Radio Fadhila
Radio Fadhila
14 February 2022, 11:23 AM
1 February 2022, 11:32 AM
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoano Mtwara imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni miamoja na hamsini na tano kwa vikundi 33 vya wanawake ,vijana ,na watu wenye ulemavu vilivyopo halmashauri hiyo . Makabidhiano hayo yamefanyika February 1, 2022, katika…
27 January 2022, 12:25 PM
WAKALA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) kanda ya kusini imezindua rasmi kampeni ya upandaji miti wilayani Masasi mkoani Mtwara katika kipindi hiki cha msimu wa mvua ambapo miti zaidi ya 50,000 inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbalimbali ya wazi katika…
26 January 2022, 4:49 AM
BARAZA la Madiwani la halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti ya mapato na matumizi ya halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha, 2022/2023 ya Sh.23.8 bilioni. Madiwani hao wamepitisha bajeti hiyo ya mapato na matumizi…
24 January 2022, 5:06 AM
MASASI: Uzinduzi wa wiki ya sheria nchini. Matembezi yanaanzia Uwanja wa Fisi hadi Uwanja wa BOMA ambapo uzinduzi rasmi utafanyika. Kaulimbiu: “Zama za mapinduzi ya nne ya viwanda, safari ya maboresho kuelekea Mahakama mtandao” Kaulimbiu hii inahamasisha wananchi kutumia njia…
18 December 2021, 4:11 AM
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Waziri mkuu, Uwekezaji ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ( aliyevaa kanzu ya njano ) ametimza ahadi yake ya maombi ya Baraza la waislamu Tanzania (BAKWATA) Wilaya Masasi lililomtaka kutoa msaada…
17 December 2021, 3:58 AM
Umoja wa Wanawake Wajane Nchini (CCWWT) chini ya Mwenyekiti wake Bi. Rabia Ally Moyo umeiomba Serikali ya awamu ya sita chini ya Mama Samia Suluhu Hassan kuwawezesha kiuchumi kwa kuwapatia mikopo itakayowawezesha kufanya shughuli mbalimbali za kimaendeleo. Hayo yamesemwa katika…
17 December 2021, 3:50 AM
ikumbukwe tu tarehe 13/12/2021 katika Mahakama ya Wilaya ya Masasi, ilitolewa hukumu ya kesi namba ECC.10/2021 iliyokuwa ikiwakabili washitakiwa RASHID MTIMA na mwenzake. Washtakwa hao wanakabiliwa na makosa 02 kifungu cha 22 na 28 cha sheria ya TAKUKURU namba…
8 December 2021, 3:26 AM
Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Dkt Festo Dugange amekuwa ziarani Wilayani Masasi na kutembelea Halmashauri ya Mji Masasi ambapo amekagua ujenzi wa vyumba vya madarasa shule ya sekondari ya wasichana Masasi Shule ya sekondari Anna Abdallah na ujenzi wa…
8 December 2021, 3:21 AM
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Masasi Mji Eliasi Ntirihungwa ameitaka Kamati ya Lishe kuweka wazi bajeti yao, Kwani serikali inataka kujua wadau wa taasisi mbali mbali nao wamechangia kiasi gani cha fedha na kupata makadirio ya bajeti ya mwaka mzima ili…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara