Afya
18 Januari 2024, 20:45
Wizara ya afya yapongezwa kwa kupunguza vifo vinavyotokana na uzazi
Na mwandishi wetu Serikali kupitia Wizara ya Afya imepongezwa kwa juhudi kubwa inayoendelea kufanya za kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi, mama na mtoto ikiwa ni kipaumbele cha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Pongezi hizo zimetolewa leo Januari 18, 2024 na…
18 Januari 2024, 8:56 mu
Yafahamu madhara ya ugonjwa wa kipindupindu
Yafahamu madhara ya ugonjwa wa Kipindupindu endapo mtu atabainika kuwa na ugonjwa huo. Na Yussuph Hassan.Tukiwa katika muendelezo wa kupata elimu juu ya ugonjwa wa kipindupindu na leo tunafahamu madhara ya ugonjwa huo endapo mtu akibainika kuwa na kipindupindu. Afisa…
18 Januari 2024, 12:50 mu
Wananchi Katavi wanaelewa nini kuhusu ugonjwa wa macho mekundu?
Picha na Mtandao Ugonjwa huo unawapata watu wa rika zote hivyo jamii inapaswa kupata Matibabu mapema iwezekanavyo mara tu watakapoona viashiria vya Ugonjwa huo. Na Gladness Richard-Katavi Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza namna wanavyoufahamu Ugonjwa wa Macho…
18 Januari 2024, 12:00 mu
Wananchi Mkoani Katavi wachukua tahadhari dhidi ya Ugonjwa Wa Kipindupindu
Picha na Mtandao Tahadhari wanazotakiwa kuchukua Wananchi ili kujiepusha na Ugonjwa huo ikiwa ni pamoja na kutumia Vyoo bora. Na Lilian Vicent-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya tahadhari wanazozichukua kuhakikisha wanajikinga…
17 Januari 2024, 8:50 mu
Mambo ya kuzingatia kuepuka kipindupindu
Jamii imekumbushwa kuendelea kunawa na maji tiririka pindi wanapotoka maliwato ili kujilinda na kujikinga na maradhi hayo. Na Yussuph Hassan.Ikiwa tunaendelea kuelimisha Jamii kuhusu Ugonjwa wa Kipindupindu, Jamii imesisitizwa kuhakikisha wanajenga na kutumia Vyoo bora ili kupekuna na ugonjwa wa…
17 Januari 2024, 7:42 mu
Wananchi watakiwa kuchukua tahadhari ugonjwa wa macho mekundu
Kwa Mujibu wa taarifa hiyo ya Mkurugenzi wa huduma za tiba kutoka wizara ya Afya Profesa Ruggajo Katika kipindi cha Desembe 22, 2023 hadi Januari 11, 2024 kumekuwa na ongezeko kubwa la watu wanaosumbuliwa Akitolea Mfano mkoa wa Dar Es…
15 Januari 2024, 9:13 um
Matumizi ya vyoo visivyo bora yatajwa kuchangia maambukizi ya kipindupindu
Pia inaelezwa kuwa ili mtu apate kipundupindu ni lazima awe amekula chakula au maji yaliyochafuliwa na vimelea vya ugonjwa huo . Na Yussuph Hassan.Ikiwa ni mwendelezo wa kutazama namna jamii inavyoweza kujikinga na magojwa ya mlipuko hasa kipindupindu, inaelezwa kuwa…
15 Januari 2024, 8:28 um
Jiji la Dodoma laendeleza jitihada za kupambana na udumavu
Tafiti hizi zinafanyika kwa mujibu wa Sheria ya Takwimu sura 351 ambayo inaipa mamlaka ya Kisheria ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kufanya tafiti mbalimbali za Kitakwimu. Na Alfred Bulahya.Imeelezwa kuwa mkoa wa Dodoma bado unakabiliwa na tatizo la udumavu…
15 Januari 2024, 5:01 um
Watu 12 wathibitika kuwa na kipindupindu mmoja afariki dunia Geita
Mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu unaendelea kuenea mikoa ya Kanda ya Ziwa baada ya mikoa ya Mwanza na Kagera kukumbwa na ugonjwa huo sasa Geita nayo yatangaza. Na Mrisho Sadick – Geita Watu 12 wamethibitika kuwa na ugonjwa wa kipindupindu…
15 Januari 2024, 10:28 mu
Wazazi Mkoani Katavi Washauriwa Kuzingatia Matumizi Sahihi ya Dawa kwa Watoto
Picha na Mtandao Dawa hizo Mara nyingi huwa zinatolewa kwa Watoto walio na umri chini ya miaka mitano Na Gladness Richard-Katavi Baadhi ya Wananchi wa Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wametoa maoni mseto juu ya Matumizi sahihi ya dawa za…