25/03/2025, 15:39

Mkulima auwawa na tembo Liwale

Picha na Google Tukio hilo limeibua hofu miongoni mwa wakazi wa eneo hilo, huku wakihofia usalama wao kutokana na tembo kuvamia makazi na mashamba yao. Na Neema Nandonde Mkulima Abasi Bakari Libunda (62) kutoka Kitongoji cha Nangorokoro, Kijiji cha Mirui…

On air
Play internet radio

Recent posts

09/03/2026, 13:03

Mbunge wa jimbo la Masasi kuhudumia wenye mahitaji

Na Lilian Martin Wakati mwingine tunaamini kwamba watu wengi huishi maisha kutokana na yale walitopitia hali hiyo tunaiona kwa watu wanaofanya matendo ya huruma ya kuhudumia wenye mahitaji kutokana na ugumu aliouona kwa watu wa karibu Mbunge wa Jimbo la…

09/03/2026, 11:53

Wanawake wenye kipato cha kawaida kujitoa kwa wahitaji

Na Lilian Martin Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) wilayani Masasi Bi. Mariam kasembe amewapongeza wanawake waliojitoa kuhudumia watoto wenye mahitaji katika kituo kilichopo kata ya Napupa mtaa wa wapiwapi Licha ya pongezi hizo Bi Mariam alimuomba Mbunge wa jimbo…

07/03/2026, 10:13

Samia Ardhi Clinic kuelekea Siku ya Wanawake Duniani

Wanawake wanayo haki ya umiliki wa mali yoyote kama mwanaume ila jamii nyingi katika maswala ya imani huwakandamiza wanawake hasa katika umiliki wa Ardhi Samia Ardhi Clinic kupiga kambi siku saba Masasi Mji kuelekea Siku ya Wanawake Katika kuelekea maadhimisho…

07/03/2026, 09:30

Wanawake wa kikristo waadhimisha siku ya maombi Duniani

Lengo kubwa la Wanawake hawa wa Masasi wakiungana katika maombi na wanawake wengine ni kukumbushana majukumu ya Wanamke katika maisha ya kila siku na kumtegemea Mungu katika nyakati zote ili jamii iwe sawa Na Lilian Martin Wanawake wa Kikristo kutoka…

05/03/2026, 14:51

Juhudi za polisi kupunguza ukatili na vitendo vya uhalifu Masasi

Jeshi la Police wakitoa Elimu Katika kuendelea kutimiza majukumu yao ya kazi kwa jamii leshi la Polisi Masasi inaendelea kuwakumbusha wanafunzi kuhusu kujiepusha na matukio ya kikatili Na Lilian Martin Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Kitengo cha Dawati la Jinsia wilayani…

03/03/2026, 11:16

Baraza la Madiwani Masasi lafanya mapitio ya utekelezaji Miradi

Ni kikao kazi ambacho Madiwani ambao ni wawakilisha wa wananchi katika maeneo mbalimbali wakijadiliana na kuidhinisha mipango ya kimaendeleo kwa pamoja Na Lilian Martin. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi limejadili kwa pamoja na kuidhinisha rasimu ya mpango na…

13/02/2026, 10:50

Upendo na ukarimu hakupunguzi kiwango cha elimu zenu

Misemo na methali mbalimbali zinaendelea tukumbusha kutenda mema kama vile usimdharau usiemjua hii inatukumbusha kuwa kutenda mema wakati wote bila kuchagua ni nani wakumtendea wema huo hii uleta amani na upendo kwa aliyetendewa. Na,Lilian Martin Waziri wa Afya Mhe,Muhammed Mchengerwa…

11/02/2026, 13:28

Madiwani Masasi wakoshwa na msimamizi wa miradi

Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Ndg Reuben Jichabu na menejimenti kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.1 ambayo inatekelezwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani na fedha…

11/02/2026, 13:13

Masasi yampongeza Rais Samia kwa kuboresha miundombinu

Kutembea umbali mrefu kufuata shule ilipo hii ni changamoto ambayo wakati mwingine huzima ndoto za watoto kutokana na adha wanazo kutananazo wakiwa njiani lakini inapotokea kuwepo na shule mahali panapofikika kwa urahisi hii uleta furaha si kwa watoto tu hadi…

19/01/2026, 13:42

Gari la abiria kichaka cha kusafirisha madawa ya kulevya

Na Lilian Martin Pamoja na muonekano wake wa nje kuonekana ni Gari la abiria ila kwa ndani kuna chemba ya maficho mizigo haramu ambayo kwa kawaida huwezi kubaini, ila wahenga husema za mwizi 40 na leo zimeshafika. Katika Wailes, Temeke…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara