Radio Fadhila

Recent posts

12/01/2026, 13:52

DC Masasi atoa takwimu walioandikishwa kuanza safari ya elimu

Karibu kusikiliza kipindi maalumu ambapo mkuu wa wilaya ya Masasi bi. Racheal Kasanda amewaasa wazazi kuapeleka watoto shule na kuandikisha watoto darasa la awali katika umri mtahiki. Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari ametoa takwimu ya watoto wambao wameshaandikishwa…

08/01/2026, 13:25

DC Kasanda aongoza kikao cha kamati ya ushauri Masasi

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Masasi cha kupitia taarifa za maendeleo ya taasisi zote za umma, Halmashauri ya Mji na Wilaya kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2025, kimefanyika Januari 6, 2026, na kuonozwa na Mkuu wa…

14/11/2025, 10:13

Mtoto achomwa mikono kisa korosho

“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona  mkazi  wa kitongoji…

29/09/2025, 00:28

Umaki watembelea shule ya Rondo, waunga mkono juhudi za taasisi

‘Kutoa ni moyo si utajiri’, huu ni msemo unaofahamika sana na ukiwa na lengo la kukumbusha namna kutoa sehemu za Mali zetu kwa wenye uhitaji, hivyo wa mama hawa wamefanya kwa sehemu yako. Katika kuendelea kuunga mkono jitihada za Taasisi…

22/09/2025, 19:50

CCM Masasi mguu sawa ujio wa Dkt Samia

“Kama  wana  Masasi jumanne ya  septemba 23, 2025 tuna  kila  sababu  ya  kwenda  kumsikiliza mgombea urais  kupitia  Chama  Cha Mapinduzi, maana kuna  mengi mazuri ameyatenda  kwetu“ Na Neema Nandonde Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya  Masasi  mkoani Mtwara kimesema  kimejipanga…

19/09/2025, 12:43

Wananchi acheni kupuuzia maelekezo yanayohusu usafi wa mazingira-Ame

Wakati mwingine wananchi hususani wanaoishi vijijini wanaishi kwa mazoea, kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye nyumba isiyo na shimo la taka na yeye analazimisha aishi hivyo siku zote Na Neema Nandonde Kuelekea maadhimisho ya siku ya usafi duniani ambayo hufanyika…

14/09/2025, 18:14

Wanafunzi waanzilishi wakutana na kurudisha shukrani Rondo

Kuzaliwa mwanaume ni zawadi ila kuwa mwanaume ni maamuzi..msemo huu ukimaanisha kuwa mwanaume ni kutambua majukumu yanayo kupasa na kuyafanyia kazi. Ni katika maafali ya 24 yaliyofanyika shule ya wavulana Rondo Junior Seminar iliyopo Mtama Mkoa wa Lindi ambapo na…

26/08/2025, 19:53

Wakazi Masasi wasisitizwa chanjo kwa  wanyama wanaofugwa

“Tukichanja  mbwa wetu, siku  akikung’ata  kutakuwa  na  madhara  ya  kawaida, tuhakikishe  mbwa  wanachanjwa ili kuepuka  ugonjwa  hatari  wa  kichaa cha mbwa“ Na Neema Nandonde Mkuu  wa  Wilaya  ya Masasi  mkoani Mtwara, Rachel  Kassanda  amewataka  wakazi wa  wilaya  hiyo  kuwapa  chanjo …

05/08/2025, 15:30

Kumnywesha maji  mtoto aliye chini ya miezi 6 kunaharibu mfumo wa chakula

“Jamii  iache  kuishi  kwa  mazoea kwenye  suala  la   malezi hususani unyonyeshaji  wa maziwa  ya  mama ili  kuwaandaa  watoto  wenye  ukuaji  bora  kimwili  na  kiakili” Na Neema Nandonde Kufuatia  maadhimisho  ya  wiki  ya unyonyeshaji duniani, jamii wilayani Masasi  mkoani Mtwara, imeaswa…

01/07/2025, 08:11

Masasi: Muumini atuhumiwa kumuua mchungaji baada ya kumuombea

“Victor Francis alikuwa ni muumini wa muda mrefu wa kanisa hilo na alikuwa akihudumiwa kwa maombi na marehemu Mchungaji kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja kutokana na matatizo ya kiafya“ Na Neema Nandonde Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara