Maendeleo
29 November 2023, 09:57
Serikali kutumia bilioni 40 kukarabati meli mbili ziwa Tanganyika
Serikali inatarajia kutumia jumla ya Shilingi Bilioni 40 kukarabati meli kongwe ya abiria na mizigo ya MV Liemba pamoja na meli ya mafuta ya MT Sangara yenye uwezo wa kubeba lita laki nne za mafuta ambayo matengenezo yake tayari yameanza. Akizungumza baada kutembelea na…
23 November 2023, 18:27
Mbeya kukaguliwa miradi ya maendeleo
Na Hobokela Lwinga Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh.Juma Zuberi Homera anatarajia kuanza ziara katika halmashauri za Jiji la Mbeya na Mbeya Dc lengo likiwa ni kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali. Akitoa taarifa ya ziara hiyo kwa vyombo…
23 November 2023, 10:18 am
Rungwe yakusanya 122.22% ya mapato robo ya kwanza
Elimu ya ulipaji wa kodi inayotolewa kwa jamii imeonesha matokeo chanya kwa baadhi ya halmashauri hapa nchini kwa kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Halmashauri ya wilaya ya Rungwe katika kipindi cha robo ya kwanza kuanzia…
22 November 2023, 10:40 am
Mbunge Semuguruka akabidhi matanki ya maji kwa watoto wenye uhitaji Bukoba
Na Mwandishi wetu. Mbunge Oliver Semuguruka afuta machozi ya watoto wenye mahitaji maalum shule ya msingi Mseto Mgeza, Bukoba Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Kagera, Mh Oliver Semuguruka ametoa msaada wa matanki mawili ya maji yenye ujazo wa lita…
21 November 2023, 3:17 pm
Tozo za maegesho zawakwamisha bodaboda
RUNGWE-MBEYA Sheria ndogo zinazopitishwa kwenye vikao vya mabaraza ya madiwani kukwamisha baadhi ya shughuli za kimaendeleo kwenye maeneo husika. Na Lennox mwamakula Kutokana na kuwepo kwa kamatakamata ya vyombo vya moto na kutozwa faini ya maegesho waendesha pikipiki maarufu bodadoda…
16 November 2023, 4:02 pm
Tumbatu kunufaika na mradi wa maji baada ya kukamilika
Picha ya Tangi la maji lilojengwa tumbatu ambalo linauwezo wa kuingia lita milioni moja. Picha na Vuai Juma Kukamilika kwa mradi kutapunguza tatizo la maji kisiwani tumbatu kwa kiasi kikubwa. Picha ya katibu tawala Tumbatu akiambatana na viongozi wengine katika…
16 November 2023, 12:56 pm
Watendaji Geita walioondoka na michango ya wananchi watakiwa kuirudisha
Baadhi ya watendaji wa vijiji katika Halmashauri ya wilaya ya Geita kuhama na michango ya wananchi kumezua maswali huku wananchi wakiomba kurudishiwa fedha zao. Na Mrisho Sadick – Geita Mkuu wa wilaya ya Geita Cornel Magembe ameiagiza Halmashauri ya wilaya…
16 November 2023, 10:23 am
Watendaji wa Kata Mafinga Mji wakabidhiwa Pikipiki.
Na Mwandishi Wetu. Jumla ya pikipiki 7 zenye thamani ya shilingi 22,129,100/-zimekabidhiwa kwa watendaji wa Kata nne za pembezoni na wakusanya mapato Katika Halmashauri ya Mji Mafinga ili kuboresha utendaji kazi na ukusanyaji wa Mapato. Mkuu wa Kitengo cha Usimamizi…
9 November 2023, 14:55
Serikali yaombwa kuharakisha ujenzi wa daraja Chunya
Na mwandishi wetu Wanachi wa vijiji Lualaje na Mwiji kata ya Lualaje halmashauri ya wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wameiomba serikali kuharakisha ujenzi wa daraja la Lualaje linalounganisha kata hiyo na Mapogolo wilaya ya Chunya kabla ya msimu wa mvua…
8 November 2023, 16:06
RAS Seneda apongeza ujenzi miradi halmashauri ya wilaya Momba
Katibu tawala mkoa wa Songwe Bi. Happiness Seneda ameanza rasmi ziara yake ya siku tatu katika halmashauri ya wilaya ya Momba ikiwa ni ufuatiliaji wa miradi ya serikali ambapo pia ameongozana na wajumbe wa timu ya sekretarieti ya mkoa wa…