Radio Tadio

Afya

14 November 2023, 4:12 pm

Mradi wa USAIDS Kizazi Hodari wawafikia watoto 9000 Iringa na Njombe.

Na Denis Nyali Jumla Ya Watoto 9000  Walioambukizwa Virusi Vya Ukimwi Wamefikiwa Na Mradi Wa USAIDS Kizazi Hodari Unaotelelezwa Kwa Mkoa Wa Iringa Na Njombe Na Kuwaunganisha Na Vikundi Mbalimbali Katika Kuwawezesha Kupata Kiuchumi. Akizungumza  Na Nuru Fm Mkurugenzi Wa Mradi Huo Doroth…

12 November 2023, 11:16 am

Wanafunzi Tumbatu washauriwa kuchunguuza afya zao.

Picha ya wanafunzi wa skuli ya sekondari Tumbatu. Na Vuai Juma. Na Vuai Juma Wanafunzi Kisiwani Tumbatu wameshauriwa kuwa na tabia ya kuchunguuza afya zao mara kwa mara ili kuweza kufahamu mwenendo wao wa kiafya. Ushauri huo umetolewa na Daktari…

7 November 2023, 4:36 pm

Wananchi watakiwa kuacha matumizi ya maziwa mabichi

Baadhi ya watu wanaokunywa maziwa mabichi huenda wasielewe kikamilifu hatari na huenda wasijue uwezekano wa kupata ugonjwa kutokana na bakteria katika maziwa . Na Aisha Alim. Bodi ya maziwa nchini imetoa tahadhari kwa wananchi juu ya kuepuka matumizi ya maziwa…