Maendeleo
15 December 2023, 3:59 pm
Kapufi afanya ziara kukagua miradi ya maendeleo
Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastiani Kapufi afanya ziara kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika jimbo lake. Na Deus Daud – Mpanda Mbunge wa jimbo la Mpanda mjini Sebastiani Kapufi amefanya ziara kukagua miradi ya maendeleo iliyopo katika jimbo lake…
15 December 2023, 7:40 am
Programu ya makuzi, malezi na maendeleo ya awali ya mtoto yatakiwa kusimamiwa bi…
Mafanikio ya utekelezaji wa programu hiyo kwa takribani miaka 2 tangu uzinduliwe mwaka 2021 hayakuletwa na Serikali pekee. Na Mariam Kasawa.Watekelezaji wa programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi,Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto wametakiwa kwenda kusimamia ipasavyo mipango waliyojiwekea…
13 December 2023, 12:03 pm
Ngorongoro yafanya vizuri ukusanyaji mapato robo ya kwanza 2023/2024
Halmashauri ya wilaya ya Ngorongoro imefanya vizuri Katika ukusanyaji wa mapato kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/24 Julai hadi Septemba ikikusanya kiasi cha Tsh.778,893,937 ikiwa ni asilimia 25 ya makisio ya mwaka huu wa 2023. Na Zacharia…
11 December 2023, 11:39 am
Halmashauri ya wilaya ya Hai yashika nafasi ya kwanza kimkoa mbio za mwenge wa u…
Halmashauri ya wilaya ya Hai imeshika nafasi ya kwanza kimkoa katika mbio za mwenge wa uhuru 2023. Na Anasta Urio Mkuu wa wilaya ya Hai Amir Mkalipa amezipongeza kamati mbalimbali zilizohusika katika maandalizi ya mbio za Mwenge wa Uhuru 2023…
9 December 2023, 08:16
Tufanye kazi kwa kuzingatia maadili ya kazi zetu
Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amewataka Watumishi wote Mkoani Mbeya Kufanya Kazi kwa Kufuata Misingi na Maadili ya Kazi na kutanguliza Mbele Uzalendo ili Wananchi wapate huduma sahihi sawasawa na Wanavyostahili. Ameyasema hayo Wakati akizungumza…
8 December 2023, 1:37 pm
TEMESA kujiendesha kisasa kuondoa malalamiko
TEMESA kujivua gamba ili kwendana na kasi ya teknolojia kwa kufanya mabadiliko kwenye mfumo wa utendaji kazi ili kuondoa malalamiko kwa wadau wake. Na Mrisho Sadick – Geita Wakala wa ufundi na umeme Tanzania (TEMESA) umekusudia kujiendesha kisasa kwa kufanya…
December 7, 2023, 1:13 pm
DC Sweda akagua miradi ya bilioini 1.5 kata ya Ipelele
Kutokana na fedha kutolewa na serikali ili kufanikisha miradi inatekelezwa katika maeneo mbali mbali dc sweda ameendelea kuhakikisha anafatilia kwa karibu miradi hiyo ili weze kukamilika kwa wakati Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya Makete Mhe. Juma Sweda amewataka viongozi…
4 December 2023, 12:33
Bongo: Mkurugenzi mpya apewe maua yake
Mwenyekiti wa mamlaka ya mji mdogo wa Kyela Emmanuely Bongo amewataka wenyeviti wa vitongoji na mitaa kuhakikisha wanazingatia suala la utawala bora ili kuwaletea wananchi maendeleo. Na Nsangatii Mwakipesile Kikao cha Robo ya kwanza cha Mamlaka ya mji mdogo wa…
29 November 2023, 10:39
Vitambulisho vya taifa zaidi ya 360,000 vyafika mkoa wa Mbeya
Na Samwel Mpogole Mkuu wa mkoa wa mbeya Juma Zuberi Homera amefanya uzinduzi wa wa zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Taifa (NIDA) huku akiwataka wakuu wa wilaya wote kufanya uzinduzi huo kwenye wilaya zao. Uzinduzi huo umefanyika Novemba 27/2023…
29 November 2023, 09:57
Serikali kutumia bilioni 40 kukarabati meli mbili ziwa Tanganyika
Serikali inatarajia kutumia jumla ya Shilingi Bilioni 40 kukarabati meli kongwe ya abiria na mizigo ya MV Liemba pamoja na meli ya mafuta ya MT Sangara yenye uwezo wa kubeba lita laki nne za mafuta ambayo matengenezo yake tayari yameanza. Akizungumza baada kutembelea na…