Radio Fadhila

Recent posts

17 February 2021, 10:51 AM

Rest In Peace- Maalim Seif Shariff Hamad.

Rais wa Zanzibar, Dkt.Hussein Mwinyi ametangaza kifo cha Maalim Seif Sharif Hamad, Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar , aliyefariki leo Jumatano saa 5:00 asubuhi.Maalim Seif amekumbwa na umauti katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Raisi…

17 February 2021, 10:09 AM

Lishe kwa watoto wenye umri wa miaka 3-5

Watoto katika umri huu wana mahitaji makubwa ya virutubishi kwa sababu wapo katika kipindi cha ukuaji wa haraka. Pia katika kipindi hiki huwa hakuna uangalizi mzuri wa watoto, na hivyo kuwaacha watoto wale chakula peke yao au kula na watoto…

17 February 2021, 9:56 AM

Barcelona wanyooshwa na PSG mabao 4-1

LICHA ya kutupia bao la kwanza mapema dakika ya 27 kwa mkwaju wa penalti,kupitia kwa Lionel Messi bado ilikubali kichapo cha mabao 4-1 mbele ya PSG, mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, hatua ya 16 bora. Barcelona imekuwa kwenye wakati…

17 January 2021, 11:57 AM

Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia

Msanii wa Bongofleva Ilunga Khalifa maarufu C Pwaa amefariki Dunia Alfajiri ya kuamkia leo akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili., Ndugu wa karibu wa C Pwaa amethibitisha kuwa Pwaa alikuwa anaugua Pneumonia na alifikishwa Hospitali kwa matibabu, hali yake…

12 January 2021, 3:18 AM

Rais Mwinyi Asamehe Wafungwa 49

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ametoa msamaha kwa wanafunzi (wafungwa) Arobaini na Tisa (49) waliokuwa wakitumikia Vyuo vya Mafunzo vya Unguja na Pemba ikiwa ni miongoni mwa shamra shamra za Sherehe za…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara