Maendeleo
October 11, 2023, 4:55 pm
Viongozi wasiotatua changamoto za wananchi wajitathimini-DC Ileje
Na Denis Sinkonde, Songwe Viongozi wa kata na vijiji wilayani Ileje mkoa wa Songwe wametakiwa kutofanya kazi kwa mazoea pasipo kuwashirikisha wananchi kupanga vipaumbele vya miradi ya maendeleo kwenye vijiji. Hayo yamebainishwa Oktoba 10, mwaka huu na mkuu wa wilaya…
October 9, 2023, 4:47 pm
Makete kutumia shilingi bilioni nne miradi ya maendeleo
Kutokana na chanagamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi wa wilaya ya Makete hususani katika miundombinu ya sekta za elimu, afya, kilimo na ujenzi serikali imetoa fedha zaidi ya bilioni 4 kutatua changamoto hizo. Na Aldo Sanga Zaidi ya bilioni nne (Tsh. 4,489,684.61)…
8 October 2023, 3:04 am
Kero ya barabara yawazidia wana Kilimbu, Msalala
Licha ya ahadi kadhaa kuendelea kufanyiwa kazi kwa wananchi wa Msalala lakini bado kero ya barabara ni kubwa katika kijiji cha Kilimbu. Na Zubeda Handrish- Msalala Mbunge wa Jimbo la Msalala Iddi Kassim Iddi akiwa katika kijiji cha Kilimbu kata…
6 October 2023, 7:30 am
Mwashegeshi wamkataa afisa mtendaji wa kijiji
Maafisa watendaji wa kata wilayani Maswa wametakiwa kuitisha vikao vya vitongoji, vijiji na kata vilivyopo kisheria ili kusikiliza na kutatua kero za wananchi. Na Alex Sayi Maswa Simiyu Wananchi na wakazi wa kijiji cha Mwashegeshi kata ya Nguliguli wamemuomba mkuu…
2 October 2023, 3:48 pm
Pemba waomba kuongezewa ATM
Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja, wateja wa benki ya NMB wametakiwa kutoa maoni yao kila wanapoona changamoto katika utoaji wa huduma kwa kupitia visanduku hivyo vya maoni . Na Is- haka Mohammed Afisa Mdhamin Ofisi ya Rais Ikulu…
1 October 2023, 7:09 pm
EWURA CCC Geita yazitahadharisha taasisi, kampuni kuzingatia haki ya mteja
Kupitia maonesho ya 6 ya kimataifa ya madini EWURA CCC iliendelea kutoa huduma ya kupokea malalamiko na kuyafanyia kazi kutoka kwa wateja wa huduma ya nishati na maji, wingi wa malalamiko yalipelekea EWURA CCC kutoa tahadhari. Na Zubeda Handrish- Geita…
1 October 2023, 6:56 pm
Jumuiya ya Serikali za Mitaa Zanzibar yapata viongozi
Na Mary Julius Kaimu katibu wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania ALAT Muhammed Ahmed Maje amesema utekelezaji wa maendelo katika nchi hufanywa kwa kuanzia katika mamlaka za serikali za mitaa. Akizungumza wakati akifungua Mkutano wa uchaguzi wa jumuiya ya serikali za mitaa…
1 October 2023, 6:00 pm
Wazazi Kasekese washauriwa kuunda kamati ya chakula
Wazazi na walezi wa Kagunga kata ya Kasekese wilayani Tanganyika wameshauriwa kuunda kamati ya chakula. TANGANYIKAWazazi na walezi wa kijiji cha Kagunga kata ya Kasekese wilayani Tanganyika mkoani Katavi wameshauriwa kuunda kamati ya chakula kwa ajili ya mwaka mpya wa…
29 September 2023, 9:15 pm
GGML yafanya makubwa maonesho ya 6 ya madini
Geita Gold Mine Limited umeendelea kuwa mgodi wa mfano katika masuala ya teknolojia ya madini na elimu kwa wananchi. Na Zubeda Handrish- Geita Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imetoa kiasi cha Sh. milioni 150 kudhamini Maonyesho ya Sita…
28 September 2023, 11:29 pm
Baraza la madiwani Mpanda lapitia bajeti ya fedha
Baraza la Madiwani Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wafanya kikao kifupi cha mapitio ya bajeti ya fedha kwa mwaka 2022 – 2023. Na Mwandishi wetu – MpandaBaraza la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi limefanya kikao kifupi…