Radio Fadhila

Makala: Usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi Masasi

7 March 2025, 10:33 AM

Baadhi wa wanafunzi wakiwa na baiskeli wanazotumia kama chombo cha usafiri kwenda shuleni. Picha na Zanzinews

Katika kufahamu zaidi kuhusu faida za usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi, mwenzetu Neema Nandonde ametuandalia makala iliyohusisha mahojiano na wanafunzi wanaotumia usafiri huo wilayani Masasi mkoani Mtwara.

Na Neema Nandonde

Sauti ya Makala nzima kuhusu usafiri wa baiskeli kwa wanafunzi.