Afya
October 17, 2023, 1:16 pm
Wananchi watakiwa kuwa makini na matangazo ya biashara ya dawa, vifaa tiba
Kutokana na wafanyabiashara kutumia matangazo kufanya bidhaa yake ijulikane na kushawishi watumiaji kutumia bidhaa hiyo TMDA inahakikisha matangazo hayo yanayohusiana na dawa, vifaa tiba na vitendanishi hayana taarifa za upotoshaji. Na Rose Njinile Wito umetolewa kwa wananchi wilayani Makete mkoani…
15 October 2023, 10:11 am
Wakazi wa Mlimba wapokea huduma za kibingwa za afya kwa furaha
Baadhi ya wagonjwa wakisubiri huduma za kibingwa -Picha na Isidory Matandula Madaktari bingwa wa mfumo wa mkojo na ENT (Ear, Norse and Throat) kutoka hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Fransisko, Ifakara, wiki hii wametoa huduma za kibingwa katika Kituo cha…
15 October 2023, 6:59 am
Popo wavamia mtaa, wananchi wakumbwa na taharuki Geita
Changamoto ya popo katika baadhi ya maeneo Tanzania imeonekana kuwa ni sugu, hilo pia limetokea katika mtaa wa katikati ya mji wa Geita. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa mtaa wa Nyerere Road uliopo kata ya Kalangalala, halmshauri ya Mji…
13 October 2023, 13:25
Wananchi Kakonko wakabiliwa na changamoto ya huduma za afya
Na Jame Jovin Wananchi wa kijiji cha Nyakivyiru wilayani Kakonko mkoani Kigoma wameiomba halimashauri ya wilaya hiyo kuwajengea zahanati ili kuepuka kutembea umbali wa zaidi ya kilometa 30 kufuata huduma za afya hali ambayo hupelekea vifo hasa kwa akina mama…
13 October 2023, 11:40 am
Mkurugenzi afunguka sababu ya zahanati ya Kung’ombe kutoanza kazi hadi sas…
“Takribani shilingi milioni 16 zinahitajika kufanyia maboresho baadhi ya mambo katika zahanati ya Kung’ombe na kufikia mwezi Disemba 2023 itaanza kutoa huduma” Na Edward Lucas Kufuatia kilio cha wananchi wa mtaa wa Kung’ombe Halmashauri ya Mji wa Bunda juu ya…
12 October 2023, 5:14 pm
Miezi 3 tangu zahanati izinduliwe haijaanza kazi, wananchi wapaza sauti
Zahanati ilizinduliwa na mbio za Mwenge wa Uhuru Julai 11 2023 lakini hadi sasa Oktoba 2023 bado haijaanza kazi, wananchi wapaza sauti kwa serikali. Na Edward Lucas Wakazi wa mtaa wa Kung’ombe Halmashauri ya Mji wa Bunda mkoani Mara wameiomba…
11 October 2023, 5:28 pm
Ni athari zipi kiafya usipotumia uzazi wa mpango?-Kipindi
Mskilizaji sayansi imeeleza uzazi wa mpango ni njia muhimu ya kukuza afya ya mama na mtoto, uzazi wa mpango ni njia rahisi ya kunyonyesha mtoto hadi kufikia miaka miwili. Licha ya maelekezo hayo ya dini na ya kisayansi bado jamii…
11 October 2023, 12:58
Magonjwa zaidi ya 290 yanasababisha afya ya akili
Katika kukabiliana na ugonjwa wa afya ya akili wananchi wanashauriwa kufika kwenye vituo vya afya vinavyotoa huduma za afya ili kupima na kujua hali zao. Na Rachel Malango Tanzania inaungana na mataifa mengine ulimwenguni kuadhimisha kilele cha siku ya afya…
11 October 2023, 11:14 am
Asilimia 80 ya wagonjwa wa akili wamerithi ugonjwa huo
Inasadikiwa kuwa mtoto mmoja kati ya sita walio na umri wa chini ya miaka 18, ana uwezekano wa kuwa na tatizo la afya ya akili hata hivyo asilimia 75 ya watu hao hawapati huduma ya afya wanayohitaji. Na Selemani Kodima.…
11 October 2023, 9:04 am
BMH kuanzisha upasuaji wa moyo kwa watu wazima
Katika kuadhimisha Miaka 8 ya Mafanikio Hospitali ya Benjamin Mkapa zaidi ya wananchi 100 wamepatiwa huduma ya Nyonga na kupunguza gharama na usumbufu. Na Mindi Joseph. Katika kuadhimisha miaka 8 Hospitali ya Benjamin Mkapa inatarajia kuanzisha huduma za upasuaji wa…