Radio Tadio

Afya

15 October 2023, 6:59 am

Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita

Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…

13 October 2023, 13:25

Wananchi Kakonko wakabiliwa na changamoto ya huduma za afya

Na Jame Jovin Wananchi wa kijiji cha Nyakivyiru wilayani Kakonko mkoani Kigoma wameiomba halimashauri ya wilaya hiyo kuwajengea zahanati ili kuepuka kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 30 kufuata huduma za afya hali ambayo hupelekea vifo hasa kwa akina mama…

11 October 2023, 12:58

Magonjwa zaidi ya 290 yanasababisha afya ya akili

Katika kukabiliana na ugonjwa wa afya ya akili wananchi wanashauriwa kufika kwenye vituo vya afya vinavyotoa huduma za afya ili kupima na kujua hali zao. Na Rachel Malango Tanzania inaungana na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha kilele cha siku ya afya…

11 October 2023, 9:04 am

BMH kuanzisha upasuaji wa moyo kwa watu wazima

Katika kuadhimisha Miaka 8 ya Mafanikio Hospitali ya Benjamin Mkapa zaidi ya wananchi 100 wamepatiwa huduma ya Nyonga na kupunguza gharama na usumbufu. Na Mindi Joseph. Katika kuadhimisha miaka 8 Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha huduma za upasuaji wa…