Recent posts
18 November 2020, 9:49 AM
Ujasilia Mali-BiasharaYa Chipsi Inawalipa Vijana
KIPINDI CH UJASILIA MALI-huyu ni kijana anayejishugulisha na biashara ya chpsi anaelezea mafanikio aliyo yapata kupitia biashara ya chipsi baada tu ya kumalishule alifanya shuguli mbalimbali lakinia alipo amua tu kufanya biashara ya chipsi imemlipa anaendesha familia yake kupitia biashara…
17 November 2020, 5:44 AM
Umenufaika Na Nini Kutumia Mitandao Ya Kijamii Facebook,Instagram,You Tube Twit…
Maoni ya wasikilizaji Tangia uaze kutumia mitandao ya kijamii facebook ,inst, twitter you tube n.k imekusaidia nini mitandao hii katika maisha yako ya kila sikuHOST MATHEW MAGASHA
17 November 2020, 4:47 AM
Magazeti ya Leo 17-11-2020 Radio Fadhila 95.0 fm
November 17, 2020,nakukaribisha kusikiliza kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za magazeti ya leo HOST- MATHEW MAGASHA
11 November 2020, 11:59 AM
Makala Inayo Elezea Kitabu Cha rais Benjamini William Mkapa
sikiliza makala inayozungumzia kitabu cha rais wa awamu ya tatu Benjamini William Mkapa na badhi ya hotuba zake alizo wahi zungumza enzi za uhai wake. katika kipindi cha watu mashuhuri
9 November 2020, 4:11 AM
Kipindi cha Ujasilia Mali Radio fadhila 95.0 FM-Mitungi Yakupandia maua!!
Msikilize shAibu ambaye yeye ni mjasilia mali anajihusisha na utengenezaji wa mitungi ya kupandia maua amea amua kujiajili na kazi hii ndi inayompa kipato cha kujikimu yeye na familia yake HOST- MATHEW MAGASHA
3 November 2020, 11:51 AM
Amka Na Radio Fadhila- Maoni Ya Wasikiliza Juu ya Malezi Ya Vijana
sikiliza maoni juu wa mada iliyokuwa izungumziwa katika kipindi cha amka na radio fadhila 95.0 fm JE NI KWELI BAADHI YA WAZAZI NI CHANZO CHA VIJANA KUINGIA KATIKA MAKUNDI MABAYA KAMA VILE MAKUNDI YA KIHARIFU, UVUTAJI BANGI,WIZI USHERATI N.K NINI…
2 November 2020, 4:12 AM
Sikiliza kipindi Cha Sheria -Radio Fadhila 95.0 Fm -Masasi
kipindi cha sheria utasikia mazungumzo na wanasheria wakizungumzia UMILIKI WA ARIDHI NA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARIDHI host-MATHEW MAGASHA
2 November 2020, 3:16 AM
Sikiliza Kipindi cha Watu Mashuhuri Kutoka Radio Fadhila 95.0 Fm-Masasi
KIPINDI cha watu mashuri hii leo utasikiliza harakati za kudai uhuru kutoka kwa Patrice Lumumba-Congolese politician and independence leader ikiwemo barua aliyo iandika kwa mkewe akiwa gerezani. host- Edwin Mpokasye
31 October 2020, 8:11 AM
Kipindi cha Ujasiliamali -Radio Fadhila 95.0Fm
Kipindi cha ujasilia mali kichoelezea nmna ya watu walio amuwa kujiajili kwa kuanzisha biashara zao , kilimo n.k hapa utamsikia mjasilia mali kutoka shirika la mungu mwokozi fr. JUDE MASAWE alia amuwa kujishugulisha na kilimo cha bustani
31 October 2020, 7:54 AM
Kipindi cha Wanawake Radio Fadhila 95.0 fm-Masasi
kipindi kinachozungumzia mafanikio ya uongozi kwa mwanamke katika ngazi ya kiserikali pamoja na ujasilia mali host- lilian