Radio Fadhila
Radio Fadhila
30/01/2023, 16:17
Kikundi kinachosaidia watu wenye uhitaji kilichopo Wilayani Masasi,Mkoani Mtwara, kinachofahamika kama Upendo Charity kimeguswa na tatizo la mtoto Salma Pascha Machemba, mwenye umri wa miaka tisa (9) ambaye anaishi Kijiji cha Matekwe Majenanga, huko Nachingwea Vijijini. Salma ni mlemavu wa…
30/01/2023, 12:31
Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…
25/01/2023, 16:56
Hali ya miundombinu ya elimu katika shule ya msingi namajani imekuwa ni changamoto kubwa mpaka sasa shule ya msingi namajani inamadarasa manne tu, huku baadhi ya wanafunzi wakisoma chini ya mti. Hayo yabainishwa na diwani wa kata ya namajani Faraji…
25/01/2023, 16:25
Katika kuadhimisha wiki ya sheria Jaji wa mahakama kuu kanda ya Mtwara jaji Eliamani isaya laltaika amefanya ziara katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya masasi mkoani mtwara nakutumia ziara hiyo kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii na kusikiliza michango…
18/01/2023, 16:30
Gwiji wa Southern soul Issack Hayes Simba wa Afrika mpiga saksafoni maarufu Manu Dibango kutoka Cameroon Franklin Boukaka kutoka Congo Brazaville mpaka sasa anakonga nyoyo za wengi kwa wimbo wake Aye Afrika
17/01/2023, 09:15
MASASI. Baadhi ya Wafanyabiashara wanaofanya biashara zao katika Soko la Mkuti Halmashauri ya Mji wa Masasi, wameshauri eneo la kuifadhia taka kwa muda lililopo katika Soko hilo liboreshwe kwa kuwekwa miundominu rafiki ya kutunzia taka hizo au liondolewe kwa kutafuta…
16/01/2023, 10:07
MASASI. Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda amezindua Shule ya Msingi jumuishi ya mfano Lukuledi Wilayani Masasi mkoani mtwara ikiwa ndio shule ya kwanza ya mfano kwasasa ambayo huwezi kuiona sehemu nyingine Tanzani kwa ukubwa na wingi wa miundombinu huku…
10/01/2023, 14:27
Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya masasi TWAHILI SAIDI MAYOLA, amezungumza na radio fadhila juu ya tamko la raisi wa jumuhuri ya muungano wa Tanzania dkt samia suluhu hassan kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa…
31/12/2022, 12:56
Mkuu wa Wilaya ya Masasi, Bi. CLAUDIA KITTA, ametoa Rai kwa Wananchi wa Masasi katika kuelekea Sikukuu za Mwisho wa Mwaka za Krismasi na Mwaka Mpya kusherehekea kwa utulivu na amani. Pia amesisitiza na kuwahimiza wazazi na walezi kuwalinda watoto…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara