Offline
Play internet radio

Recent posts

13 February 2026, 10:50 AM

Upendo na ukarimu hakupunguzi kiwango cha elimu zenu

Misemo na methali mbalimbali zinaendelea tukumbusha kutenda mema kama vile usimdharau usiemjua hii inatukumbusha kuwa kutenda mema wakati wote bila kuchagua ni nani wakumtendea wema huo hii uleta amani na upendo kwa aliyetendewa. Na,Lilian Martin Waziri wa Afya Mhe,Muhammed Mchengerwa…

11 February 2026, 1:28 PM

Madiwani Masasi wakoshwa na msimamizi wa miradi

Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Ndg Reuben Jichabu na menejimenti kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.1 ambayo inatekelezwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani na fedha…

11 February 2026, 1:13 PM

Masasi yampongeza Rais Samia kwa kuboresha miundombinu

Kutembea umbali mrefu kufuata shule ilipo hii ni changamoto ambayo wakati mwingine huzima ndoto za watoto kutokana na adha wanazo kutananazo wakiwa njiani lakini inapotokea kuwepo na shule mahali panapofikika kwa urahisi hii uleta furaha si kwa watoto tu hadi…

19 January 2026, 1:42 PM

Gari la abiria kichaka cha kusafirisha madawa ya kulevya

Na Lilian Martin Pamoja na muonekano wake wa nje kuonekana ni Gari la abiria ila kwa ndani kuna chemba ya maficho mizigo haramu ambayo kwa kawaida huwezi kubaini, ila wahenga husema za mwizi 40 na leo zimeshafika. Katika Wailes, Temeke…

12 January 2026, 1:52 PM

DC Masasi atoa takwimu walioandikishwa kuanza safari ya elimu

Karibu kusikiliza kipindi maalumu ambapo mkuu wa wilaya ya Masasi bi. Racheal Kasanda amewaasa wazazi kuapeleka watoto shule na kuandikisha watoto darasa la awali katika umri mtahiki. Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari ametoa takwimu ya watoto wambao wameshaandikishwa…

8 January 2026, 1:25 PM

DC Kasanda aongoza kikao cha kamati ya ushauri Masasi

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Masasi cha kupitia taarifa za maendeleo ya taasisi zote za umma, Halmashauri ya Mji na Wilaya kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2025, kimefanyika Januari 6, 2026, na kuonozwa na Mkuu wa…

14 November 2025, 10:13 AM

Mtoto achomwa mikono kisa korosho

“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona  mkazi  wa kitongoji…

29 September 2025, 12:28 AM

Umaki watembelea shule ya Rondo, waunga mkono juhudi za taasisi

‘Kutoa ni moyo si utajiri’, huu ni msemo unaofahamika sana na ukiwa na lengo la kukumbusha namna kutoa sehemu za Mali zetu kwa wenye uhitaji, hivyo wa mama hawa wamefanya kwa sehemu yako. Katika kuendelea kuunga mkono jitihada za Taasisi…

22 September 2025, 7:50 PM

CCM Masasi mguu sawa ujio wa Dkt Samia

“Kama  wana  Masasi jumanne ya  septemba 23, 2025 tuna  kila  sababu  ya  kwenda  kumsikiliza mgombea urais  kupitia  Chama  Cha Mapinduzi, maana kuna  mengi mazuri ameyatenda  kwetu“ Na Neema Nandonde Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya  Masasi  mkoani Mtwara kimesema  kimejipanga…

19 September 2025, 12:43 PM

Wananchi acheni kupuuzia maelekezo yanayohusu usafi wa mazingira-Ame

Wakati mwingine wananchi hususani wanaoishi vijijini wanaishi kwa mazoea, kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye nyumba isiyo na shimo la taka na yeye analazimisha aishi hivyo siku zote Na Neema Nandonde Kuelekea maadhimisho ya siku ya usafi duniani ambayo hufanyika…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara