Radio Fadhila

Recent posts

11 April 2023, 8:46 PM

Mapokezi ya mwenge wa uhuru halmashauri ya mji Masasi

makabidhiano ya Mwenge wa uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi akimkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi Ndg Elias Ntiruhungwa. Ukiwa Halmashauri ya Mji Mwenge wa Uhuru utakimbizwa Kilometa 81 na utapita katika Miradi 5…

29 March 2023, 10:13 AM

Jamii ya wafugaji Lukuledi wakosa chanjo ya UVIKO 19

 Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi inayosababisha jamii za wafugaji kuhamahama kutafuta malisho kumechangia kwa kiasi kikubwa kupelekea jamii kukosa kupata baadhi ya huduma za kijamii Hayo yamesema na baadhi ya Jamii ya wafugaji ambao wanafanya shughuli zao za ufugaji…

9 March 2023, 11:04 AM

Mtandao wa Askari wanawake Tanzania na watoto wenye usonji

Picha na Lilian Martin Katika kilele Cha siku ya wanawake Duniani umoja wa Majeshi wilayani Masasi kupitia mtandao wa Askari wanawake wameadhimisha siku ya wanawake Duniani Kwa kuwa pamoja na watoto wenye mtindio wa ubongo na usonji katika shule ya…

3 March 2023, 9:43 PM

Mbunge awapongeza Kwa ubunifu week ya elimu Masasi

katika siku ya maadhimisho ya week ya elimu Kwa Halmashauri ya mji Masasi yaliyohudhuriwa na wanafunzi wa shule za msingi na secondary zilizopo katika halmashauri hiyo pichani ni wanafunzi wakionyesha burudani. sambamba na hayo katika maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa na Mh…

17 February 2023, 11:00 AM

Wanafunzi Shule ya Msingi Migongo wapatiwa Elimu ya Usalama Barabarani.

Masasi Kamati ya Usalama Barabarani kitengo cha elimu, mafunzo na uenezi  kwa umma kimeendelea kutoa elimu katika makundi mbalimbali ya Wilaya hiyo, ambapo mapema wiki hii imetoa elimu Shule ya Msingi migongo Wilayani Masasi Mkoani Mtwara. Akizungumza katika kutoa elimu…

14 February 2023, 5:41 PM

Madiwani waridhia wawili kufukuzwa kazi Kwa uzembe wao

Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…

4 February 2023, 11:08 AM

Mapadre na Watawa waombwa kutumia hekima na busara

Na Lawrence Kessy Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro, Mhashamu Askofu Lazarus Vitalis Msimbe, SDS amewaomba mapadre na watawa kutumia hekima na busara za mababa wa Kanisa waliobobea kupitia maandiko mbalimbali ili wapate miongozo ili kupata uzoefu katika maisha ya…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara