Radio Fadhila

Recent posts

17/02/2021, 09:56

Barcelona wanyooshwa na PSG mabao 4-1

LICHA ya kutupia bao la kwanza mapema dakika ya 27 kwa mkwaju wa penalti,kupitia kwa Lionel Messi bado ilikubali kichapo cha mabao 4-1 mbele ya PSG, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ya 16 bora. Barcelona imekuwa kwenye wakati…

17/01/2021, 11:57

Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia

Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia Alfajiri ya kuamkia leo akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili., Ndugu wa karibu wa C Pwaa amethibitisha kuwa Pwaa alikuwa anaugua Pneumonia na alifikishwa Hospitali kwa matibabu, hali yake…

12/01/2021, 03:18

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) Arobaini na Tisa (49) waliokuwa wakitumikia Vyuo vya Mafunzo vya Unguja na Pemba ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za Sherehe za…

31/12/2020, 04:03

Tatizo la kupata Hedhi nyingi kupita kiasi sababu na athari zake

Je ni wakati gani mwanamke anatakiwa kuhisi kuwa anapata hedhi kupita kiasi? Unapata hedhi inayozidi siku 7 Unapata hedhi nzito inayofanya ubadiri pedi moja ndani ya masaa mawili Unapata hedhi nzito inayokulazimu kuvaa pedi zaidi ya moja Unapata hedhi nzito inayolowesha hadi nguo za…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara