Radio Fadhila
Radio Fadhila
8 December 2021, 3:17 AM
Shule ya Sekondari Chanika Nguo yajengewa vyumba vinne vya Madarasa vyenye thamani ya Shilingi Milioni 80. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marko Gaguti wakati akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Chanika Nguo pamoja na…
5 November 2021, 4:06 AM
SERIKALI kupitia Wakala wa huduma za maji safi na usafi wa Mazingira vijijini( RUWASA) wilayani Masasi mkoani Mtwara, kwa mara ya kwanza tangu upatikanaji wa uhuru, 1961 imewapatia huduma ya maji safi na salama wananchi wa kitongoji cha Ipiho kilichopo…
5 November 2021, 3:57 AM
Asasi ya Kiraia ya @HakiElimu imeendesha warsha elekezi kwa baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara inayohusiana na uandaji wa bajeti yenye mlengo wa kijinsia ikiwemo kutambua usawa kati ya mtoto wa kike na wakiume. Warsha…
1 September 2021, 4:53 AM
1 September 2021, 4:46 AM
KIONGOZI wa Mbio za Mwenge wa uhuru Luteni, Josephine Mwambashi amekataa kuzindua mradi wa maji wa Chipole uliopo kijiji katika cha Chipole halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara. Hali hiyo imejitoleza leo katika mbio za mwenge ambapo mwenge wa uhuru…
31 August 2021, 2:14 PM
Kiongozi wa Mwenge wa Uhuru Luteni Mwambashi amegiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU kuchunguza ujenzi wa Jengo la utawala Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoa wa Mtwara linalojengwa maeneo ya Mbuyuni . Mwambashi ameyasema hayo wakati wa…
26 August 2021, 5:16 AM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimewazawadia vyeti maalumu vya kutambua mchango na juhudi wanazozifanya ndani ya Chama hicho ikiwemo kufanikisha upatikanaji wa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mwaka 2020 Wanachama…
17 July 2021, 5:03 AM
Huu ni mkaa ambao umetengenezwa kutokana na mazalia ya mbao maarufu kama rapurapu baada ya mbao kurandwa mkaa huu unasifa bora ya unapotumia kwanza unatumia kiasi kidogo sana cha lakini pia unasifa ya kuwaka kwa muda mrefu tofauti na mkaa…
9 July 2021, 7:31 AM
WAKULIMA wa zao la ufuta wa chama kikuu cha ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara (MAMCU) mkoani Mtwara wamelipwa fedha zao jumla ya sh.11,702,529,251 ambazo ni mauzo ya jumla ya kilo 5,002,275 katika minada miwili ya zao hilo iliyofanyika mwezi huu wa…
9 July 2021, 7:25 AM
MKUU wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Claudia Kitta( katikati) ameomba kupewa ushirikiano wa karibu kutoka kwa watendaji na wananchi wa wilaya hiyo ili kwa pamoja kuweza kufanya kazi kwa bidii katika kutatua kero za wananchi wa wilaya ya Masasi.…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara