22 February 2025, 6:08 pm

PM Majaliwa ashuhudia makabidhiano ya zana za kilimo Ruangwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2025 ameshuhudia makabidhiano ya trekta tano kati ya Wizara ya Kilimo na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo…

On air
Play internet radio

Recent posts

18 June 2025, 2:00 pm

Afariki baada ya kunywa sumu Ruangwa, mapenzi yatajwa

Mkulima kijana kutoka Kijiji cha Mbangala, Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Omari Said Jimajima (28), amefariki dunia baada ya kunywa sumu ya kuua wadudu aina ya Ninja, inayotumika kwenye mashamba, tukio lililotokea kwa huzuni kubwa na kuacha maswali kwa familia…

13 June 2025, 10:04 pm

Sekta ya madini ni nguzo kuu ya uchumi wa taifa – Dkt. Kiruswa

Watanzania watakiwa kuiona sekta ya madini kama dira ya maendeleo na fursa za mabadiliko ya kiuchumi Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa, ametoa wito kwa Watanzania kuipa kipaumbele sekta ya madini, akiielezea kuwa ni mhimili mkubwa unaochochea ustawi wa…

13 June 2025, 8:22 pm

PM Majaliwa kufunga Lindi Mining Expo 2025

Na loveness josefu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (MB), anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe ya kufunga Maonesho ya Madini na Fursa za Uwekezaji Mkoa wa Lindi (Lindi Mining Expo 2025) Taarifa hiyo imethibitishwa leo 13Jun…

13 June 2025, 5:37 pm

Tari yawapiga msasa maafisa ugani Lindi matumizi ya viuatilifu

Na Khadja Omari Taasisi ya utafiti wa Kilimo Tanzania Kituo cha ( TARI NALIENDELE) imetoa Mafunzo ya matumizi sahihi na salama ya viwatilifu vya zao la korosho kwa maafisa Ugani wa Halmashauri ya Manispaa ya Lindi Mafunzo hayo yamefanyika Katika…

12 June 2025, 3:05 pm

Tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi

Na Loveness Josefu“Wananchi tuimarishe afya zetu kwa kufanya mazoezi na kuzingatia ulaji unaofaa” Hayo yamebainishwa na Mkuu wa mkoa Wa Lindi Mhe. Zainabu Telack leo 12 Jun 2025 katika mbio za ridhaa zilizofanyika asubuhi mapema kwa kuianza siku ya pili…

8 May 2025, 7:33 pm

SMAUJATA wilaya ya Ruangwa kuanza ziara za kata kwa kata

“tumeazimia kuongeza nguvu katika usajili wa wanachama wapya ambapo Mpango huu unalenga kuongeza idadi ya wanachama wa SMAUJATA na kuhakikisha kuwa vijana wengi zaidi wanajumuishwa katika shughuli za maendeleo ya kijamii na uhamasishaji wa haki na usawa” Na Mwandishi wetu…

22 February 2025, 6:08 pm

PM Majaliwa ashuhudia makabidhiano ya zana za kilimo Ruangwa

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2025 ameshuhudia makabidhiano ya trekta tano kati ya Wizara ya Kilimo na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa ikiwa ni utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mpango wa Serikali wa kukabidhi zana za kilimo…

19 February 2025, 8:14 pm

Mama Samia Legal Aid yafikia wananchi zaidi ya millioni1

Na Loveness Daniel Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia ni ubunifu wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan uliolenga kuongeza wigo wa upatikanaji haki kwa wananchi wasio na uwezo wa kumudu…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.