Radio Fadhila

Kuomba misaada si kipaumbele kwake licha ya ulemavu alionao

29 May 2025, 7:01 PM

Daisy Ajetu akiwa nyumbani kwake

Licha ya kuzaliwa akiwa mlemavu wa viungo Daisy hufanya shughuli zake kwa kutumia mikono na kutengeneza vitu mbalimbali ambavyo humfanya kumuingizia kipato.

Na Lilian Martin

Daisy Ajetu ni mama wa Familia anaishi Masasi mtaa wa Nyasa anajishughulisha na ubunifu wa vitu mbalimbali kama kofia za kufuma na uzi,Mashuka na Mikoba shughuli zinazomfanya kujipatia kipato.

licha ya kuwa mlemavu Daisy afurahiswi na kupita mitaani na kuomba misaada akisema kuwa anaona kama wanafanya kazi kubwa sana ya kuzunguka na kupigwa na jua

karibu umsikilise akieleza historia yake na vitugani anafanya katika kipindi cha msakatonge

Daisy ajetu akizungumza