Radio Tadio

Habari za Jumla

21 June 2021, 9:26 am

Anusurika kifo baada ya kushambuliwa na Nyati

By Edward Lucas Kijana aitwaye Magesa Magori (21) mkazi wa Mtaa wa Tamau, Kata ya Nyatwali Halmashauri ya Mji wa Bunda Mkoani Mara anusurika kifo baada ya kuvamiwa na mnyama nyati wakati akiwa anachunga ng’ombe maeneo ya Tamau. Akisimulia tukio…

5 June 2021, 3:06 pm

Bunda tayari kuupokea Mwenge wa uhuru

Mkuu wa mkoa wa Mara Mh Mhandisi Gabriel Luhumbi amekagua miradi ambapo Mwenge wa uhuru utapita kuizindua ndani ya Wilaya ya Bunda Miradi iliyokaguliwa ni pamoja na kituo Cha Afya Cha Nyamuswa (IKIZU), mradi wa Maji wa kihumbu Hunyari, mradi…