Habari za Jumla
21 Machi 2024, 19:16
Aliyekuwa kamanda wa polisi Songwe awaaga waandishi wa habari
Unapofanya kazi mahali wapo watu unawakuta na unapokelewa na kupewa ushrikiano,basi iko hivyo unapoondoka pia ni vyema kuaga .Hii inatufundisha kutoka kwa SAPC. Theopista Mallya ambaye ameona umhimu wa kuwaaga baadhi ya watu ambao amefanya kazi nao katika mkoa wa…
21 Machi 2024, 7:05 um
TARURA kutumia zaidi bil. 4.1 ukarabati wa miundombinu Maswa
Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA)Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wanatarajia kuzifanyia marekebisho Barabara zenye mtandao wa Km,227.21 zilizoathiriwa na Mvua za msimu. Na. Alex Sayi Wakala wa Barabara za Mjini na Vijijini (TARURA) imeendelea na matengenezo ya barabara…
21 Machi 2024, 18:41
Aliyebaka, kumlaghai mwanafunzi atamuoa ahukumiwa miaka 30 jela
Hakuna mtu aliyejuu ya sharia hivyo kila mtu anapaswa kuheshimu sharia kwa mjibu wa sharia za nchi. Na mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya ya Momba mkoani Songwe tarehe 15 Machi 2024 imemhukumu mshtakiwa Stanford Theobert (19) mkulima, mkazi wa Maporomoko,…
21 Machi 2024, 18:33
Mbunge Chumi akabidhi ambulance Ifingo
Na Bestina Nyangaro/Mafinga Mbunge wa Jimbo la Mafinga mjini Mh. Cosato David Chumi amekabidhi gari la kubebea wagonjwa (ambulance) katika kituo cha afya Ifingo kata ya Kinyanambo. Hafla ya kukabidhi gari hilo imefanyika leo machi 21 2024, kwa lengo la…
21 Machi 2024, 6:15 um
Transfoma yahatarisha usalama wa wafanyabiashara Rungwe
Ili kuhakikisha shughuli za kibinadamu kufanyika, binadamu anatakiwa kuweka mazingira ya kazi yake salama. Na lennox Mwamakula Wafanyabiashara wa ndizi kwenye soko la Mabonde lililopo kata ya Msasani wilayani Rungwe wameiomba serikali kuwaboreshea soko hilo. Baadhi ya wafanyabiashara wakiendelea na…
21 Machi 2024, 18:00
Mwizi wa simu ahukumiwa miaka 30 jela
Sheria ni msumeno unaokatakata kuwili na sheria ni mwongozo unaotumika kuongoza mambo fulani iwe kwenye kikundi au nchi fulani, taifa la Tanzania ni miongozni mwa mataifa yanayoongozwa na sheria kupitia katiba ya nchi . Na Mwandishi wetu Mahakama ya Wilaya…
21 Machi 2024, 14:57
CST yatenga Sh 2b kupiga jeki elimu Nyanda za Juu Kusini
Na Lameck Charles Highlands Fm Radio Mbeya Taasisi isiyo ya kiserikali ya Chilid Support Tanzania imezindua mradi wenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2 mradi wa “Peleka Rafiki zangu Shule” mradi unaolenga kuendelea kutoa mafunzo ya elimu kwa walimu…
21 Machi 2024, 12:13 um
Vijana jitokezeni kupima mambukizi ya ukimwi Rungwe
Mratibu wa ukimwi Rungwe Bw,George Mashimbi[picha na Yona kibona] Katika kuhakikisha jamii inakuwa salama, vijana wameshauriwa kuwa msitari wa mbele kujua afya kwani ndilo kundi linalotegemewa katika ujenzi wa taifa. RUNGWE-MBEYA Na lennox mwamakula Imeelezwa kuwa jumla ya wakazi 12,158…
21 Machi 2024, 9:32 mu
Umaskini watajwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa wanawake Katavi
“Jamii inapaswa kupewa elimu juu ya namna ya kumwinua mwanamke kiuchumi pamoja na kupinga ukatili wa kijinsia ili kuwepo na usawa wa kijinsia kati ya mwanaume na mwanamke“ Na Rachel Ezekia-Katavi Umaskini umetajwa kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia kwa…
21 Machi 2024, 09:07
Mjane mwenye watoto sita kupata nyumba kutoka taasisi ya Tulia Trust
Mjane aliyekuwa akiishi kwenye nyumba ya maturubai Mbeya ameonwa na jicho la mbunge na spika wa Tanzania Dkt.Tulia Mwansasu Ackson ambaye pia ni Rais wa IPU baada ya kuishi kwa muda mrefu kwenye nyumba yenye maturubai. Na Ezra Mwilwa Taasisi…