Afya
25 October 2023, 10:06 am
Rungwe yakabiliwa na udumavu kwa asilimia 26.5
Ulaji wa chakula usiozingatia lishe bora umetajwa kuwa sababu inayochangia udumavu kwa watoto wengi wilayani Rungwe. Na Lennox Mwamakula, Rungwe Imeelezwa kuwa halmashauri ya wilaya ya Rungwe inakabiliwa na kiwango cha udumavu kwa asilimia 26.5 huku sababu ikitajwa kuwa ni…
25 October 2023, 09:11
Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma
Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…
24 October 2023, 2:44 pm
Zaidi ya watoto laki moja kupata chanjo ya polio awamu ya pili Rungwe
Baada ya kuvuka lengo kwa kuwafikia watoto zaidi ya elfu themanini chanjo ya polio awamu ya kwanza sasa wilaya ya Rungwe imejipanga kuwafikia zaidi ya watoto laki moja awamu ya pili Na Sabina Martin – Rungwe Zaidi ya watoto laki…
24 October 2023, 10:09 am
Viongozi wa dini Pemba watakiwa kutoa elimu kwa jamii juu ya umuhimu wa lishe
Lishe ni jambo muhimu kwa binadam hivo ni jukumu la kila binadamu kuhakikisha anapata lishe iliyobora ili kujenga mwili imara na madhubuti. Na Essau Kalukubila. Viongozi wa dini kisiwani Pemba wametakiwa kutumia nafasi zao kufikisha Elimu ya Lishe kwa jamii…
24 October 2023, 8:47 am
Viongozi wa dini watakiwa kufikisha elimu ya lishe Pemba
Kuwepo kwa upungufu wa virutubisho lishe kwa jamii wizara ya elimu na mafunz, ya amali kwa kushirikiana na wizara ya afya Zanzibar kuwasaidia wanafunzi kuwapatia virutubisho hivyo kwa lengo la kuijenga jamii yenye afya njema. Na Amina Masoud Viongozi wa…
23 October 2023, 11:30
DC Kigoma awataka wananchi kufanya mazoezi kujikinga na maradhi
Mazoezi yanatajwa kusaidia kujenga afya na kukinga miili dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kwenye jamii. Na, Lucas Hoha. Mkuu wa wilaya ya Kigoma Salum Kalli amewaasa wananchi wa wilaya ya Kigoma kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi ya kukimbia ili kujikinga na…
23 October 2023, 9:18 am
UWT Bunda watembelea wagonjwa hospitali ya Manyamanyama
UWT Bunda watembelea hospitali ya Manyamanyama-Bunda kuonesha matendo ya huruma kwa wagonjwa katika kuadhimisha kilele cha wiki ya UWT Na Edward Lucas Maadhimisho ya wiki ya Wanawake UWT Wilaya ya Bunda mkoa wa Mara yamefikia kilele hapo jana 22 Oct…
October 22, 2023, 7:40 am
Wananchi Ileje wajitolea kujenga nyumba ya mtoa huduma wa afya
Na Denis Sinkonde, Ileje Wananchi wa kijiji cha Izuba kata ya Isongole wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe wanatarajia kumaliza ujenzi wa vyumba ya wahudumu wa zahanati ya Izuba ili kuwaondolea adha wahudumu wa zahanati hiyo kuishi mbali. Hayo yamebainishwa…
18 October 2023, 6:30 pm
Madereva waonywa kupakia dizeli, petroli kwenye usafiri wa umma
Changamoto ya baadhi ya wasafirishaji kuruhusu kupakia chupa zenye mafuta ya dizeli na petroli kwenye vyombo vyaio imekuwa kero kwa abiria mkoani Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Baadhi ya abiria wanaotumia magari madogo ya abiria aina ya hiace yanayofanya safari…
18 October 2023, 9:14 am
Wasichana wapaswa kutambua hedhi ni fahari
Elimu ya hedhi salama shuleni hapo imeambatana na zoezi la kugawa taulo za kike kwa wasichana hao wa shule ya msingi Nkuhungu. Na Mariam Kasawa. Wasichana balehe wametakiwa kutambua kuwa hedhi ni fahari ya kila mwanamke hivyo wanapaswa kuifurahia na…