Radio Tadio

Maendeleo

11 January 2024, 18:09

Mwangasa:Vijana shikamaneni acheni makundi

Katika kuiimarisha jumuiya ya vijana Uvccm hapa wilayani Kyela mjumbe wa mkutano mkuu mkoa wa mbeya Sarah Mwangasa amewataka vijana wilayani hapa kuachana makundi ili kukijenga jumuiya imara. Na Nsangatii Mwakipesile Mjumbe wa UWT mkoa kutoka wilayani Kyela Sarah Mwangasa…

11 January 2024, 12:22

Mapato ya ndani yanavyowapa tabasamu wananchi Rungwe

Na mwandishi wetu, Songwe Furaha ya wakazi wa kata ya Kinyala ipo Mbioni kukamilika baada ya Halmashauri kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya kwa kutumia mapato yake ya ndani kwa gharama ya zaidi ya shilingi million 201. Jumla ya majengo…

8 January 2024, 15:47

Kyela waunda Chamata

Wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiendelea na jukumu la kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania, wadau mbalimbali wa maendeleo hapa wilayani Kyela wameunda umoja wao unaotambulika kwa jina la Chamata Tanzania ukiwa na lengo la…

6 January 2024, 00:54

Mbeya yatia saini mikataba ya upimaji na PEPMIS

Na Hobokela Lwinga Zoezi la Utiaji Saini wa Mikataba ya Mfumo MPYA wa Upimaji wa Utendaji Kazi wa Watumishi(PEPMIS) katika Mkoa wa Mbeya limefanyika ambapo limemhusisha Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo na Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa…

31 December 2023, 8:34 pm

Wadau wa maendeleo wazidi kuing’arisha Rungwe

Katika kuhakikisha ofisi Chama Cha Mapinduzi CCM kuwa na mwonekano mzuri wadau mbalimbali wameendelea kujitokeza kukarabati majengo ya chama hicho wilayani Rungwe. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkurugenzi wa Taasisi ya mwaiteleke Foundation Aliko Mwaiteleke amewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo nchini…

27 December 2023, 12:45 pm

Mhe Maboto ataja mafanikio jimbo la Bunda mjini 2023

Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema Kwa Mwaka huu 2023 amefanikisha miradi mbalimbali kufanyika Kwa upande wa Afya, Elimu, miundombinu pamoja na Maji. Na Adelinus Banenwa Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema…

22 December 2023, 8:06 am

Bunda yafanikiwa pakubwa 2023

Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto za wananchi katika sekta mbalimbali ikiwa ni kwa upande wa miundombinu, Elimu, Afya na Usuruhishi kwa kipindi cha mwaka 2023. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua…