Ruangwa FM

Recent posts

30 January 2023, 3:50 pm

Ruangwa yapokea kilogramu 1500 ya mbegu za Alizeti

Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi imepokea mbegu za Alizeti aina ya Record nbegu chotara (certified seeds) kilogram 1,500 kutoka Tasisi ya Agricultural Seed Agency (ASA) ya mkoani Morogoro. Akizungumza baada ya kupokea mbegu hizo Afisa kilimo, Mifugo na…

30 January 2023, 7:32 am

Kushindwa kumtunza mtoto ni kosa kisheria

Ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya sheria nchini, Mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, imeendela na utaratibu wa kupita katika tarafa za wilaya hiyo ili kutoa elimu ya masula ya kisheria kwa wananchi. Akizungumza na wananchi wa…

25 January 2023, 8:32 am

KINA BABA WAJIBIKENI WANAWAKE WAFUNGUE MAGOLI

“Kina Baba wajibikeni ili wakina mama wafungue magoli wanawake Wengi wanatumia uzazi WA mpango Kwa sababu wanaume hawawajibiki na wengine wanakimbia kulea” Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Ruangwa katika Mkutano kijiji cha nambilanje katika Ziara yake ya kata…

24 January 2023, 8:41 am

Tumieni mbolea muongeze tija katika kilimo

Wakulima wametakiwa kutumia mbolea ya ruzuku ya serikali ambayo huuzwa kwa thamani ya mfuko shilingi elfu Sabini (70,000/=) ili kuongeza tija ya uzalishaji katika sekta ya kilimo huku ikielezwa kuwa kilimo cha mazoea kinatajwa kuwadidimiza wakulima kupata mavuno haba. Hayo…

23 January 2023, 8:44 am

Wazazi wapewa siku 4 Kuepeleka Watoto Shule

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ametoa siku 4 Kwa wazazi na walezi kata ya mandawa na chibula kupeleka watoto ambao hawajaenda shule la sivyo karandinga kuwapitia. Ngoma amezungumza hayo katika Ziara yake kata Kwa kata baada ya kupita…

21 January 2023, 9:47 am

Bilioni 32.1 zapitishwa Bajeti ya H/W Ruangwa Mwaka wa fedha 2023/24

Baraza la madiwani Halmashauri ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, limepitisha Bajeti ya kiasi cha shilingi Bilioni thelathini na mbili milioni mia moja na saba laki saba na themanini na tatu elfu (32,107,783,000/=) kwa mwaka wa fedha wa 2023/2024. kwa…

12 December 2022, 4:35 pm

WAZAZI TOENI USHIRIKIANO MASHULENI – DC KOMBA.

Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Mkoani Lindi amewataka wazazi na walezi mkoani lindi kuhakikisha wanatoa ushirikiano kwa walimu wa kuzuia utoro kwa wanafunzi ili waweze kusoma na kuyafikia malengo yao. Komba ameyasema hayo Disemba 12, 2022 katika viwanja vya CWT…

11 December 2022, 6:51 pm

HOFU YA JANGA LA NJAA WAKULIMA WATAHADHARISHWA RUANGWA

Wakulima wabnaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika RUNALI kinachohudumu katika wilaya za Ruangwa,Nachingwea na Liwale mkoani Lindi, wametakiwa kutumia pesa zao za korosho kununua chakula na kuhifadhi kutokna na uwapo wa dalili ya janga la njaa lililosabishwa na ukame kwa…

8 December 2022, 3:42 am

SHAMRA SHAMRA MIAKA 61 YA UHURU RUANGWA

  Kuelekea maadhimisho ya siku wa Uhuru Tanzania Watumishi wilayani ruangwa wamejumuika na wananchi wa wilaya hiyo kwenye Bonanza maalumu la Michezo lilofanyika usiku wa taraehe 8/12/2022 katika uwanja wa Majaliwa Wilayani humo. Ambapo katika mchezo wa mpira wa miguu…

Mission and Vision

VISSION

The vision of Ruangwa Fm Radio is to see the community of Ruangwa District and nearly areas have access to information and increase capacity to play a meaningful role for their own development through Media.


MISSION
To enable local community to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.


VALUE AND PRINCIPLES
We believe in building strong community by expressing their opinions through media

OBJECTIVES
– To promote community development by supporting the Education, Agriculture, and Health of the Ruangwa Community.


– Giving a voice to people of Ruangwa who do not have access to mainstream media to express their viewers on community development.
– Promoting the right to communicate, expediting the process of informing the community, assisting the free flow of information and acting as a catalyst of change
– To upholds creative growth and democratic spirit at the community level.