Radio Fadhila
Radio Fadhila
19 December 2022, 6:56 AM
ARGENTINA BINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2022 Pale wazee waliposema ya kale ni dhahabu walimaanisha kabisa hasa ukizingatia kilichotokea kwenye kombe la dunia nchini Qatari historia imeandikwa takribani miaka thelathini na sita nchi ya Argentina kuhusu story ya ushindi wa…
17 December 2022, 6:58 AM
WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Omary Suleiman alianza kuifungia Mtibwa Sugar dakika ya 78, kabla ya Peteme Counou…
16 December 2022, 10:19 AM
Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…
9 December 2022, 6:23 AM
Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Desemba 09, Mwaka huu, Mkuu wa Wilaya Bi. Claudia Kitta ameungana na Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali pamoja na Wananchi Wilayani hapa pamoja na kufanya usafi wa mazingira kwenye…
9 December 2022, 6:19 AM
Mkuu wa Wilaya ya Masasi Bi Claudia Kita inayoadhimishwa terehe 09 Disemba kila mwaka ameongoza Bonanza la Mpira wa Miguu lililoambatana na Ugawaji wa vifaa vya usalama barabarani kwa Madereva pikipiki (bodaboda), Kofia ngumu (HELMET) na Jaketi maalum za kuvaa…
26 March 2022, 3:55 AM
Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini ya kiislamu wakiwemo viongozi wa BAKWATA kwa kuendelea kutoa ushirikiano na kushikamana na Serikali kwa lengo la kuleta maendeleo katika Wilaya na kuwataka wasiache moyo huo wa upendo. Kitta…
14 February 2022, 11:23 AM
1 February 2022, 11:32 AM
Halmashauri ya Wilaya ya Masasi Mkoano Mtwara imekabidhi Hundi ya Mikopo ya shilingi Milioni miamoja na hamsini na tano kwa vikundi 33 vya wanawake ,vijana ,na watu wenye ulemavu vilivyopo halmashauri hiyo . Makabidhiano hayo yamefanyika February 1, 2022, katika…
27 January 2022, 12:25 PM
WAKALA wa huduma za misitu Tanzania (TFS) kanda ya kusini imezindua rasmi kampeni ya upandaji miti wilayani Masasi mkoani Mtwara katika kipindi hiki cha msimu wa mvua ambapo miti zaidi ya 50,000 inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbalimbali ya wazi katika…
26 January 2022, 4:49 AM
BARAZA la Madiwani la halmashauri ya mji Masasi mkoani Mtwara limepitisha rasimu ya makisio ya bajeti ya mapato na matumizi ya halmashauri hiyo kwa mwaka wa fedha, 2022/2023 ya Sh.23.8 bilioni. Madiwani hao wamepitisha bajeti hiyo ya mapato na matumizi…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara