Siasa
20 Septemba 2023, 10:09
Babylon: aikacha Chadema atoa mifuko 30 ya saruji ujenzi wa ofisi ccm
Babylon Mwakyembile alie Wahi kugombe ubunge kupitia CHADEMA ameamua kuachana na chama Hicho na kujiunga na chama cha Mapinduzi ambapo katika ujenzi unaoendelea kwenye ofisi ya ccm kata ya Ngusa ametoa vifaa mbalimbali vya ujenzi. Na Rahm Sakabona. Aliye kuwa…
14 Septemba 2023, 09:50
Ziara ya Mbunge Mufindi Kaskazini Kata ya Kibengu
Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mh. Exaud Kigahe (wa kwanza kushoto pichani) akiwa ziarani katika kata ya Kibengu wilayani Mufindi Jana. Picha na Kelvin Mickdady Na Kelvin Mickdady-Mufindi Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kaskazini ambaye pia ni Naibu waziri wa Viwanda…
13 Septemba 2023, 1:23 um
Wananchi waomba serikali iendelee kuwapatia elimu ya katiba
Wanasheria wanayo nafasi kubwa ya kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya katiba ya nchi ili kuwaongezea uelewa wananchi waweze kutambua haki na wajibu wao. Na Khadija Ayoub. Wananchi Jijini Dodoma wameiomba Serikali kuendelea kutoa elimu juu ya katiba ya…
11 Septemba 2023, 12:00 um
CHADEMA: Wananchi washughulikie viongozi wazembe
Kuelekea uchaguzi mdogo wa serikali za mitaa 2024 vyama vya upinzani wameeleza mbinu watakazozitumia kuking’oa chama tawala madarakani. Na Cleef Mlelwa- Makambako Wananchi wa halmashauri ya mji wa Makambako wametakiwa kuwaondoa madarakani viongozi wote wa kisiasa ambao wameshindwa kutatua changamoto…
10 Septemba 2023, 10:11 um
Tuendelee kumpa ushirikiano Rais wetu – Majaliwa
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kumwamini Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kwa sababu ana dhamira na malengo makubwa ya kuendelea kuboresha maendeleo katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo na ya wilaya ya Ruangwa. “Tujenge imani ya Serikali yetu, tujenge…
8 Septemba 2023, 1:40 um
CCM Bunda yapigilia msumari kauli ya Kinana, yatoa onyo wanaojipitisha kutaka uo…
Chama Cha mapinduzi wilaya ya Bunda kimewaonya makada wa chama hicho walioanza kujipitisha katika mitaa, kata na majimbo kutaka nafasi za uongozi kwamba chama kitawachukulia hatua. Na Adelinus Banenwa Katibu wa siasa na uenezi chama Cha mapinduzi wilaya ya Bunda…
Agosti 26, 2023, 12:56 um
Mhe. Fungo Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Wilaya Makete
Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Makete wafanya uchaguzi na kumpata Mwenyekiti wa Halmashauri
24 Agosti 2023, 11:41 um
Diwani awavalisha kijani mabalozi wote CCM Bunda Stoo
Kupitia hafla ya kukabidhi sare kwa mabalozi wote wa CCM kata ya Bunda Stoo, CCM Wilaya ya Bunda yamwagia sifa Diwani Flavian kwa kukijenga chama na kusimamia shughuli za maendeleo katika kata hiyo Na Edward Lucas Katibu wa Siasa na…
21 Agosti 2023, 2:38 um
CUF Pemba wailaumu ACT Wazalendo kushindwa kuwatetea wananchi
Chama cha Cuf Pemba imekitupia lawama chama cha Act Wazalendo kwa kushindwa kuisimamia Serikali ya Mapinduzi ya zanzibar katika swala zima la upandaji wa bei za bidhaa hasa vyakula. Na. Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Wananchi CUF kimetoa lawama kwa…
10 Agosti 2023, 1:09 um
Makamu wa Kwanza Rais Zanzibar akutana na balozi mdogo wa Uingereza nchini
Viongozi hao wamekutana nakuzungumzia Maridhiano ya kisiasa Zanzibar Na Afisi ya Makamu wa Kwanza Makamu wa Kwanza Wa Rais Wa Zanzibar Othman Massoud Othman aesema kwamba kuanza kwa vikao vya Kamati ya Pamoja ya Maridhiano ya Kisiasa Klkati ya Chama…