Afya
1 February 2024, 3:12 pm
37 wakutwa na kipindupindu Sengerema
Licha ya Serikali kutoa vifaa tiba na kinga vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 7 kwenye mikoa mitatu ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na dawa za kutibu maji kwa kuua wadudu wenye vimelea…
31 January 2024, 07:05
BMH yafanikiwa kupandikiza Uroto kwa watoto 7
Itakumbukwa kuwa Serikali ya awamu ya sita iliidhinisha Shiling Bilioni 3.6 kwa kuwezesha kutolewa kwa huduma za upandikizaji wa uroto kwa Watoto wenye selimundu huku zikitengwa Shiling Bilioni 1 kwa ajili ya kutoa kwa Watoto bure. Na Yussuph Hassan.Hospital ya…
30 January 2024, 2:13 pm
Taka zarundikwa kwenye makazi ya watu mjini Sengerema
Mji wa Sengerema kwa mda mrefu umekuwa ukionekana kuwa na mrundikano wa uchafu kwenye vizimba vilivyopo mjini ambapo Halmashauri imekuwa ikitumia vibarua kuzizoa na baadhi yao wamekuwa wakitoa kwenye vizimba na kwenda kuzimwaga kwenye makazi ya watu. Na:Emmanuel Twimanye Wakazi…
29 January 2024, 20:00
Kipindupindu chatajwa kuwakumba wanawake zaidi nchini
Kipindupindu unatajwa kuwa ugonjwa hatari ambao huambatana na kuharisha na kutapika huku ikielezwa kuwa ni asilimia 10 tu ya wagonjwa wanaopata kipindupindu na kulazwa hospitali huku wengine wakitembea na vimelea vya ugonjwa huo. Na Mariam Matundu.Wanawake nchini Tanzania wanatajwa kuongoza…
29 January 2024, 18:39
Mafanikio mapya hospitali ya rufaa Kanda ya Mbeya
Na Ezekiel Kamanga Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Mbeya jana imefanya hafla fupi ya kuwakaribisha madaktari bingwa na wauguzi ambao walikuwa masomoni. Hafla hiyo iliandaliwa katika bustani ya Mbeya Peak na kuhudhuriwa na viongozi wa hospitali na wafanyakazi wa…
28 January 2024, 12:55 pm
Wachimbaji na wavuvi hawatumii vyoo kisa imani potofu
Makundi ya wachimbaji na wavuvi yako hatarini kupata magonjwa ya mlipuko hususani kipindupindu kwasababu hawatumii vyoo kwenye maeneo yao. Na Mrisho Shabani: Wachimbaji wa madini ya dhahabu pamoja na wavuvi mkoani Geita wametajwa kuwa ni miongoni mwa makundi ambayo hayana…
25 January 2024, 11:47 am
Watoto miaka 5-14 hatarini kupata kichocho Rungwe-Kipindi
Na Lennox Mwamakula – Rungwe Jamii imeshauriwa kutoa ushirikiano pindi watoto wanapo takiwa kupatiwa chanjo ya mangojwa mbalimbali kwani itasaidia kuimarisha kinga kwa watoto Kauli hiyo imetolewa na mtaalamu wa kinga ambaye pia ni afisa afya Ndugu Leonard Shaba kwenye…
25 January 2024, 09:15
Serikali kuendelea kuboresha huduma za afya Kakonko
Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Taifa Rehema Sombi Omary, amesema serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, itaendeleza kazi ya kuboresha huduma za afya nchini kwa kutenga fedha na kuzishusha chini kuwafikia…
24 January 2024, 3:43 pm
KATAVI, Bidhaa za Vyakula Vilivyoisha Muda Husababisha Kuhara
“Madhara ni kupelekea mtumiaji kupata homa na hata kuharisha kutokana na sumu iliyopo ndani ya Chakula”. Picha Na Mtandao Na Lilian Vicent-katavi Baadhi ya wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameeleza maoni yao Mseto juu ya namna wanazingatia muda sahihi …
23 January 2024, 9:42 pm
DC Sengerema ageuka mbongo murundikano wa uchafu mjini
Pamoja na kuwepo kwa taarifa za ugonjwa wa kipindupindu Nchini Madampo mjini Sengerema yanaonekana kujaa uchafu hali inayoleta wasiwasi kwa wananchi wakihofia kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa huo. Na;Emmanuel Twimanye. Wafanyabishara wa soko kuu mjini Sengerema wameilalamikia Halmshauri ya Wilaya…