Radio Tadio

Afya

25 October 2023, 10:06 am

Rungwe yakabiliwa na udumavu kwa asilimia 26.5

Ulaji wa chakula usiozingatia lishe bora umetajwa kuwa sababu inayochangia udumavu kwa watoto wengi wilayani Rungwe. Na Lennox Mwamakula, Rungwe Imeelezwa kuwa halmashauri ya wilaya ya Rungwe inakabiliwa na kiwango cha udumavu kwa asilimia 26.5 huku sababu ikitajwa kuwa ni…

25 October 2023, 09:11

Zaidi ya 100% ya watoto wapata chanjo ya polio Kigoma

Serikali kupitia idara ya afya Mkoa wa Kigoma imesema imefanikiwa kutoa chanjo ya polio kwa zaidi ya asiliamia 100 kwa watoto. Na, Josephine Kiravu Zaidi ya asilimia 100 ya watoto walio chini ya miaka minane wamepata chanjo ya polio katika…

24 October 2023, 8:47 am

Viongozi wa dini watakiwa kufikisha elimu ya lishe Pemba

Kuwepo kwa upungufu wa virutubisho lishe kwa jamii wizara ya elimu na mafunz, ya amali  kwa kushirikiana na wizara ya afya Zanzibar  kuwasaidia  wanafunzi kuwapatia virutubisho hivyo kwa lengo la kuijenga jamii yenye afya njema. Na Amina Masoud Viongozi wa…

18 October 2023, 9:14 am

Wasichana wapaswa kutambua hedhi ni fahari

Elimu ya hedhi salama shuleni hapo imeambatana na zoezi la kugawa taulo za kike kwa wasichana hao wa shule ya msingi Nkuhungu. Na Mariam Kasawa. Wasichana balehe  wametakiwa kutambua kuwa hedhi ni fahari ya kila mwanamke hivyo wanapaswa kuifurahia na…