Ruangwa FM

Recent posts

21 November 2022, 3:35 pm

Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na kabati Kilwa

Mwanafunzi wa Darasa la kwanza aliejulikana kwa jina la Adam Kaisi Jika (9) katika shule ya msingi Singino, wilayani kilwa mkoani Lindi, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na kabati la kuhifadhia vitabu na madaftari wakati akicheza na wenzake shuleni hapo.…

17 November 2022, 3:56 pm

DC Ruangwa atoa siku mbili wafugaji kuondoka maeneo yasiyo rasmi

Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…

17 November 2022, 3:52 pm

Watoto wafundishwe kilimo- Chikongwe

Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ruangwa Andrew Chikongwe amewashauri watendaji WA kata na vijiji pamoja na madiwani kuweka mipango ya wanafunzi kufundishwa kilimo ili kuwajengea watoto uwezo mzuri wa kujifunza Maisha ya kujitegemea wawapo mtaani. “Watendaji nendeni mashuleni watoto…

16 April 2021, 5:18 pm

Wananchi Ruangwa walia na kero ya katizo la umeme

Wananchi Wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi wamelalamikia tatizo la kukatika umeme mara kwa mara bila taarifa hali inayoelezwa kusababisha kusimama kwa baadhi ya shughuli mbalimbali hasa zile zitegemeazo nishati hiyo muhimu katika jamii. Baadhi ya wananchi hao hasa kundi la…

16 April 2021, 7:23 am

Acheni kutumia madawa ya kulevya – DC. Mgandilwa

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, MH. HASHIM MGANDILWA, amewataka vijana wanaojihusisha na shughuli za uchimbaji wa madini katika mgodi mdogo wa madini ya dhahabu Njawale uliopo katika kijiji cha Mibure wilayani humo, kuacha tabia ya kutumia madawa ya…

26 November 2020, 8:16 am

Namungo yaahidi furaha jumamosi

Klabu ya Namungo yenye maskani yake hapa wilayani Ruangwa mkoani Lindi imeahidi kupambana kufa ama kupona kwenye mchezo wake na timu ya Al Rabita ya Sudani siku ya jumamosi novemba 28 katika uwanja wa Chamazi jijini  Dar es salaam. Namungo…

16 November 2020, 7:58 pm

Mkurugenzi ruangwa aagiza walimu kufundisha kwa bidii

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya Ruangwa mkoani Lindi, FRANK FABIAN CHONYA, amewataka walimu kuendelea kufundisha kwa bidii na  kwa mujibu wa kalenda ya masomo inavyowataka, ili kutimiza malengo ya ufaulu waliojiwekea katika halmashauri hiyo. Chonya ameyasema hayo jumatatu 16/11/2020…

19 October 2020, 12:14 pm

Wananchi msihujumu mradi-Dc. Ruangwa

Wananchi wanaofika wilayani Ruangwa kwa ajili ya kazi mbalimbali kwenye mradi wa ujenzi wa barabara ya Nanganga Ruangwa wamenywa kutohujumu ujenzi wa mradi huu kwa kuiba mali mbalimbali ili kuiwezesha serikali kumaliza mradi huo kwa wakati. Kauli hii ameitoa mkuu…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.