Recent posts
27/03/2026, 14:11
Kilimo cha mavundu chatoa tumaini kwa wakulima Nachingwea
‘Kilimo ni uti wa mgongo’, huu ni msemo uliotumiwa tangu enzi za kale na hadi leo msemo huu unaishi ndani ya jamii zetu na kutambua umuhimu wa kilimo katika maisha. Na. Faraja Membe Shirika la Kuhifadhi Misitu Asili Tanzania (TFCG),…
27/03/2026, 13:48
ETDCO yaanza ujenzi wa njia maalum kusafirisha umeme Mtwara
Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) @etdco_tz imeendelea na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia maalumu ya kusafirisha umeme yenye urefu wa kilomita 76 kutoka wilaya ya Masasi hadi Newala, mkoani…
27/03/2026, 13:38
Masasi na matumizi ya akili mnemba
Wakati tunafurahia kukua kwa tekinologia na kurahisisha maisha kupitia mitandao ya kijamii yapo madhara yanayojiyokea kutokana na tekinologia hizo pindi zinapotumiwa vibaya. Na Lilian Martin Wakati wa kipindi cha Jamii Tunzungumze na Redio Fadhila wadau wameeleza namna wanavyoifahamu AI faida…
20/03/2026, 13:32
Tutambue umuhimu wa utunzaji misitu katika maeneo yetu
Kata mti panda mti ni neno tunalolisikia mara nyingi ikihimiza umuhimu wa miti katika maeneo yetu kwa lengo la kutunza uoto wa asili je wewe ni miongoni wa wanao panda au wanaokata? Na Lilian Martin Kufuatia Siku ya Misitu Duniani…
19/03/2026, 08:01
Waandishi wa habari wapigwa msasa uthibiti wa Taarifa potofu mtandaoni
Kutokana na kuwepo kwa taarifa nyingi za upotoshaji katika mitandao ya kijamii Taasisi ya jamii Afrika imeona ipo sababu ya kutoa Elimu juu ya kutambua ukweli wa habari hizo ili kupunguza wimbi la taarifa potofu katika vyombo vya habari Na:…
11/03/2026, 13:24
Kikosi cha ulinzi na usalama wanawake Masasi chamgusa mgane
Matendo ya huruma ni vitu vinavyo leta faraja katika jamii kwa kusaidia mtu mwenye uhitaji hali hii huongeza tabasamu kwa aliyefikiwa na matendo hayo. Na Lilian Martin Kikosa cha ulinzi na usalama Wilayani Masasi kimemtembelea mwanaume anaye fahamika kwa jina…
09/03/2026, 13:03
Mbunge wa jimbo la Masasi kuhudumia wenye mahitaji
Na Lilian Martin Wakati mwingine tunaamini kwamba watu wengi huishi maisha kutokana na yale walitopitia hali hiyo tunaiona kwa watu wanaofanya matendo ya huruma ya kuhudumia wenye mahitaji kutokana na ugumu aliouona kwa watu wa karibu Mbunge wa Jimbo la…
09/03/2026, 11:53
Wanawake wenye kipato cha kawaida kujitoa kwa wahitaji
Na Lilian Martin Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) wilayani Masasi Bi. Mariam kasembe amewapongeza wanawake waliojitoa kuhudumia watoto wenye mahitaji katika kituo kilichopo kata ya Napupa mtaa wa wapiwapi Licha ya pongezi hizo Bi Mariam alimuomba Mbunge wa jimbo…
07/03/2026, 10:13
Samia Ardhi Clinic kuelekea Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake wanayo haki ya umiliki wa mali yoyote kama mwanaume ila jamii nyingi katika maswala ya imani huwakandamiza wanawake hasa katika umiliki wa Ardhi Samia Ardhi Clinic kupiga kambi siku saba Masasi Mji kuelekea Siku ya Wanawake Katika kuelekea maadhimisho…
07/03/2026, 09:30
Wanawake wa kikristo waadhimisha siku ya maombi Duniani
Lengo kubwa la Wanawake hawa wa Masasi wakiungana katika maombi na wanawake wengine ni kukumbushana majukumu ya Wanamke katika maisha ya kila siku na kumtegemea Mungu katika nyakati zote ili jamii iwe sawa Na Lilian Martin Wanawake wa Kikristo kutoka…