Radio Fadhila
Radio Fadhila
28 February 2021, 4:11 AM
PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC amefanikiwa kutimiza majukumu yake kwa uzuri na kuipeleka timu hiyo hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho. Bao lake la ushindi dakika ya 45+1, Uwanja wa Azam Complex limetosha…
28 February 2021, 4:07 AM
KIUNGO wa Yanga, Carlos Carlinhos amesema kuwa anasikitika kwa kuonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Jana, Februari 27 wakati Yanga ikishinda bao 1-0 dhidi ya Ken Gold FC…
26 February 2021, 6:05 AM
IKIWA Uwanja wa Mkapa leo Simba itakaribishwa na African Lyon kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku. Chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes unakuwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye Kombe la Shirikisho baada…
26 February 2021, 5:14 AM
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara limepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022,Mpango huo umepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika jana tarehe 24, Febuari katika ukumbi wa Halmashauri hiyo…
23 February 2021, 5:05 AM
SHIRIKISHO la Soka Afrika limeridhia mechi ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya CR Belouizdad ya Algeria ichezwe Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Februari 28, mwaka huu.
23 February 2021, 4:55 AM
Kufuatia maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa skauti Duniani, Wazazi na walezi wilayani Liwale Mkoani Lindi wameombwa kuwahamasisha watoto wao kujiunga na Chama Cha skauti kwani itasaidia kwa watoto hao kuwa wazalendo, wakakamavu, wabunifu na wanaoweza kujitegemea pindi wanapokumbana na…
23 February 2021, 4:53 AM
Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu ambae ni makamu mwenyekiti bara kuwa kaimu mwenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya mwenyekiti wa chama hicho Maalim Seif kufariki Dunia Februari 17 mwaka huu. Dorothy atakaimu nafasi hiyo mpaka mwenyekiti mpya…
23 February 2021, 4:49 AM
NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf amesema kuwa wamekuja Dar kwa ajili ya kupata ushindi mbele ya wapinzani wao Simba.Kesho, Februari 23 Al Ahly itakaribishwa na Simba, saa 10:00 kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya…
23 February 2021, 4:46 AM
Mwamuzi Lucien Toudignon wa Benin jana akiwa amelazwa kwenye hospital nchini Burkina Faso baada ya kushambuliwa na wachezaji wa klabu ya Bouenguidi ya Gambia kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa kufuzu makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika (Caf…
19 February 2021, 10:17 AM
PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC, usiku wa kuamkia leo amepachika bao lake la 7 ndani ya ardhi ya Bongo akiwa ni kinara wa utupiaji ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na George Lwandamina. Alifunga bao…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara