Kilimo
15 September 2023, 10:36 am
DC Ileje awakabidhi baiskeli wanufaika 25 mradi wa IRDO
Na Sikudhani Minga Mkuu wa wilaya ya Ileje Farida Mgomi amekabidhi zaidi ya baiskeli 25 kwa wananchi wa wilaya ya Ileje ambao ni wanufaika kutoka shirika lisilo la Kiserikali la Integrated Rural Development Organization (IRDO) ambalo limejikita katika kutatua changamoto mbalimbali…
14 September 2023, 7:49 pm
Wakulima watakiwa kulima kilimo hifadhi kupambana na mabadiliko ya tabia ya nchi
Wito umetolewa kwa wakulimakutumia teknolojia ya kilimo hifadhi ili kupata mazao mengi kutokana na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoendelea kushuhudiwa duniani kwa sasa. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa wakulimakutumia teknolojia ya kilimo hifadhi ili kupata mazao mengi kutokana…
13 September 2023, 10:45 am
Kilimo cha strawberry chachu kwa wakullima wilayani Rungwe
Kutokana na wilaya ya Rungwe kuwa na kilimo cha mazao mbalimbali ya chakula, biashara, matunda na mbogamboga rai imetolewa kulima pia zao la Strawberry kutokana na zao hilo kustawi wilayani Rungwe mkoani Mbeya. Na Evodier Ngeng’ena – RungweWakulima wilayani Rungwe…
12 September 2023, 11:42
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima elimu na pembejeo za kilimo
Wakulima katika maeneo mbalimbali wamekuwa wakisistiza kwa jamii kuwapatia mikopo ya kilimo ili waweze kunufaika na kilimo chenye tija. Na Khadija. Imeelezwa kuwa ili kusaidia wakulima waweze kulima kilimo chenye tija serikali inao wajibu wa kuwawezesha wakulima hao katika suala…
12 September 2023, 10:29 am
wakulima wahimizwa kuhuisha taarifa zao kwenye daftari la wakulima
kulingana na serikali kutoa ruzuku ya pembejeo wakulima wametakiwa kuendelea kuhuisha taarifa zao kwenye daftari kwa wakati ili kuepuka usumbufu wa kupata pembejeo na mwandishi wetu Wakulima Wilayani Makete Mkoani Njombe wametakiwa kwenda kwenye Ofisi za Vijiji ili kuhuisha taarifa…
11 September 2023, 16:22
TARI yatoa elimu ya kilimo biashara kwa wakulima mikoa ya Nyanda za Juu Kusini
Matumizi ya teknolojia yanatajwa kuwa kichocheo kikubwa katika kufanikisha sekta ya kilimo nchini. Na Hobokela lwinga Wakulima katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wametakiwa kufuatilia elimu ya kilimo inayotolewa kupitia kwa wataalam wa kilimo na kujifunza uzalishaji bora wa…
11 September 2023, 8:27 am
Wakulima waaswa kuchukua mbolea mapema
MPANDAWakulima halmashauri ya Mpanda mkoani Katavi wameshauriwa kuchukua mbolea mapema ili kuepukana na changamoto ambazo zilitokea katika msimu wa kilimo uliopita. Afisa kilimo Manispaa ya Mpanda Gwalusajo Kapande amesema kuwa zoezi la ununuzi wa mbolea limeanza Septemba 1, 2023 hivyo…
9 September 2023, 18:50
Wilaya ya Maswa yaja na mkakati wa uzalishaji zao la pamba msi…
Na Nicholaus Machunda Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Mkoani Simiyu imejipanga kuja na Mbinu na Mikakati itakayoongeza Uzalishaji wa zao la Pamba kwa Msimu ujao. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndugu Maisha Mtipa wakati …
8 September 2023, 12:06 pm
Vijana wahimizwa kujikita katika kilimo cha kitalu nyumba
Juhudi za kuendelea kuwahimiza vijana kujiingiza kwenye kilimo zinaendelea, kwani kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa, huku Kijani Consult wakija na njia mbadala kwa vijana wa Geita kutumia kilimo chenye mwanga mdogo wajua ili mazao kustawi vizuri. Na Zubeda…
6 September 2023, 10:49 pm
Mkuu wa wilaya Chato atoa onyo kwa waharibifu shamba la miti Silayo
Uwepo wa Shamba la Miti Silayo wilayani Chato ni manufaa makubwa kwa wakazi wa eneo hilo kulingana na namna linaendelea kurudisha kwa jamii licha ya changamoto kadha wa kadha katika kulilinda shamba hilo. Na Zubeda Handrish- Geita Mkuu wa wilaya…