Radio Fadhila

Recent posts

19 June 2025, 9:37 AM

Usiri watajwa chanzo ukatili kwa watoto Masasi

“Familia nyingi zinaamua kukaa  kimya pindi  mwanafamilia  anapomfanyia  ukatili  mtoto aliyeko ndani ya  familia  hiyo, kwa kuhofia  kuwa wakiripoti tukio hilo mwanafamilia huyo atachukuliwa hatua“ Na Neema Nandonde Jamii wilayani  Masasi  mkoani Mtwara  imetakiwa  kuacha  kuficha  matukio ya  ukatili dhidi…

16 June 2025, 9:47 PM

Maadhimisho ya mtoto wa Afrika wazazi wakumbushwa wajibu wao

Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…

14 June 2025, 3:24 PM

Kufikia adhima ya tani laki 7 kwa 2025-2026 maafsa ugani wapigwa msasa

Mtafiti wa kilimo akitoa maelezo Katika kuifikia adhima ya serikali ya kuongez uzalishaji wa zao la kotosho kwa mwaka 2025-2026 hadi kufikia tani millioni 1 kwa mwaka 2029-2030 maafsa ugani wapewa mafunzo yatakayoleta tija kwa wakulima Na Lilian Martin Maafsa…

5 June 2025, 7:28 PM

Masasi yaandika historia taka ngumu zikigeuzwa fursa

Taka zinazozalishwa majumbani na viwandani, bado ni fursa kwa jamii, badala  ya  kuzitupa mtaani wanaweza kutengeneza  mkaa mbadala ambao ni mzuri kwa afya ya  binaadam na mazingira. Na Neema Nandonde Kutokana na kuanzishwa kwa kituo cha elimu ya  mazingira kilichopo wilayani…

1 June 2025, 5:24 PM

Sababu ya panya kufanywa kitoweo Masasi

Panya wanaoliwa si wale wanaoishi ndani ya nyumba bali wanaishi porini na wana lishe bora kutokana na kuharibu mazao ambayo mara nyingi wanakula viini ambavyo kitaalam ndivyo vina lishe. Na Neema Nandonde Kumekuwa na simulizi nyingi kuhusu vyakula vya asili…

1 June 2025, 4:54 PM

Sumu kuvu chanzo cha upungufu wa nguvu za kiume

 “Tatizo watanzania wengi wanatumia mazoea kwenye shughuli za kilimo, hili tumekutana nalo kwenye maeneo mengi nchini, wanavuna mahindi wanatupa chini (ardhini) kama njia ya kukausha, hii inasababisha uzalishaji  fangasi wanaosababisha Sumukuvu” Na  Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imeshauriwa …

29 May 2025, 7:01 PM

Kuomba misaada si kipaumbele kwake licha ya ulemavu alionao

Licha ya kuzaliwa akiwa mlemavu wa viungo Daisy hufanya shughuli zake kwa kutumia mikono na kutengeneza vitu mbalimbali ambavyo humfanya kumuingizia kipato. Na Lilian Martin Daisy Ajetu ni mama wa Familia anaishi Masasi mtaa wa Nyasa anajishughulisha na ubunifu wa…

20 May 2025, 8:46 PM

Bibi mwenye miaka 89 aendelea na fani yake hadi sasa

Na Lilian Martin Licha ya umri alionao, Bibi Stefania Mmole amekuwa akifanya shughuli mbalimbali hali inayomfanya kuwa na nguvu tofauti na watu wa umri wake wanaokaa bila kufanya mazoezi. Stefania Saidi Mmole mwenye umri wa miaka 89 mkazi wa Masasi…

19 May 2025, 11:28 AM

NHC yapongezwa ujenzi wa kituo cha biashara Masasi

Mradi wa Kituo cha Biashara Masasi (Masasi Comercial Complex) umelenga kuboresha huduma kwa jamii na wafanyabiashara ndani na nje ya wilaya ya Masasi Na Neema Nandonde Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa kwa mwaka 2025, Ismail Ali Ussi,…

17 May 2025, 5:39 PM

NBC yamimina neema kwa wakulima Mtwara, Lindi

Kampeni ya NBC Shambani inatarajia  kuanza  rasmi juni 1 na itahitimishwa Julai 31 2025, ambapo wanaojihusisha  na biashara ya kilimo ambao ni wateja wa NBC, watakaokidhi vigezo watapatiwa  zawadi Na Neema Nandonde Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), imezindua rasmi …

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara