Radio Fadhila
Radio Fadhila
4 March 2021, 4:07 AM
MBUNGE wa Jimbo la Masasi, Geofrey Mwambe ambaye pia ni Waziri wa Viwanda na Biashara amewapatia vifaa mbalimbali vya Michezo Klabu ya mpira wa miguu ya Mkuti Makerti ya mjini Masasi ambapo Timu hiyo kwa sasa ndio imefanikiwa kuwa Bingwa…
3 March 2021, 11:44 AM
Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara wamepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022 yenye Makadirio ya Mapato na Matumizi yenye thamani ya Sh.bilioni 19,651,959, 451.00 Bajeti hiyo wamepitisha jana ,Machi 2/2021 katika…
28 February 2021, 4:28 AM
Afisa Habari wa Klabu ya Yanga @hbumbuli ameshinda rufani yake na Sasa yupo huru kuitumikia klabu yake. Ikumbukwe Bumbuli alifungiwa kujishughulisha na masuala ya soka kwa miaka 3 na Kamati ya Maadili ya TFF.
28 February 2021, 4:16 AM
DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba amesema kuwa mchezo wake ujao dhidi ya Al Merrikh utakuwa mgumu tofauti na wengi wanavyofikiria. Kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Simba ikiwa ipo kundi A ipo nafasi ya kwanza na ina pointi…
28 February 2021, 4:11 AM
PRINCE Dube, mshambuliaji namba moja ndani ya kikosi cha Azam FC amefanikiwa kutimiza majukumu yake kwa uzuri na kuipeleka timu hiyo hatua ya 16 bora Kombe la Shirikisho. Bao lake la ushindi dakika ya 45+1, Uwanja wa Azam Complex limetosha…
28 February 2021, 4:07 AM
KIUNGO wa Yanga, Carlos Carlinhos amesema kuwa anasikitika kwa kuonyeshwa kadi nyekundu kwenye mchezo wao wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora uliochezwa Uwanja wa Uhuru. Jana, Februari 27 wakati Yanga ikishinda bao 1-0 dhidi ya Ken Gold FC…
26 February 2021, 6:05 AM
IKIWA Uwanja wa Mkapa leo Simba itakaribishwa na African Lyon kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho ambao utachezwa majira ya saa 1:00 usiku. Chini ya Kocha Mkuu, Didier Gomes unakuwa ni mchezo wake wa kwanza kwenye Kombe la Shirikisho baada…
26 February 2021, 5:14 AM
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara limepitisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti kwa Mwaka wa fedha 2021/2022,Mpango huo umepitishwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika jana tarehe 24, Febuari katika ukumbi wa Halmashauri hiyo…
23 February 2021, 5:05 AM
SHIRIKISHO la Soka Afrika limeridhia mechi ya hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baina ya CR Belouizdad ya Algeria ichezwe Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam Februari 28, mwaka huu.
23 February 2021, 4:55 AM
Kufuatia maadhimisho ya siku ya kuanzishwa kwa skauti Duniani, Wazazi na walezi wilayani Liwale Mkoani Lindi wameombwa kuwahamasisha watoto wao kujiunga na Chama Cha skauti kwani itasaidia kwa watoto hao kuwa wazalendo, wakakamavu, wabunifu na wanaoweza kujitegemea pindi wanapokumbana na…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara