Radio Tadio

Kilimo

29 August 2023, 4:32 pm

Dodoma wafurahishwa ongezeko la mtama sokoni

Kutokana na Shirika la Afya , mtama umeweza kuwa chakula muhimu katika kupambana  na changamoto ya udumavu pamoja na  unyafunzi kwa watoto. Na Astedi Bambora. Upatikanaji wa zao la mtama kwa wingi katika soko kuu la majengo Jijini Dodoma kumewanufaisha…

24 August 2023, 1:44 pm

Zaidi ya asilimia 95 ya pamba yanunuliwa Bunda

Zoezi la ununuzi wa pamba linaelekea ukingoni na tayari kilo milioni saba na laki tatu  na elfu hamsini na sita zimenunuliwa kutoka kwa wakulima wilayani Bunda. Na Adelinus Banenwa Zaidi ya tani elfu 7 za pamba tayari zimenunuliwa katika vituo…

20 August 2023, 3:02 pm

Utata malipo ya tumbaku Nsimbo

NSIMBO Wakulima wa zao la tumbaku halmashauri ya Nsimbo mkoani Katavi wameutaka uongozi wa kampuni ya ununuaji wa tumbaku ya Mkwawa kuharakisha kufanya malipo ya zao hilo. Wakizungumza na kituo hiki kwa nyakati tofauti wakulima hao wametaja kuwa ucheleweshwaji wa…

13 August 2023, 2:13 pm

Wakulima, wafugaji Kojani wanyoosheana vidole

Baada ya migogoro ya muda mrefu kati ya wakulima na wafugaji katika shehia ya Kojani bado suala hili limekuwa kizungumkuti kutokana na kukosekana kwa ufumbuzi wa tatizo hilo. Na Mwiaba Kombo Wakulima shehia ya Kojani Wilaya ndogo ya Kojani mkoa…

10 August 2023, 2:55 pm

Masheha watakiwa kuyatumia maonesho ya nanenane kujiongezea elimu

Amesema katika ziara yao hiyo watajifunza mbinu mbali mbali ambazo wakiitoa kwa wananchi wataweza kuisaidia kwa kiasi kikubwa wizara katika utoaji wa elimu ya kilimo na ufugaji. Na Khamis Said Waziri wa Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo  Shamata Shaame Khamis amewataka masheha wa wilaya…

9 August 2023, 4:03 pm

Wakulima Maswa waaswa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti

Wakulima Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wahamasishwa kutumia mbegu bora zilizofanyiwa utafiti ili kuongeza uzalishaji kwenye sekta ya kilimo. Na,Alex Sayi. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Maisha Mtipa amewaasa Wakulima Wilayani hapa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti ili…

8 August 2023, 2:55 pm

Wakazi wa Mtube waeleza kunufaika na Bwawa

Nchi yetu imejaliwa kuwa na vyanzo vya maji vya aina mbalimbali ikiwemo Mito na Maziwa, licha ya kwamba Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa Kame lakini umejaaliwa kuwa na Mabwawa ambayo yanatumika katika Kilimo na Mwenye macho haambiwi Tazama. Na Mindi…