Radio Fadhila

Recent posts

10 January 2023, 2:27 PM

CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MASASI CHA MPONGEZA RAISI

Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi  wilaya ya masasi TWAHILI SAIDI MAYOLA, amezungumza na radio fadhila  juu ya tamko la raisi wa jumuhuri ya muungano wa Tanzania  dkt samia suluhu  hassan kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa…

19 December 2022, 7:06 AM

Kongamanola Wadau wa Salamu Kanda ya Kusini Lafanyika Mangaka.

WADAU WA SALAMU KANDA YA KUSINI WAFANYA MKUTANO WA MWAKA MJINI MANGAKA. Picha ya Pamoja baadhi ya Wadau wa Salamu Kanda ya Kusini, ambapo leo tar 17-12-2022 wamekutana Wilayani Nanyumbu Mjini Mangaka na Kujadiliana baadhi ya changamoto na namna ya…

19 December 2022, 6:56 AM

Argentina bingwa wa kombe la Dunia 2022

ARGENTINA BINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2022 Pale wazee waliposema ya kale ni dhahabu walimaanisha kabisa hasa ukizingatia kilichotokea kwenye kombe la dunia nchini Qatari historia imeandikwa takribani miaka thelathini na sita nchi ya Argentina kuhusu story ya ushindi wa…

17 December 2022, 6:58 AM

MTIBWA SUGAR YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA NAMUNGO MANUNGU

WENYEJI, Mtibwa Sugar wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Namungo FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara leo Uwanja wa Manungu, Turiani mkoani Morogoro. Omary Suleiman alianza kuifungia Mtibwa Sugar dakika ya 78, kabla ya Peteme Counou…

16 December 2022, 10:19 AM

Waandishi wa Habari Radio Fadhila wapigwa Msasa

Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…

9 December 2022, 6:23 AM

Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Desemba 09, Mwaka huu- MASASI

Katika kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Uhuru Desemba 09, Mwaka huu, Mkuu wa Wilaya Bi. Claudia Kitta ameungana na Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali pamoja na Wananchi Wilayani hapa pamoja na kufanya usafi wa mazingira kwenye…

9 December 2022, 6:19 AM

Kuelekea maadhimisho Ya Miaka 61 yaUhuru wa Tanzania Bara

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Bi Claudia Kita   inayoadhimishwa terehe 09 Disemba kila mwaka ameongoza Bonanza la Mpira wa Miguu lililoambatana na Ugawaji wa vifaa vya usalama barabarani kwa Madereva pikipiki (bodaboda), Kofia ngumu (HELMET) na Jaketi maalum za kuvaa…

26 March 2022, 3:55 AM

Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini

Mkuu wa wilaya ya masasi Claudia kitta amewapongeza viongozi wa Dini ya kiislamu wakiwemo viongozi wa BAKWATA kwa kuendelea kutoa ushirikiano na kushikamana na Serikali kwa lengo la kuleta maendeleo katika Wilaya na kuwataka wasiache moyo huo wa upendo. Kitta…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara