Radio Fadhila

Recent posts

23 February 2021, 4:53 AM

Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu

Chama cha ACT WAZALENDO kimemteua Dorothy Semu ambae ni makamu mwenyekiti bara kuwa kaimu mwenyekiti wa chama hicho Taifa baada ya mwenyekiti wa chama hicho Maalim Seif kufariki Dunia Februari 17 mwaka huu. Dorothy atakaimu nafasi hiyo mpaka mwenyekiti mpya…

23 February 2021, 4:49 AM

NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf atowa angalizo

NAHODHA wa Al Ahly, Aiman Ashraf amesema kuwa wamekuja Dar kwa ajili ya kupata ushindi mbele ya wapinzani wao Simba.Kesho, Februari 23 Al Ahly itakaribishwa na Simba, saa 10:00 kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa ni hatua ya…

23 February 2021, 4:46 AM

Mwamuzi Lucien Toudignon wa Benin Ashambuliwa na wachezaji

Mwamuzi Lucien Toudignon wa Benin jana akiwa amelazwa kwenye hospital nchini Burkina Faso baada ya kushambuliwa na wachezaji wa klabu ya Bouenguidi ya Gambia kwenye mchezo wa mkondo wa pili wa kufuzu makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika (Caf…

19 February 2021, 10:17 AM

PRINCE Dube,Azam FC, ATUPIA TENA

PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC, usiku wa kuamkia leo amepachika bao lake la 7 ndani ya ardhi ya Bongo akiwa ni kinara wa utupiaji ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na George Lwandamina.  Alifunga bao…

19 February 2021, 10:14 AM

Waarabu wapigiwa hesabu kali na Simba kwa Mkapa

 SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba, amesema kuwa wapinzani wao wote ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa pamoja na Al Ahly wameandaliwa dozi zao pale watakapokutana ndani ya uwanja. Simba ikiwa Kundi A kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika baada…

19 February 2021, 9:56 AM

Mabalozi ‘Wamlilia’ Maalim Sief Sharif Hamad

Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini, ‘wamemlilia’ Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad na kumuelezea kwa mema aliyoyafanya enzi za uhai wake hapa duniani. Mabalozi hao wamewasili katika Ofisi Ndogo za Wizara jijini Dar…

18 February 2021, 10:17 AM

Kikosi cha Simba kinatarajiwa kuanza leo dhidi ya Biashara United

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba leo wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United, Wanajeshi wa mpakani, Uwanja wa Karume, Mara. Kwa mujibu wa Spoti Xtra Alhamisi hiki hapa kikosi cha Simba kinachotarajiwa kuanza chini ya…

18 February 2021, 9:21 AM

TANZIA: Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi afariki dunia.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli ametangaza kifo cha Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi John Kijazi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, kifo cha Balozi Kijazi kimetokea majira ya saa 3:10…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara