Radio Fadhila
Radio Fadhila
30 March 2024, 11:14 AM

Waumini wakipokea neno kutoka Kwa Mchungaji Kikoti
Mchungaji wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya kusini mashariki Mch Joseph Kikoti ametoa rai kwa waumini kuendelea kutenda matendo mema hata inapokwisha kipindi Cha kwaresma na mwenzio mtukufu
hayo ameyasema wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Mtwara Bi Mwanahamisi Munkunda
Mch Kikoti amesema kuwa matendo mema yanayofanyika katika kipindi hiki yanatakiwa kuwa endelevu Kwa jamii ili kuishi maisha ya kumpendeza Mungu