Radio Tadio

Habari za Jumla

28 September 2021, 1:15 pm

Tamau: kamati yasiasa yakaa nakuamua

Akizungumza katika ufunguzi wa kikao hicho Mwenyekiti wa CCM tawi la Tamau, Matale Kikoi amesema ni kwa muda sasa kumekuwa hakuna mahusiano mazuri kati ya viongozi wa chama na serikali katika mtaa wa Tamau jambo linalokwamisha utekeleza wa shughuli za…

September 22, 2021, 4:49 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza ujenzi wa Bomba la Mafuta-Kahama

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wananchi wilayani humo kuchangamkia fursa za mradi wa ujenzi wa Bomba la mafuta ambao unapita wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Akizungumza katika kikao cha wadau wa EWURA na TPDC ambacho kimeshirikisha wafanyabiashara na…

September 22, 2021, 3:18 pm

Jeshi la Zimamoto latumia gari moja kuhudumia halmashauri tatu

Jeshi la Zimamoto na uokoaji wilayani Kahama mkoani Shinyanga limesema linakabiliwa na uhaba wa vifaa vya uokozi ikiwemo Magari. Hayo yamesemwa na mkuu wa jeshi hilo Hanafi Mkilindi wakati akizungumza na Huheso fm redio kuhusu mikakati ambayo wamekuwa wakiifanya katika…

September 20, 2021, 3:16 pm

Vikundi vyapewa elimu ya kupinga ukatili wa kijinsia.

Wajumbe wa mradi wa mwanamke amka unaolenga kupinga ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto waliopo mashuleni Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa mabalozi wazuri katika kufikisha ujumbe wa kupinga ukatili wa kijinsia kwenye vikundi vyao. Hayo yamesemwa na…

16 September 2021, 9:42 am

Aweso: aagiza matumizi bora ya maji ya mabonde ya mito

By Thomas Masalu Waziri wa maji mheshimiwa Jumaa Aweso ameagiza bodi za maji za mabonde nchini kuhakikisha wanaandaa mipango ya matumizi ya maji katika mabonde madogo ili kuhakikisha matumizi bora ya maji katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Aweso ametoa…

6 September 2021, 4:43 pm

Bunda: Tembo aua mmoja ajeruhi mmoja

By Adelinus Banenwa Kwandu Mtorogo (67) mkazi wa mtaa wa butakare kata ya bunda stoo wilayani bunda amepoteza maisha kwa kukanyagwa na tembo wakati anatoka kusenya kuni Tukio hilo limetokea leo sept 5, 2021 ambapo kwa mujibu wa mashuuda wamesema…