Radio Fadhila
Radio Fadhila
19/05/2021, 05:38
CHAMA Cha viziwi Tanzania (CHAVITA) tawi la mkoa Mtwara kimeiomba serikali kuweka madawati ya lugha ya alama katika vituo vya kutolea huduma za afya mkoani Mtwara lengo likiwa ni kupunguza vikwazo vya mawasiliano kati ya viziwi na wahudumu wa afya.…
21/04/2021, 13:08
Mwenyekiti wa chama Cha Ccm Mkoa wa mtwara Yusuphu Namnila ,Ameipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutenga bajeti ya pembejeo kwa ajili ya Wakulima wa zao la korosho,Nakuwaomba Wakulima kupokea kwa kile kilichoratibiwa na kukifanyia kazi ,Na kujiuliza kwanini uzalishaji wa…
21/04/2021, 12:24
WAKULIMA wa Chama kikuu Cha Ushirika wa wakulima Masasi-Mtwara( MAMCU) hii leo April 21 – 2021 wanafanya mkutano mkuu wa 21 wa mwaka wenye lengo la kuchagua viongozi wa bodi wa Chama hicho ikiwemo kusoma mapato na matumizi. Mkutano huo…
21/04/2021, 11:57
HALMASHAURI ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara imezindua rasmi mpango wa utekelezaji wa kunusuru kaya masikini kupitia mfuko wa maendeleoya jamii (TASAF III) kipindi cha pili, awamu ya tatu.Mpango huo ulizinduliwa jana wilayani Nanyumbu katika kikao kazi cha kujenga uwelewa…
20/04/2021, 05:15
WANANCHI waishio vitongoji saba vilivyopo kata ya Nagaga wilayani Masasi mkoani Mtwara wameamua kujitolea nguvu kazi kuchanga sh.5000 kwa kila kaya na kufyatua matofari lengo ni kujenga majengo mawili ya kisasa ambayo yatatumika kufunga vifaa tiba ikiwemo kiti cha kung’olea…
20/04/2021, 05:10
CHAMA kikuu Cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) kimezindua rasmi ujenzi wa ghala kubwa la kisasa la kuhifadhia mazao mbalimbali yaliyo katika mfumo wa stakabadhi mazao ghalani ikiwemo korosho lenye uwezo wa kuhifadhi mazao tani zaidi ya 5000 Ujenzi…
20/04/2021, 05:05
MAAFISA ugani( kilimo) wa Chama kikuu cha Ushirika wa wakulima Mtwara-Masasi ( MAMCU) wapatiwa Pikipiki kama vitendea kazi ili ziweze kuwarahisishia kutekeleza majumu yao katika kuvitembelea na kuvihudumia vyama vya msingi ili kutoa elimu ya kilimo kwa wakulima na kuongeza…
23/03/2021, 09:22
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee akisaini kitabu cha Kumbumbuku ya maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais Dkt. John Magufuli kilichotokea Machi, 17 mwaka huu, kitabu hicho cha maombelezo hayo kimefunguliwa kkatika ofisi ya mkuu ya wilaya ya…
23/03/2021, 09:12
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kueleza kuwa taifa limepoteza kiongozi shujaa na mpenda maendeleo na kwamba alikuwa ni mtetezi wa wananchi wanyonge hivyo wataendelea kumkumbuka milele. Wanachama hao leo Mach,…
20/03/2021, 06:23
Tatizo la mimba za utotoni limekuwa kubwa duniani na linaongezeka siku hadi siku hasa katika jamii ya uchumi wa chini. Sababu zinazopelekea jamii ya uchumi wa chini kukumbwa sana na tatizo hilo ni ukosefu wa taarifa za afya ya uzazi…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara