya Kasulu Insp. Willy…
5 March 2026, 5:21 pm
Nkubhagana ataja faida za ufugaji wa nyuki
“Ufugaji wa nyuki una faida nyingi kutokana na matumi zake kuwa mengi pia” Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halimashauri ya Mji kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kujishughurisha na ufugaji wa nyuki, uchakataji na uuzaji wa mazao yanayotokana na mazao ya asali…