Ruangwa FM

Recent posts

19 April 2023, 11:29 pm

RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi

Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika  jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali  wilaya ya ruangwa.…

23 March 2023, 7:19 pm

Elimu juu ya ugonjwa wa kifua kikuu(TB)

Wananchi mbekenyera na Namungo wilayani Ruangwa wapewa elimu na huduma ya kupima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) bure kwa kuchukua sampuli za wenye dalili za kifua kikuu ikiwa ni muendelezo wa shughuli za wiki ya kifua kikuu wilaya ya rungwa…

22 February 2023, 7:40 pm

Nimefurahishwa na miradi ya kimaendeleo – Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema anafurahishwa na mafanikio makubwa ya utekelezwaji wa ujenzi miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoonekana katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. “Wana-Ruangwa lazima tuendelee kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa…

21 February 2023, 4:55 pm

Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi – Mh. Majaliwa

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea  kuungana na wananchi katika kuimarisha miundomibu ya elimu ili kuhakikisha watoto Wakitanzania wanapata elimu bora na kutimiza ndoto zao. Waziri Mkuu…

18 February 2023, 10:07 pm

Waziri mkuu ashuhudia utiaji saini Mradi wa Maji vijiji 55

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa maji utakaogharimu takribani shilingi bilioni 120 unaotekelezwa katika vijiji 55 vya wilaya za Ruangwa (vijiji 34) na Nachingwea (vijiji 21) mkoani Lindi. Amesema mradi huo ambao…

3 February 2023, 7:10 pm

Tutatumia sheria kwa wazazi wasiopeleka watoto shule

Na Loveness Daniely. Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi Hassan Ngoma   amesema kuanzia February 6 2023 wataanza kufanya msako mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba kwa kutumia sharia na miongozo iliyopo  kwa wazazi wasio wapeleka Watoto shuleni msako…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.