Radio Tadio

Afya

7 March 2024, 10:33 pm

Amuua kwa madai ya kugoma kurudiana nae

Matukio ya wanadoa kutarakiana wakiwa wanapendana yamekuwa chanzo cha mauaji kwa wanawake kutokana na wanaume kushindwa kuvumilia hali hiyo, ambapo kwa wilaya ya Sengerema zaidi ya matukio matatu yametokea kwa mwaka huu. Na:Emmanuel Twimanye. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka…

1 February 2024, 3:12 pm

37 wakutwa na kipindupindu Sengerema

Licha ya SerikaliĀ kutoa vifaa tiba na kinga vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 7 kwenye mikoa mitatu ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na dawa za kutibu maji kwa kuua wadudu wenye vimelea…

31 January 2024, 07:05

BMH yafanikiwa kupandikiza Uroto kwa watoto 7

Itakumbukwa kuwa Serikali ya awamu ya sita iliidhinisha Shiling Bilioni 3.6 kwa kuwezesha kutolewa kwa huduma za upandikizaji wa uroto kwa Watoto wenye selimundu huku zikitengwa Shiling Bilioni 1 kwa ajili ya kutoa kwa Watoto bure. Na Yussuph Hassan.Hospital ya…

30 January 2024, 2:13 pm

Taka zarundikwa kwenye makazi ya watu mjini Sengerema

Mji wa Sengerema kwa mda mrefu umekuwa ukionekana kuwa na mrundikano wa uchafu kwenye vizimba vilivyopo mjini ambapo Halmashauri imekuwa ikitumia vibarua kuzizoa na baadhi yao wamekuwa wakitoa kwenye vizimba na kwenda kuzimwaga kwenye makazi ya watu. Na:Emmanuel Twimanye Wakazi…