![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Kwaresma
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/07/vlcsnap-2024-07-18-06h28m22s056.png)
18 July 2024, 4:39 pm
Utawala wa mnyama simba-Kipindi
Leo katika Fahari tunaangazia maisha ya mnyama simba katika utawala na mawindo . Na Yussuph Hassan.Je, unafahamu kuwa simba dume akivamia familia ya simba mwingine na kuitawala hulazimika kuwaua watoto madume wote na kisha kuanza kizazi chake upya.
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2024/04/vlcsnap-2024-04-18-07h55m42s416.png)
18 April 2024, 6:08 pm
Wafahamu wapigania uhuru ambao walikaa katika kambi ya Kongwa
Nini kinapelekea wilaya ya Kongwa kuwa maarufu na Kongwe fuatilia mfululizo wa makala hii ya fahari ya Dodoma uweze kufahamu zaidi. Na Yussuph Hassan. Fahari ya Dodoma imetembelea katika wilaya ya Kongwa ili uweze kufahamu zaidi historia ya wilaya hii…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/02/kwaresma-1-1.jpg)
23 February 2023, 3:44 pm
Wakristo itumieni kwaresma kujipatanisha na Mungu
Lazima tufanye mazoezi ya kiroho kwa kutubu kidogo kidogo na hatimaye tuweze kuacha dhambi kabisa, tusikubali kurudia katika dhambi. Na Bernad Magawa Wito umetolewa kwa wakristo kukitumia vizuri kipindi cha kwaresma kuwa kipindi cha kufanya toba, kujipatanisha kiroho na kumrudia…