Radio Tadio

Afya

7 November 2023, 12:34 pm

Mimba za utotoni zapungua nchini kwa 5%

Dodoma ni miongoni mwa mikoa iliyofanikiwa kupunguza mimba za utotoni kwa kiwango kikubwa . Na Mariam Matundu. Ripoti ya utafiti wa afya ya uzazi na mtoto na viashiria vya malaria ya mwaka 2022 imeonesha Tanzania imefanikiwa kupunguza mimba za utotoni…

2 November 2023, 18:00 pm

Makala: Huduma ya mama mjamzito na mtoto mchanga

Na Mwanahamisi Chikambu/ Gregory Millanzi Huduma ya mama na mtoto ina chimbuko lake kulingana na historia, wapo wanaosema binadamu ametokana na sokwe na wengine wanasema binadamu anatokana na binadamu mwenyewe. Karibu katika makala haya ambapo tunaangazia namna mama na mtoto…

1 November 2023, 11:52 am

18 wagundulika na kipindupindu Maswa,  mmoja afariki dunia

Na Nicholaus Machunda Watu  18 wamegundulika  na  ugonjwa  wa  kipindupindu wilayani  Maswa  mkoani  Simiyu  huku  mmoja akifariki dunia  kutokana  na  ugonjwa  huo. Hayo  yamesemwa  na  Mratibu  wa  Elimu  ya  Afya  kwa  Umma   Halmashauri  ya  Wilaya  ya  Maswa  Bi, Salma  Mahizi  wakati …

November 1, 2023, 11:02 am

Maambukizi ya virusi vya UKIMWI Njombe sasa yafikia asilimia 10.4

Moja ya njia mojawapo Ssrikali inaendelea kupambana ni kuhakikisha elimu inaendelea kutolewa kwa wananchi wake kuhakikisha wanajikinga na kuwalinda wengine dhidi ya maambuki ya ukimwi. Na Rose Njinile. Kutokana na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuendelea mpaka kufikia asilimia 10.4…

31 October 2023, 15:37

Vyoo vyatajwa kuwa sababu ya chanzo cha polio

Mgonjwa mmoja wa polio kwa mjibu wa wataalumu wa afya anapobainika kupata maambukizi anatajwa kuweza kuambukiza watu Zaidi ya 200 kwa wakati mmoja. Na Hobokela Lwinga Serikali inatarajia kutoa chanjo ya awamu ya pili ya polio katika mikoa sita ya…

29 October 2023, 4:03 pm

Jamii Tanga yaaswa kuzingatia lishe, kujenga afya bora

“kuanzia miaka 10 hadi 19 ni umri wenye tabia za ulaji wa vyakula vyenye mafuta,sukari na chumvi na kutokula mboga mboga na matunda” Halmashauri ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga imeadhimisha siku ya lishe katika ofisi ya kata ya Pangani…