Radio Tadio

Kwaresma

25 June 2026, 17:56

Fahamu ngoma ya kabila la wasandawe wakati wa jando

Wanasema kwasasa elimu na sheria imesaidia kwa kiasi kikubwa kukomesha mila ya ukeketaji haipo tena hivyo ngoma hii huchezwa kabla na baada ya watoto wa kiume kwenda jando. Na Yussuph Hassan.licha ya kabila hili kuwa na aimba mbalimbali za ngoma…

28 May 2026, 17:50

Jamii ya kabila la wasandawe na tamaduni zao

Karibu katika fahari ya Dodoma ambapo leo tunaangazia asili ya kabila la wasandawe katika Kijiji cha Farkwa wilayani Chemba. Na Yussuph Hassan. Jamil hizi ambazo ni za kale zaidi na zinachukuliwa kuwa wakazi wa mwanzo kabisa wa jamil za asili…

4 March 2025, 12:15

Yafahamu Mazingira asili ya mkoa wa Dodoma

Licha ya Dodoma kufahamika kuwa na hali ya nusu jangwa lakini yapo mazao ambayo hulimwa wakati wa masika. Na Yussuph Hassani.Mwana fahari leo Yussu[h anasimuliza asili ya mazingira ya mkoa huu wa Dodoma katika mfululizo wa makala hii ya fahari…

10 December 2024, 17:19

Ifahamu historia ya ‘Kisima cha Nyoka’

Je kwanini kisima hiki kiliita jina hilo hapa wazee wa eneo hilo wanaeleza. Leo Yussuph Hassan yupo kata ya Chang’ombe mtaa wa Mazengo akiangazia historia ya Kisima cha Nyoka kinachopatika katika eneo hili.

12 August 2024, 15:37

Kofia zinazotengenezwa kwa mkono na wakazi wa Kondoa

Mzee Rofati anasema kazi hii ya utengenezaji wa kofia aliirithi kutoka kwa wake walio kuwa wanatengeneza hapo zamani. Na Yussuph Hassan.Leo katika kipindi cha Fahari ya Dodoma tunazungumzia umaarufu wa kofia zinazotengenezwa kwa mkono tangu miaka ya 50, kofia hizi…

2 August 2024, 18:09

Leo tunatazama asili ya kata ya Kingale

Yussuph Hassan ametembelea Kingale na kuzungumza na wenyeji wa eneo hilo. Na Yussuph Hassan. Kata hii inapatikana katika wilaya ya Kingale leo tutafahamu zaidi wenyeji wa kata hii pamoja na asili ya jina kingale.

1 August 2024, 16:38

Bado tunautazama Mtaa wa Swaswa

Tuna vijana ambao wamepewa mafunzo na inspekta wa kituo cha polisi hapa mtaani hii inasaidia sana kuhakikisha usalama na ulinzi wa hapa. Na Yussuph Hassan.Na leo tena katika kipindi chetu tunaendelea kuangalia ni kwa jinsi gani mtaa huo umebarikiwa mandhari…

18 July 2024, 16:39

Utawala wa mnyama simba-Kipindi

Leo katika Fahari tunaangazia maisha ya mnyama simba katika utawala na mawindo . Na Yussuph Hassan.Je, unafahamu kuwa simba dume akivamia familia ya simba mwingine na kuitawala hulazimika kuwaua watoto madume wote na kisha kuanza kizazi chake upya.