Kilimo
12 September 2023, 11:42 am
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima elimu na pembejeo za kilimo
Wakulima katika maeneo mbalimbali wamekuwa wakisistiza kwa jamii kuwapatia mikopo ya kilimo ili waweze kunufaika na kilimo chenye tija. Na Khadija. Imeelezwa kuwa ili kusaidia wakulima waweze kulima kilimo chenye tija serikali inao wajibu wa kuwawezesha wakulima hao katika suala…
September 12, 2023, 10:29 am
wakulima wahimizwa kuhuisha taarifa zao kwenye daftari la wakulima
kulingana na serikali kutoa ruzuku ya pembejeo wakulima wametakiwa kuendelea kuhuisha taarifa zao kwenye daftari kwa wakati ili kuepuka usumbufu wa kupata pembejeo na mwandishi wetu Wakulima Wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kwenda kwenye Ofisi za Vijiji ili kuhuisha taarifa…
11 September 2023, 16:22
TARI yatoa elimu ya kilimo biashara kwa wakulima mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
Matumizi ya teknolojia yanatajwa kuwa kichocheo kikubwa katika kufanikisha sekta ya kilimo nchini. Na Hobokela lwinga Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wametakiwa kufuatilia elimu ya kilimo inayotolewa kupitia kwa wataalam wa kilimo na kujifunza uzalishaji bora wa…
11 September 2023, 8:27 am
Wakulima waaswa kuchukua mbolea mapema
MPANDAWakulima halmashauri ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kuchukua mbolea mapema ili kuepukana na changamoto ambazo zilitokea katika msimu wa kilimo uliopita. Afisa kilimo Manispaa ya Mpanda Gwalusajo Kapande amesema kuwa zoezi la ununuzi wa mbolea limeanza Septemba 1, 2023 hivyo…
9 September 2023, 6:50 pm
Wilaya ya Maswa yaja na mkakati wa uzalishaji zao la pamba msi…
Na Nicholaus Machunda Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu imejipanga kuja na Mbinu na Mikakati itakayoongeza Uzalishaji wa zao la Pamba kwa Msimu ujao. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndugu Maisha Mtipa wakati …
8 September 2023, 12:06 pm
Vijana wahimizwa kujikita katika kilimo cha kitalu nyumba
Juhudi za kuendelea kuwahimiza vijana kujiingiza kwenye kilimo zinaendelea, kwani kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa, huku Kijani Consult wakija na njia mbadala kwa vijana wa Geita kutumia kilimo chenye mwanga mdogo wajua ili mazao kustawi vizuri. Na Zubeda…
6 September 2023, 10:49 pm
Mkuu wa wilaya Chato atoa onyo kwa waharibifu shamba la miti Silayo
Uwepo wa Shamba la Miti Silayo wilayani Chato ni manufaa makubwa kwa wakazi wa eneo hilo kulingana na namna linaendelea kurudisha kwa jamii licha ya changamoto kadha wa kadha katika kulilinda shamba hilo. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa wilaya…
6 September 2023, 10:15 am
Mrindoko Aahidi Malipo ya Tumbaku
KATAVI Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewahakikishia malipo zaidi ya Dola Milioni 2.5 wakulima wa zao la Tumbaku katika msimu wa kilimo 2022/2023 wa Amcos 6 zilizoingia Mkataba wa ununuzi wa Tumbaku na Kampuni ya Mkwawa Leaf LTD.…
4 September 2023, 1:56 pm
Wananchi walalamika kutolipwa fidia mradi wa bwawa Nagulo na Uhelela
Kwa kujibu wa viongozi hao wanasema kuwa mradi huu ulianza tangu mwaka 2021 ambapo lengo ni kuwasaidia wananchi wa eneo hilo kufanya shughuli ndogondogo za kilimo ikiwemo mbogamboga. Na Thadei Tesha. Wananchi katika kijiji cha Uhelela na Nagulo kata ya…
2 September 2023, 2:13 pm
Geita DC na mkakati wa kuongeza uzalishaji mpunga
Kutokana na mabadiliko ya tabianchi wakulima wilayani Geita wameishauri serikali kuboresha kilimo cha umwagiliaji ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa chakula. Na Mrisho Sadick: Kuboreshwa kwa miundombinu ya kilimo katika halmashauri ya wilaya ya Geita itasaidia kuongeza uzalishaji wa…