Maendeleo
12 January 2024, 18:02
Tengeni maeneo ya kujenga miundombinu ya maendeleo kwenye maeneo yenu
Na mwandishi wetu,Chunya Kamati ya fedha, Uchumi na Mipango ya Halmashauri ya wilaya ya Chunya ikiongozwa na Makamu mwenyekiyi wa Halmashauri imeagiza viongzoi wa vijiji na kata zote kutenga maeneo ya kujenga miundombinu ya maendeleo katika vijiji na kata zao…
11 January 2024, 18:09
Mwangasa:Vijana shikamaneni acheni makundi
Katika kuiimarisha jumuiya ya vijana Uvccm hapa wilayani Kyela mjumbe wa mkutano mkuu mkoa wa mbeya Sarah Mwangasa amewataka vijana wilayani hapa kuachana makundi ili kukijenga jumuiya imara. Na Nsangatii Mwakipesile Mjumbe wa UWT mkoa kutoka wilayani Kyela Sarah Mwangasa…
11 January 2024, 12:22
Mapato ya ndani yanavyowapa tabasamu wananchi Rungwe
Na mwandishi wetu, Songwe Furaha ya wakazi wa kata ya Kinyala ipo Mbioni kukamilika baada ya Halmashauri kukamilisha ujenzi wa kituo cha afya kwa kutumia mapato yake ya ndani kwa gharama ya zaidi ya shilingi million 201. Jumla ya majengo…
8 January 2024, 15:47
Kyela waunda Chamata
Wakati Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiendelea na jukumu la kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania, wadau mbalimbali wa maendeleo hapa wilayani Kyela wameunda umoja wao unaotambulika kwa jina la Chamata Tanzania ukiwa na lengo la…
6 January 2024, 00:54
Mbeya yatia saini mikataba ya upimaji na PEPMIS
Na Hobokela Lwinga Zoezi la Utiaji Saini wa Mikataba ya Mfumo MPYA wa Upimaji wa Utendaji Kazi wa Watumishi(PEPMIS) katika Mkoa wa Mbeya limefanyika ambapo limemhusisha Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo na Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa…
5 January 2024, 09:39
Viongozi wa kata, vijiji watakiwa kujadili vipaumbele na wananchi Buhigwe
Viongozi wa vijiji na kata wilayani Buhigwe mkoani Kigoma wametakiwa kuitisha mikutano na wananchi ili kujadili vipaumbele vya miradi ya maendeleo inayotakiwa kujengwa katika maeneo yao. Na, Michael Mpunije Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Buhigwe…
31 December 2023, 8:34 pm
Wadau wa maendeleo wazidi kuing’arisha Rungwe
Katika kuhakikisha ofisi Chama Cha Mapinduzi CCM kuwa na mwonekano mzuri wadau mbalimbali wameendelea kujitokeza kukarabati majengo ya chama hicho wilayani Rungwe. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkurugenzi wa Taasisi ya mwaiteleke Foundation Aliko Mwaiteleke amewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo nchini…
27 December 2023, 12:45 pm
Mhe Maboto ataja mafanikio jimbo la Bunda mjini 2023
Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema Kwa Mwaka huu 2023 amefanikisha miradi mbalimbali kufanyika Kwa upande wa Afya, Elimu, miundombinu pamoja na Maji. Na Adelinus Banenwa Mhe Robert Chacha Maboto Mbunge Jimbo la Bunda Mjini amesema…
22 December 2023, 8:06 am
Bunda yafanikiwa pakubwa 2023
Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua changamoto za wananchi katika sekta mbalimbali ikiwa ni kwa upande wa miundombinu, Elimu, Afya na Usuruhishi kwa kipindi cha mwaka 2023. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kutatua…
20 December 2023, 4:43 pm
Katavi yaongoza kuwa na ongezeko la watu mara mbili zaidi nchini Tanzania
Viongozi,watendaji na wadau mkoani Katavi wameaswa kuyatumia vizuri Matokeo ya sensa ya sita ya watu na makazi iliofanyika mwaka 2022 katika kutimiza adhma ya serikali Na Festo Kinyogoto – Katavi Mkoa wa Katavi unaongoza Kwa kuwa na ongezeko la watu…